kermit the frog

94 posts

kermit the frog banner
kermit the frog

kermit the frog

@ebrahimsonara5

Katılım Ekim 2013
635 Takip Edilen111 Takipçiler
kermit the frog
kermit the frog@ebrahimsonara5·
@nssftz Hela zetu hamtaki kutupa.. Tunapatake hizo nyumba??
Indonesia
0
0
0
21
NSSF Tanzania
NSSF Tanzania@nssftz·
MILIKI NYUMBA YA NDOTO YAKO, MRADI WA NYUMBA KIJICHI Mradi upo eneo la Mtoni Kijichi, Dar es Salaam una nyumba zilizojengwa kwenye viwanja vyenye ukubwa wa kati ya mita za mraba 600 hadi 1000.
NSSF Tanzania tweet media
Indonesia
5
0
14
636
kermit the frog retweetledi
Airtel Tanzania
Airtel Tanzania@airtel_tanzania·
Kula Vocha hiyo ujimwage na vifurushi vya OFA YAKO sikukuu hii ya Eid. Kama hujapata bofya RETWEET kisha saa sita mchana uwe karibu na page yetu maana tunadondosha nyingine. Piga *149*99# kupata OFA YAKO. #MkonoWaEid
Airtel Tanzania tweet media
Indonesia
64
218
409
55.1K
Simulizi Planet
Simulizi Planet@simuliziplanet·
Hakuna kigumu kama utamkabidhi Muumba wako magumu na mepesi akufanikishie Goood morning
Filipino
13
22
318
0
Kremlin
Kremlin@therealsemsii·
I mean 😭
Kremlin tweet media
Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 English
11
0
29
0
kermit the frog
kermit the frog@ebrahimsonara5·
@nssftz Naomba mnissidie nipate malipo yangu..mnanizungusha huu mwaka 3 sielewi shida nini
Indonesia
0
0
0
0
NSSF Tanzania
NSSF Tanzania@nssftz·
Heri ya Sikukuu ya NANENANE
NSSF Tanzania tweet media
Indonesia
2
1
5
0
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
“Morocco sitaki hata kupasikia. Kiukweli siwezi na sitaki kurudi tena Morocco. Ni mtu mmoja tu amesababisha mimi nipachukie Morocco ambaye ni Rais wa Wydad Casablanca. Ilifika steji wakafunga akaunti zangu za benki” Saimon Msuva
Privaldinho tweet mediaPrivaldinho tweet media
Polski
100
152
4.4K
0
kermit the frog
kermit the frog@ebrahimsonara5·
@airtel_tanzania jana nimetaka kifurushi cha sms kwa kutumia airtel money naambiwa sina muamala..wakati juzi nimejiunga intrnet kwa airtelmoney..na msg kuwa muamala upo ipo msg..kma mna marekebisho muwe mnatujuza..au hamthamini wateja wenu...
Indonesia
1
0
0
0
kermit the frog
kermit the frog@ebrahimsonara5·
@airtel_tanzania huduma ya airtelmoney kueka na kutoa pesa..nimesajili kwa no za nida na alama za vidole zote zinafanyika..lakini TIMIZA haikubali.shida nini?
Indonesia
2
0
0
0
kermit the frog
kermit the frog@ebrahimsonara5·
@airtel_tanzania Habari zenu za asubuhi..naomba niwaulize..hivi kwa nn mtandao wenu unazidi kusumbua?juzi airtelmoney imesumbua..jana kujiunga kwa kutumia airtelmoney pia..muda huu mtandao ni mmmmmmmmmbovu..yaani huu mtandao umekuwa kama kichefuchefu cha mwenye mimba..haueleweki...basi tu...!!
Indonesia
0
0
0
0
Airtel Tanzania
Airtel Tanzania@airtel_tanzania·
Airtel Supa 4G sasa ipo mkoani Pwani. Peruzi, strim na pakua video mtandaoni kwa kasi zaidi isiyo na kifani kwa kutumia intaneti ya #AirtelSupa4G Jipatie 4G Pocket Wi - Fi kwa Tsh 75,000 tu na ufurahie ofa ya GB 40 bure za kuperuzi kwa spidi kali ya #AirtelSupa4G #Airtel
Airtel Tanzania tweet media
Indonesia
2
1
4
0
kermit the frog retweetledi
Nurse_chloe ATI TEAS
Nurse_chloe ATI TEAS@NurseChloe_TEAS·
App gani nzuri kwa kupakulia Movie za HD??
Polski
7
3
43
0
kermit the frog
kermit the frog@ebrahimsonara5·
@broke_jk2 Siku 10..kila siku unalia kilio cha buku..kilio cha buku ni kuanzia saa 12 asubuhi..mpka 6 usiku
Indonesia
0
0
0
0
Airtel Tanzania
Airtel Tanzania@airtel_tanzania·
@ebrahimsonara5 Habari, pole sana kwa sasa bado hujakidhi vigezo vya kupata mkopo wa Timiza unatakiwa uendelee kufanya miamala mara kwa mara upande wa Airtel Money.
Indonesia
1
0
0
0