
Chalii
5.6K posts




Huyu hapa Hayati Magufuli hapa anaongelea kuhusu taarifa za Hesabu za serikali, ipo clear hajawahi kuwa mpole dhidi ya wizi. Kuna Magufuli yupo vichwani mwenu na Magufuli aliyeishi machoni mwa waTZ, huyo wenu sijui mmempataje vichwani mwenu. Sometimes mnahitaji kuwa honest guys.

Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, Dk. Modestus Francis Kipilimba, amesema Hayati Dkt. John Pombe Magufuli alikuwa ni Kiongozi Mfanyakazi asiyechoka iwe usiku au mchana anafanya kazi na kwa hivyo alikuwa anawahamasisha Viongozi wengine wote kutolala na kuendelea kuchapa kazi. Akiongea leo March 17,2026 Chato Mkoani Geita kwenye kumbukumbu ya miaka mitano ya JPM, Kipilimba amesema “Mama Janeth Magufuli nakushukuru sana Mama, maana nilipopata mwaliko kuja huku nikasema sitokosa kwasababu kweli marehemu John Pombe Magufuli alikuwa Kiongozi tuliyefanya nae kazi kwa ukaribu sana na kama ilivyoelezwa na Mimi nimejifunza mengi sana kutoka kwake” “Jambo moja ambalo sitolisahau alikuwa Mfanyakazi asiyechoka, usiku mchana anafanya kazi na kwa maana hiyo alikuwa anatuhamasisha sisi sote tulikuwa hatulali unategemea usiku saa tisa atakupigia na kwakweli tumefanya nae kazi vizuri na matokeo yalikuwa mazuri mabadiliko makubwa tumeyaona wote” “Awamu ya sita ilipata pazuri pa kuanzia, hatutomsahau marehemu Rais John Pombe Joseph Magufuli, alikuwa Rafiki, Kiongozi na mfano wa kuigwa” #MillardAyoUPDATES



















"Parokia ya Mtakatifu Father Mapendo." "Tunamuombea kwa jina la Baba Mtakatifu." Anaefanya ujinga huu afanye kautafiti au ahusishe wenye akili. Kanisa jimbo kuu la DSM halina parokia ya Mtakatifu Father Mapendo. Hatuombi kwa jina la Baba Mtakatifu. Mnamwaibisha mnaemtumikia.


DODOMA: Abubakar Asenga ambaye ni Mbunge wa Kilombero (#CCM) ameyasema hayo Januari 27, 2026 akiwa Bungeni. #JamiiForums #Siasa









