Sabitlenmiş Tweet
ERAL06
3K posts

ERAL06 retweetledi

@rangoke_2 @lilbosco__ Jau mimi kuna s10 yangu nilipeleka kwa fundi kurudi simu betri linatingishika
Indonesia

@VungaEl74 😀😀tupe tathmini yameharibika mangapi walkuwa nayo mangapi yaliyobaki mangapi tujue kuwa ni kweli
Indonesia

Israel na Marekani wanacho kifanya ni pindi tu Irani anarusha kombora .
Wenyewe wanaelekea pale pale kombora lilipo tokea kwa muda ule ule ndio maana wamefanikia kuharibu mahandaki mengi ya irani pamoja na magari ya kubebea siraha
US-ISRAEL hawatoi pumzi kwa Irani ndio maana uwezo wa kurusha unapungu kabisa siku mpaka siku
Na Irani baada ya kulijua hilo inawalazimu Kubeba kwanza makombora na Kuya Peleka mbali na kwenye mahandaki
Viwanda vya kuchakata na kuhusika na utengenezaji wa siraha vingi vimelipuliwa sana
Ilani anatumia ana magara ya siraha machache sana yaliyo baki kwa sasa.


Indonesia

Iran ilifyatua makombora mawili ya balestiki ya masafa ya kati intermediate-range ballistic missiles kuelekea kituo hicho cha kijeshi cha pamoja cha Marekani na Uingereza katika Bahari ya Hindi.
Umbali ni takriban 4000 km kutoka Iran, ambayo inazidi umbali rasmi wa makombora yao yanayojulikana (2000 km), hivyo inaibua masuala makubwa kuhusu uwezo wao wa siri au wa hivi karibuni.
Hapa ndiyo maelezo muhimu Makombora hayakufikia au kugonga kituo
Moja iliharibika au kushindwa katika safari failed in flight, na lingine lilishambuliwa na kombora la kuzuia la Marekani SM-3 interceptor kutoka meli ya kivita ya US Navy. Hakuna ripoti ya madhara au majeruhi katika kituo.
Hii ilitokea baada ya Uingereza kuruhusu Marekani kutumia vituo vyake (pamoja na Diego Garcia) kwa mashambulizi dhidi ya Iran, hasa katika eneo la Strait of Hormuz.
Iran inaonekana kuitikia kwa kuonyesha uwezo wa kufikia mbali zaidi.
Tukio hili linaonyesha kuwa Iran inaweza kuwa na makombora yenye umbali wa zaidi ya 2000-4000 km hadi kufikia Ulaya Kusini kama Roma au Athene, ambayo inabadilisha ramani ya vitisho.
Hii ni mara ya kwanza Iran kujaribu shambulio la moja kwa moja dhidi ya kituo hiki cha kimkakati, ambacho kinatumika kwa ndege za mabomu k.m. B-2, B-52, meli,


Indonesia
ERAL06 retweetledi

Hongereni nyote mulio pewa nafasi ya kuguswa na kuhakikisha Afya na uhai wangu ni muhimu. Kupitia sadaka zenu kwa kila mmoja wenu nimepokea laki 14,8500 kwajili ya kupambania Afya yangu. Binafis niwashukuru sana na mwenyezi Mungu Awabariki nyote muliguswa kwenye hili. @mrunguj9

Indonesia
ERAL06 retweetledi

Hizi hapa ni impressions kwa kipindi cha miezi mitatu 14.1million.
Nataka kusema nini, Kufikisha impressions 5million ili uingie kwenye mfumo wa malipo ya Elon Musk ni rahisi sana na unaweza ukawapata zaidi ya hao anaohitaji.
Muhimu ni kutokea X kila siku ya Mungu kama unavoingia whatsap haijalishi unafollowers wangapi.
Na usiwe mtu wa kukaa kimya kuwa hata Reply Guy hakunaga mtu asiyefikiria.

Indonesia
ERAL06 retweetledi
ERAL06 retweetledi
ERAL06 retweetledi






















