
hamadi msangi
230 posts

hamadi msangi
@hamadimsangi
Lomwe secondary school Mkwawa high school Udsm graduate 2006 Entrepreneur,Tutor,Educator,counsellor. Qur-aan sunnah al-manhaj as-salaf [email protected]


Mfungwa aliyehukumiwa jela miaka 30 kwa kesi ya ulawiti, Lista Chisoma, amemuomba Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kumuhurumia na kumpa msamaha wa kutoka gerezani wakati huu ambapo amebakiza miaka miwili ya kutumikia kifungo chake ambapo amemuomba Rais pia kuwa Wafungwa wengi wanahitaji huruma yake. Mfungwa amesema hayo leo May 09,2026 baada ya Rais Samia kufika kwenye banda ambalo halikuwa anashona wakati Rais akikagua mabanda kwenye shughuli ya kuhitimisha Mafunzo ya Uongozi Ngazi ya Juu Kozi Namba 28 na Uongozi Daraja la Pili Konzi Namba 48 kwa Mwaka 2025/2026 katika Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania. Mfungwa huyo amesema “Nimeingia nikiwa darasa la saba kwa msaada wa Megereza mwaka jana tumefanya mtihani wa form four utusaidie magereza kuna Watu wamekaa sana, mfano mie miaka 13 nimekaa, mtusaidie kuona jinsi gani tunasaidiwa, miaka miwili iliyobaki nisukumie nitoke nje, kule Magerezani kuna Watu wanahitaji huruma yako uwasaidie” #MillardAyoUPDATES















NEW: US and Ukrainian officials continued peace talks to end the war in Ukraine in Miami, Florida, on December 4 and 5.⬇️(1/2) Available open-source information indicates that Russian forces have not encircled Ukrainian forces in Myrnohrad as of December 5, as Russian forces continue efforts to complete the encirclement of the Pokrovsk-Myrnohrad pocket. Russian forces are attempting to completely deny Ukrainian tactical- and operational-level logistics to the Pokrovsk direction using drones to achieve effects of battlefield air interdiction (BAI). Ukrainian forces continue to strike Russian oil and defense industrial base (DIB) infrastructure. Five unidentified drones flew over a major French nuclear submarine base on the evening of December 4 amid increasing reports of drones flying over European military infrastructure. Russian forces committed a war crime in the Siversk direction.


























