Boethius

2.6K posts

Boethius banner
Boethius

Boethius

@ematiku3

Katılım Mayıs 2023
220 Takip Edilen175 Takipçiler
Boethius
Boethius@ematiku3·
@Jambotv_ Kama ni kweli hii ni mbaya sana, kama taifa ,tumefikia pabaya sana. Wenye mamlaka wawe na huruma walahu na hii nch 🤔🤔
Indonesia
0
0
0
8
Boethius
Boethius@ematiku3·
@Jambotv_ Kama ni kweli hii ni mbaya sana, kama taifa ,tumefikia pabaya sana.
Filipino
1
0
0
228
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Askari Magereza Mstaafu Christina Mjema amejikuta akishindwa kujizuia na kutoa machozi wakati akieleza kero yake ya kutolipwa mafao toka alipostaafu mwaka 1994. Bi Mjema alikuwa akieleza kero hiyo mjini Babati mkoani Manyara Februari 21, mbele ya Katibu Mkuu Jumuiya ya Wazazi @ccmtanzania Ally Hapi @AllyHapi hapi ambapo alimkabidhi kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Daniel Sillo ili aweze kusaidiwa kutatua kero hiyo. Kabla ya kumkabidhi kwa Naibu Waziri, Ali Hapi alimkabidhi mama huyo kiasi cha shilingi 50,000/= ili aweze kuendelea kujikimu wakati changamoto yake ikitatuliwa.
Indonesia
125
26
305
36.5K
Boethius
Boethius@ematiku3·
@Sativa255 Mzee tulia , kama vile hunanyolewa, kinyozi hajamaliza kukunyoa.
Indonesia
0
0
0
77
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Refa HUYU NGOMA mbona unamfuga Sana?
17
4
144
9.5K
kabokamchizi
kabokamchizi@kabokamchizii·
Unakumbuka nini ukiona haya madishi ya chakula Me ; life at Iyunga Technical You ; ..............? 👇
kabokamchizi tweet media
Indonesia
14
10
15
1.7K
Boethius
Boethius@ematiku3·
@AdameMedia That is what Israel is doing, Zionists will never approach hamas peacefully because they deteriorate piece and harmony of ✡️
English
0
0
0
23
Adam
Adam@AdameMedia·
Malcolm X stood with Palestine. These words that still resonate today: "You don't get freedom peacefully. Anyone who is depriving you of freedom isn't deserving of a peaceful approach."
English
41
824
2.6K
63.4K
Boethius
Boethius@ematiku3·
@MOSSADil They muderd this family Itentionally as a revenge. So this is an alarm on what this human kind have in their heads even now. For hamas to say a lie that bibas were killed by Usrael's air attack is another proof on how hamas will stand for what they belive as a jihad war on jews
English
1
0
0
42
Boethius
Boethius@ematiku3·
Hivi imekuwa je huyu anakaa meza moja na mama, alafu wanametisha kabisa yani. Hata waziri tu mwenye dhamana hajametisha. Hii imekaaje kwa upande wako? @ikulumawasliano @SuluhuSamia . Mimi hii imenichanganya sana kwa kweli na sijapenda. Kama nina wivu poa tu 😎😌
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo pamoja wa wageni mbalimbali wakati wa hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasanii wa Komedi Tanzania (TCA) katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Februari, 2025.

Indonesia
0
0
0
45
Boethius
Boethius@ematiku3·
@bajabiri Hivi imekuwa je huyu anakaa meza moja na mama, alafu wanametisha kabisa yani. Hii imekaaje kwa upande wako . @ikulumawasliano @SuluhuSamia . Mimi hii imenichanganya sana kwa kweli na sijapenda. Kama nina wivu poa tu 😎😌
Indonesia
0
0
1
315
Boethius
Boethius@ematiku3·
@PKishamba Ila hiyo ya Bongo bado sana, kapiga dongo kimtindo, 😂😂
Filipino
1
0
9
1.8K
Prisca Kishamba
Prisca Kishamba@PKishamba·
STAR OF THE NIGHT Kila tukio linakuwaga na Star wake kwa tukio hili la Tuzo za Comedy hadi sasa huyu Mwana ndio Star of the Night ⭐️ Ametisha sana utulivu, mpangilio wa Content na uwasilishaji 🫡 #CHEKANASAMIA
Filipino
36
28
571
94.1K
Boethius
Boethius@ematiku3·
@MariaSTsehai @tanpol Task force yoyote ni Jeshi la Majambazi ambalo linakuwa na baraka ya Rais.Yaani hawa huwezi kuwagusa. Ndiyo maana unaona wanaishia kuitwa watu wasiojulikana. Hawa kwa mazingira ya sheria ya usalama wa taifa nao unaona kabisa wanalindwa na hiyo sheria. Ila cheo kimewazidi uwezo.
Indonesia
0
0
7
1.9K
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
📌BOOKMARK THIS‼️ ‼️ KIKOSI MAALUM KIBAHA‼️ Mdau ametuma taarifa za hiki kikosi hadi namba zao za simu Wananchi wamechoka @tanpol tunahitaji uwazi kuhusu maafisa hawa wa kikosi maalum wanaohusishwa na utesaji na utekaji wa wananchi Huyo mwenye Rasta tunaambiwa na mdau anaitwa Dany, mdau anaeleza kuwa ni afisa mwenye nyota moja. Mwingine aliyeenda kuokota pikipiki ktk ile video ya juzi anaitwa Nyamrunda. Kikosi hiki wanakijua wengi na imewaumiza watu wengi sana! Imeelezwa hapa kuwa RCO ndo anawapa resources kuanzia magari nk! Mnakumbuka nilileta mwaka jana taarifa hapa kuwa vikosi vina-coordinate na maRCO? Haya huyu mdau kaleta ramani yote Nawashukuru wazalendo ambao wamekataa kukaa kimya Nimepewa taarifa nyingi na tutazichakata zote! Tukomeshe hizi task force za kishenzi na tuseme utekaji sasa basi #EndAbductionsTz #TutaelewanaTu
Maria Sarungi Tsehai tweet mediaMaria Sarungi Tsehai tweet mediaMaria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
68
159
571
71K
Boethius
Boethius@ematiku3·
@ikulumawasliano jamaa alikuwa anataka hadi kumkumbatia Rais wetu kwa furaha. Sema mama ikabidi ajitahidi kumsukuma kimtindo 🤣.Ila ni safi it's OK. Urais ubaki kuwa cheo tu na iwe chini ya sheria nzuri na katiba nzuri.Katiba inayomfanya rais aanze jihisi kama vile ni Mungu inaua nchi za africa
Indonesia
0
0
0
119
ikulu_Tanzania
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo pamoja wa wageni mbalimbali wakati wa hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasanii wa Komedi Tanzania (TCA) katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Februari, 2025.
ikulu_Tanzania tweet mediaikulu_Tanzania tweet mediaikulu_Tanzania tweet mediaikulu_Tanzania tweet media
Indonesia
19
90
359
14K
Boethius
Boethius@ematiku3·
@jaliluzaid jamaa alikuwa anataka hadi kumkumbatia Rais wetu kwa furaha. Sema mama ikabidi ajitahidi kumsukuma kimtindo 🤣.Ila ni safi it's OK. Urais ubaki kuwa cheo tu na iwe chini ya sheria nzuri na katiba nzuri.Katiba inayomfanya rais aanze jihisi kama vile ni Mungu inaua nchi za africa
Indonesia
0
0
6
1.4K
Jalilu Zaid
Jalilu Zaid@jaliluzaid·
Said Said ndio Mchekeshaji amepata picha kali na ya kinyamwezi na Mhe. Rais.🇹🇿 📸. 🎥
Jalilu Zaid tweet media
Eesti
38
61
847
62.7K
Boethius
Boethius@ematiku3·
@CharlieBihemo Hizi Picha zinafundisha mambo mengi sana Kwanza kabisa, rais ambaye ni binadamu na kwa sababu hiyo ana vinasaba vyote vya kibinadamu kama mimi na wewe, sote tunajisikia furaha na uchungu na ni haki yetu. Kwa hiyo binadamu akipewa cheo juu ya wenzake anaitaji mipaka kikatiba.
Filipino
0
0
0
122
CharlieBihemo
CharlieBihemo@CharlieBihemo·
PICHA BORA YA MWAKAA
CharlieBihemo tweet media
Indonesia
24
32
1.8K
42.6K
Boethius
Boethius@ematiku3·
@Labella_Mafia95 Hizi Picha zinafundisha mambo mengi sana Kwanza kabisa, rais ambaye ni binadamu na kwa sababu hiyo ana vinasaba vyote vya kibinadamu kama mimi na wewe, sote tunajisikia furaha na uchungu na ni haki yetu. Kwa hiyo binadamu akipewa cheo juu ya wenzake anaitaji mipaka kikatiba.
Filipino
0
0
2
530
Boethius
Boethius@ematiku3·
@Sativa255 Tanzania hatuna @tanpol hili jeshi ni jeshi lililoundwa kwa mfumo wa kikoloni tupu. Hapa hakuna kitu. Hakuna kufwata Sheria na hata kwenye kufwata sheria hata kama wanaijua sheria wao wanafanya tu. Jeshi linafanya kazi kimazoea kwa sababu huo ndio msimamo wa Serikali. Hovyo
Indonesia
0
0
2
737
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Msikilize alietekwa 20.2 (JUZI).
HT
137
242
1.5K
172K
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
#EPL Hii ndiyo mlisema ni Chelsea ya Asali na maziwa au kuna nyingine? FULL TIME ⏰ : ASTON VILLA 2-1 CHELSEA #EPL #EastAfricaTV
EastAfricaTV tweet media
Filipino
12
4
339
15.8K
افيخاي ادرعي
افيخاي ادرعي@AvichayAdraee·
محمد رعد عم بوزع دعوات لحضور جنازة حسن نصرالله على "الطالع والنازل"، وكأنه يقول " بعرضكن تعوا حضروا جنازته" لدرجة اعتقد البعض أنه لم يستثنني. رغم أن الدعوة لم تصلني بعد، "بلكي" بالطريق😬
افيخاي ادرعي tweet media
العربية
532
79
1.8K
388.2K
Boethius
Boethius@ematiku3·
@piersmorgan Your business agendas within the club is Ending Arsenal. Remember we are living in a new error but imagine a quater of century No EPL Trophy,at all time No UEFA Champions league trophy. Trust me very soon you will start fighting just for not dropping for championship,Fuck you.
English
0
0
0
85