Eli Njex
17.2K posts

Eli Njex
@eli_njex
A hip hop follower storry teller sportsmen idealist, artist and script writer.
Southern Highlands Tz Katılım Eylül 2021
1.2K Takip Edilen831 Takipçiler

@Malengo25 Niiwahi sema hivi kwenye group letu la Simba fans nikaambiwa sijui Mpira
HT

@millardayo 💔💔💔 timu kubwa kama yanga yenye miaka zaidi ya 80 inazidiwa miundo mbinu na shule ya sekondari yenye umri wa miaka 9 tu!! 🚮🚮🚮 ama kweli Dunia tambala bovu
Indonesia

Ni kweli kwamba siku zote yule aliyejiongeza ndiye anayeshinda, ni kweli kwamba pamoja na kuongoza kwa kufaulisha ikiwemo matokeo ya kidato cha nne mwaka 2025 kuwa na division one 97 na division two 3, Nyangao Secondary (@nyangao_secondary ) iliyopo Lindi imeongoza pia kwa kuwekeza pesa nyingi katika somo la michezo na soccer academy na miundombinu yake ikiwemo uwanja huu wenye nyasi bandia.
Shule hii ambayo ilianzishwa mwaka 2017, iliamua rasmi mwaka 2026 kuanzisha somo la michezo ( mkondo maalum ambao Wanafunzi wanafundishwa somo la michezo ) chini ya Mwalimu Mtaalamu wa michezo Mwinyi Zahera ambapo Mkurugenzi wa Shule hii aliamua kuwekeza fedha nyingi katika ujenzi wa viwanja kikiwemo hiki unachojionea kwenye picha hizi kikiwa na nyasi bandia kama zile tunazoziona kwenye Stadium za kisasa.
Mwalimu Shannel Nchimbi ambaye ni Meneja wa Shule hii ambayo ni ya Bweni kwa Wasichana na Wavulana amesema uwekezaji huu umeambatana sambamba na kumteua Mwalimu Mtaalamu wa michezo ili kuviongezea thamani vipaji vya Wanafunzi ambapo Wanafunzi hushiriki michezo kwa dakika 60 kila jioni.
Nchimbi amesisitiza Wazazi kuwapeleka Watoto wao kujiunga na Nyangao Secondary Lindi na kusema Shule hiyo ipo tayari kuwapokea Wanafunzi wote wanaohamia lakini pia hata wale wa kidato cha 5 "michepuo yetu ni Sayansi – Tahasusi: PCB, PCM, CBG na PGM, mchepuo wa Sanaa – Tahasusi: HKL, HGK, HGL, mchepuo wa Biashara – Tahasusi: HGE, EGM, tupigieni kwenye 0629 083 540 au 0683 368 003” #MillardAyoUPDATES

Filipino

@SportsarenatzTz Hu wa chini sio u3 wa kiungo bana utatu wa kiungo Huwa tunazungumzia namba 6 namba 8 na namba 10 hao wa chini kutoka utopoloni ungesema damaro, duke & mdathir/okello/maxi
Filipino

@heisnabeel Hata sisi runakuona Kuma tu ukitaka huyo rapper wako Ambae ni Bora!
Kila mtu na mipango yake na mahitaji hauwezi lazima ninywe chai Kaa mkate asubuhi kisa haupendi makande 🚮🚮
Filipino

@og_outfits Like wise watu wanakariri vibaya sio watu wote wa Sumbawanga ni wachawi au Wana concept yoyote kuhusu uchawi! Mtu mnakutana airport ktk stori za moja na mbili ukimwanbia tu unatokea Sumbawanga swali la kwana, "hivi mnawezaje wezaje kupata na ungo kama ndege"🚮
Indonesia

@Alex_komba00 Kuna dogo nilimwambia huyu ni mtu mmoja akagoma akakataa kata kata nikasema ingekuwa ni watu wawili tofauti basi wangeonekana kwa pamoja
Indonesia

@ErickKamihanda Sasa hio google si imwdizainiwa iseme hivyo! Huyo Taylor qmmk zake Hana lolote na drake pia
Chris ndo habari ya Afrika
Filipino

@GilbertPaul095 Iyeee wanamuua taratibu alikuwa rafiki namba moja wa pantev huyu
Indonesia

@PMlahagwa @CarlosNoriega88 Baba levo kapita kipindi ambacho hamna free and fair election, uchaguzi uliuona ulivyokuwa, by the way naomba tumalize tu Haina haja ya kwendelea mbele inatosha kila mmoja abakie na anachokiamini
Filipino

@eli_njex @CarlosNoriega88 Sasa kama baba levo kapata AY anashindwaje? We bwana weee muheshimu AY prof Jay ana vya kujifunza kutoka kwa mtaalama AY kaupeleka sana mziki wetu kimataifa kina marehemu cpwaa wakiamaka wakakukuta anayasema haya utakua na mengi sana ya kujitetea
Indonesia























