EPM Writing Services

20 posts

EPM Writing Services banner
EPM Writing Services

EPM Writing Services

@eligius2015

Struggling to Get Interviews? We Write ATS CVs That Get You Noticed | CV, Cover Letter & Proposal Expert | EPM Writing Services Tz

Tanzania Katılım Ocak 2026
14 Takip Edilen6 Takipçiler
EPM Writing Services
EPM Writing Services@eligius2015·
@Elsukay0 Sisi Tunasaidia wataalamu kuonekana zaidi kwa waajiri kupitia CV bora zenye ATS Kulingana na professional yako. Karibu EPM Writing Services – tunatoa huduma nchi nzima ya Tanzania. WhatsApp: 0768615672
Indonesia
0
0
1
7
EPM Writing Services
EPM Writing Services@eligius2015·
@Sativa255 Sisi Tunasaidia wataalamu kuonekana zaidi kwa waajiri kupitia CV bora zenye ATS Kulingana na professional yako. Karibu EPM Writing Services – tunatoa huduma nchi nzima ya Tanzania. WhatsApp: 0768615672
Indonesia
0
0
0
3
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kiufupi sana hili lilikuwa KUSANYIKO la wanaume WASENGE.
SIR TIVA tweet media
Filipino
171
165
1.6K
50.5K
EPM Writing Services
EPM Writing Services@eligius2015·
@godbless_lema Dah! Sisi Tunasaidia wataalamu kuonekana zaidi kwa waajiri kupitia CV bora zenye ATS Kulingana na professional yako. Karibu EPM Writing Services – tunatoa huduma nchi nzima ya Tanzania. WhatsApp: 0768615672
Indonesia
0
0
1
5
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Usafiri wa boda boda(Pikipiki) haukupaswa kuwa usafiri wa umma. Boda boda imegeuka njia ya kupeleka vijana na watu wengi kwenye vifo, ulemavu na umasikini. Ukosefu wa sera za uchumi, usalama barabarani, na ujinga wa kisiasa ni msingi mkuu wa janga hili. Kutega kura kwa gharama ya damu ni dhambi na ujinga wa kiwango cha juu. Kukaa kimya ni kushiriki kwenye mauaji na mateso haya. Vijana hawa siku moja, watashituka kuwa hawakuongozwa vyema na hali itakuwa mbaya sana kwenu.
Indonesia
44
110
749
39.7K
EPM Writing Services
EPM Writing Services@eligius2015·
@millardayo Sisi Tunasaidia wataalamu kuonekana zaidi kwa waajiri kupitia CV bora zenye ATS Kulingana na professional yako. Karibu EPM Writing Services – tunatoa huduma nchi nzima ya Tanzania. WhatsApp: 0768615672
Indonesia
0
0
0
4
millardayo
millardayo@millardayo·
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Albert Msando amefika katika eneo la Stendi ya Mawasiliano, Ubungo Jijini Dar es salaam ambapo vibanda katika eneo hilo vimeteketea kwa moto hii leo Aprili 4, 2026 ambapo amewapa pole Wahanga waliounguliwa na vibanda vyao na amewaahidi ulinzi wale wote ambao wamefanikiwa kuokoa mali zao. Akizungumza baada ya kufika katika eneo hilo Msando amesema "Kwa hiyo mimi niwape pole sana kwa niaba ya Mheshimiwa Rais na Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa nimefika hapa kuwapa pole lakini pia kuwashukuru kwa sababu wakati sisi Zimamoto tunafika mzimaji wa moto wa Kwanza ni Mwananchi mwenyewe hii kazi kweli mmeifanya kwa kweli sio ndogo" "Sasa kwa wale ambao imebidi wahamishe mali zao cha kwanza uzuri Kamanda wa Polisi yuko hapa tutaweka Askari hapa mpaka kukuche asijidanganye mtu kwamba atatokea Mtu adokoe mali ya Mtu, kwa sababu tunawapa Watu wengine kazi na ukishatoa mali yote kwenye duka alafu hukuwa na mahali pakuipeleka mwingine anaweza kupata hasara lakini Jeshi la Polisi litakuwepo hapa mpaka kukuche kulinda mali za watu" #MillardAyoUPDATES
Filipino
10
4
64
6.1K
EPM Writing Services
EPM Writing Services@eligius2015·
@godbless_lema Sisi Tunasaidia wataalamu kuonekana zaidi kwa waajiri kupitia CV bora zenye ATS Kulingana na professional yako. Karibu EPM Writing Services – tunatoa huduma nchi nzima ya Tanzania. WhatsApp: 0768615672
Indonesia
0
0
0
8
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Wapumbavu wakipeana sifa, upumbavu hugeuka huduma. Wasio na utambuzi hupiga makofi wakidhani ni baraka. Kelele zinapozidi bila maana, ujue si hekima inayoongea, ni ujinga uliopata jukwaa. Tatizo si mavazi wala vipaza sauti, bali ujumbe usio na maarifa unaopotosha jamii. Kikao hiki kimekutanisha upumbavu na ushamba. Kundi la wapumbavu likiongozwa na upumbavu, mwisho wake ni aibu. Angalia na sikiliza huu UPUMBAVU wa huyu content creator.
106
84
712
48.3K
TUNECHI🇦🇺
TUNECHI🇦🇺@Thereal_Kabote·
Airtel Tanzania wanakuambia Unlimited internet unayopewa ikifika kiwango cha juu cha matumizi Speed lazima ishuke Nimewauliza Kiwango cha juu cha matumizi ni GB ngapi, hawasemi Na wana recomand Kama unataka kuboost ulipe kiasi kidogo speed itarudi kama awali Wakuu niambieni Provider gani wa internet bongo hana hizi mambo Akikupa unlimited iwe ni wewe na muda wako na si kupangiana matumizi.
Indonesia
55
20
349
41.4K
MAESTRO 🎭
MAESTRO 🎭@maestrochance_·
Hapa ni tukuyu kiwira msenge huyu ndo wale waiba nyeti katembea na mazaga ya mtu hapa yupo anapatiwa wastani kwa idadi Ambao hamuamini sawa subiri likutokee 💔🙌🏾
MAESTRO 🎭 tweet media
Indonesia
101
64
685
65.1K
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
President @realDonaldTrump kawapa pressure Cuba mpaka wamenza kuwaachia wafungwa wa kisiasa ambao walifungwa sababu ya kupinga serikali. Kwanini Watanzania hatupush kwa kuomba msaada kwa Trump ili Tundu Lissu aachiwe? Tundu Lissu hawezi kuachiwa na kimama kwa sasa sababu anajua kitakachofata. Watanzania, inabidi tuache kila kitu na ianze viral campaign, kwenye social media, ya kuomba msaada wa Trump hii ya situation iliyopo Tanzania. Kuna Watanzania bado hawaja grasp kuwa sisi wananchi peke yetu kuwaondoa wauwaji madaraka itakuwa ngumu mnoo, lazma tupate backup ya nje. Trump akiwa involved leo, Tundu Lissu anaachiwa next week.
Remarks@remarks

JUST IN: 🇨🇺🇺🇸 Cuba to pardon over 2,000 prisoners due to pressure from the United States.

Filipino
82
186
1.1K
57.4K
millardayo
millardayo@millardayo·
Msemaji wa Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) David Misime, leo Jijini Dodoma ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambazwa na baadhi ya Watu kuhusu madai ya kupotea kwa sehemu za siri za Wanaume pindi wanaposhikwa mabega ambapo amesisitiza kuwa matukio hayo sio ya kweli na ni uzushi unaolenga kuleta taharuki. DCP Misime ameeleza kuwa uchunguzi uliofanywa na Jeshi la Polisi umebaini kuwa baadhi ya Watu waliodai kupoteza sehemu zao za siri wamekutwa na sehemu hizo baada ya kukaguliwa hivyo Wananchi wanapaswa kupuuza taarifa hizo zisizo na ukweli. Aidha, amewataka Wananchi kuacha kuamini imani za kishirikina ambazo zimekuwa chanzo cha hofu na taharuki hiyo na kuonya kuwa imani hizo zimesababisha madhara makubwa ikiwemo vifo vya baadhi ya Watu waliouawa na Wananchi wenye hasira kali wakihusishwa na tuhuma hizo zisizo na msingi. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
35
11
352
31K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Kauli hii ya KIPUMBAVU inashusha hadhi ya Ndoa na Mwanamke. Mapenzi si “show” ya kununuliwa kwa iPhone, ni wajibu wa kiungu unaojengwa kwa upendo na heshima. Ukianza kujenga ndoa kwa zawadi, ujue umeiweka rehani. Leo iPhone, kesho akipewa G Wagon nje anakuuza bila hata huruma. Ndoa si biashara, ni agano. Ukilifanya soko, usishangae bei ikipanda na wewe ukauzwa. Achaneni na hizi INJILI za Tik Tok.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
323
279
2K
105.5K
EPM Writing Services
EPM Writing Services@eligius2015·
✔ Kutumia keywords zinazotakiwa ✔ Kusomeka kirahisi na mfumo 💡 Huu hapa ni mfano wa ATS Friendly CV 👇 Unataka na wewe CV yako iwe professional na ipite ATS? 📩 Nicheki inbox au WhatsApp: 0768615672 EPM Writing Services – Tunakufanya uonekane kwa waajiri! #CVTips #JobSearch
Indonesia
0
0
1
18
EPM Writing Services
EPM Writing Services@eligius2015·
Unatuma maombi mengi ya kazi lakini hupati majibu? 🤔 Huenda CV yako haisomeki vizuri na mifumo ya ATS! ATS (Applicant Tracking System) hutumiwa na waajiri wengi kuchuja CV kabla hata haijafika kwa binadamu. 👉 CV yako inapaswa: ✔ Kuwa na format sahihi👇
EPM Writing Services tweet media
Indonesia
1
0
1
13
EPM Writing Services
EPM Writing Services@eligius2015·
@elonmusk What if you were the last hope for survival? 📖 The Last Son of Survival – Chapter One is finally here. A gripping story of courage, struggle, and the fight to stay alive in a world that has almost lost hope. Start the journey now 👇 selar.com/17776d1320
English
0
0
0
0
EPM Writing Services
EPM Writing Services@eligius2015·
@elonmusk What if you were the last hope for survival? 📖 The Last Son of Survival – Chapter One is finally here. A gripping story of courage, struggle, and the fight to stay alive in a world that has almost lost hope. Start the journey now 👇 selar.com/17776d1320
English
0
0
0
0
Sahil Bloom
Sahil Bloom@SahilBloom·
Advice I’d like to give my 20-year-old self: Stop asking what you want to be great at. Start asking what you’re willing to be bad at long enough to become great. The most impressive people are the ones who embrace the embarrassment of being a beginner. Don’t hide. Lean into it.
English
136
74
990
38.3K
Adam Grant
Adam Grant@AdamMGrant·
Our highest loyalty doesn’t belong to people or parties. It belongs to principles. If you wouldn’t accept it from the “other side,” you shouldn’t accept it from yours. Integrity is upholding your values even when your own group violates them.
English
145
1.2K
5.1K
240.2K