Heche na team yake appreciation tweet!
Je, wajua kuwa Chadema kupitia viongozi wake @HecheJohn na @jjmnyika hufanya hadi mikutano 4 kwa siku?
Na muda tunaokuwa tumelala, wao huutumia kuhama kutoka wilaya/mkoa mmoja hadi mwingine?
Imagine hiyo dedication!!
Na hapo hawana ruzuku!
BREAKING: Makamu M’kiti wa Chadema, John Heche amenusurika kuuwawa huko Igunga baada ya mkutano wake kuvamiwa na wahuni waliokuwa na Visu pamoja na Mapanga. Wahuni wao wamedhibitiwa na wananchi. Tunaendelea kukusanya taarifa. Tukio hilo lilipangwa na Waziri Mohamed Mchengerwa.
Wamepaniki kila MUHIMILI unahasira na CHADEMA
-BUNGE linashambulia ,MAHAKAMA inashambulia na hawa SERIKALI ndio kabisa wanashambulia kila mwananchi anaeonesha kuwa KINYUME nao hii ni hatari ila inabidi tupitie hata wakituuwa leo wapo watakao baki na kuwa Mashujaa ✍️✊️
Leo nimeamka roho yangu inaniuma sana napopita kwenye page ya MDUDE. Hivi ni kweli tumekubali mwenzetu apotezwe? Ukimya wetu unatoa tafsiri gani? Nafsi inasema ndugu yetu bado yuko hai,WE HAVE TO FIGHT TO GET HIM BACK.@Mwabuk2Boniface@HecheJohn@MariaSTsehai@TitoMagoti
Katika makosa ambayo tunafanya kama wa Tz, ni kudhani taasisi ya kwanza kurekebishwa ni Tume then polisi
65% ya matatizo ya Tz ipo ikulu, 20% ipo Mahakama
Mengine yote yanatokana na udhaifu hapo juu.
Siku polisi, Tume wakijua Mahakama inatenda haki, meza ya 65% inapinduka
Mwaka 2020 Hamidu Mwanga Alikua Mkurugenzi Wa Usimamizi Wa Uchaguzi
Mwaka 2025 Hamidu Ndie Jaji Aliyetoa Hukumu Ya Kusitisha Shughuli Za CHADEMA Kwa Siku 14
Huyu KIBAKA ndie alievuruga UCHAGUZI MKUU 2020, leo huyu KIBAKA anaifungua CHADEMA isifanye kazi zake siku 14 ZANZIBAR.
Tunapambana na DOLA, hili haliturudishi nyuma hata kidogo. Hii nchi itakombolewa mtake msitake.
#NoReformsNoElection#TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Mwenyekiti kesi ya Uhaini, wakaendelea mbele
G55 🤡na genge lao wakaibuka, bado wakasonga
Msajili akaficha ruzuku, wakasonga
Viongozi wao kuzuiwa movement
Wanachama kuvunjwa miguu, kutekwa, kudhalilishwa
Sasa ni zamu ya Mahakama
CHADEMA imekua kama Musa mbele ya Farao
Neno No reform no Election na Jina Chama cha Mapinduzi ni maneo halali katika mukhtadha wa kisiasa.
Si tarajii kushuhudia siku CCM ikitoka madarakani viongozi wake kutuhumiwa kwa uhaini kwasababu ya jina la chama chao maake ujinga ukitamalaki hekima huchagua kunyamaza.
Tuwe timamu kwa kuzingatia mukhatadha wa neno au jina kulingana na mazingira ya neno au hali ya jambo husika.
TUMEANZA MAHAKAMANI. Haki ya,Mdude Mpaluka Nyagali ni Haki ya Binadamu. HATUTA KAA KIMYA wewe ni Ndugu na Rafiki.
The movement is thriving
@TunduALissu stood firm when many didn’t understand!
Alijitoa mhanga akaweka mguu chini akasema “#NoReformsNoElection ndo njia pekee !”
Leo yupo gerezani na kesi feki ya uhaini ila harakati imechangamka!
Mbeba maono!
Sambaza ujumbe
#NoReformsNoElection