Jaffar Haniu

86 posts

Jaffar Haniu banner
Jaffar Haniu

Jaffar Haniu

@haniupekee

District Commissioner - Rungwe, Mbeya

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Aralık 2013
25 Takip Edilen23.9K Takipçiler
Jaffar Haniu
Jaffar Haniu@haniupekee·
Lupepo Sekondari Rungwe
Jaffar Haniu tweet media
Indonesia
21
37
448
29.5K
Jaffar Haniu
Jaffar Haniu@haniupekee·
Leo tarehe 05 Januari, 2024 nimezindua Zahanati ya Ilenge katika Kata ya Kyimo ikiwa ni jitihada za kuwasogezea wananchi huduma ya afya karibu.
Jaffar Haniu tweet media
Indonesia
1
6
38
5.2K
Jaffar Haniu
Jaffar Haniu@haniupekee·
Tarehe 14 Oktoba, 2023 nilipata fursa ya kutembelea Ziwa Ngozi ikiwa ni moja ya vivutio vya Utalii wilayani Rungwe. #utaliiwandani
Jaffar Haniu tweet mediaJaffar Haniu tweet mediaJaffar Haniu tweet mediaJaffar Haniu tweet media
Indonesia
1
5
21
2K
Jaffar Haniu
Jaffar Haniu@haniupekee·
Serikali imeendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ikilenga kuwaondolea changamoto mbalimbali Wananchi ikiwemo usafirishaji, elimu, afya, maji na umeme.
Indonesia
0
1
8
620
Jaffar Haniu
Jaffar Haniu@haniupekee·
Leo anmezindua ujenzi wa barabara ya Ndulilo mpaka Itete kwa Kiwango cha Lami inayounganisha kata ya LUFINGO na KYIMO yenye umbali wa KM 11.38 kwa gharama ya shilingi Billion 8.9
Jaffar Haniu tweet media
Indonesia
3
5
24
2.3K
Jaffar Haniu
Jaffar Haniu@haniupekee·
Kheri ya Siku ya Wafanyakazi
Jaffar Haniu tweet media
Indonesia
3
9
140
10.4K
Jaffar Haniu retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
I congratulate the people of Kenya on their peaceful general election and the subsequent announcement of Dr @WilliamsRuto as President-elect. We look forward to continue working together with our brothers and sisters in Kenya to strengthen our historically close ties. Tuko pamoja
English
1.4K
3.9K
27.7K
0
Jaffar Haniu retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Ninapenda kuwapongeza kwa dhati wananchi wa Kenya kwa kushiriki uchaguzi wao mkuu kwa amani na utulivu, ambapo matokeo yake ni Dkt @WilliamsRuto kutangazwa kuwa Rais mteule wa Kenya. Tanzania itaendeleza undugu na ushirikiano wa Kihistoria na Kenya uliodumu miaka na mikaka.
Indonesia
634
1.1K
7.5K
0
Jaffar Haniu retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Nawapongeza Madaktari na Wauguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kufanikisha upasuaji wa kuwatenganisha watoto mapacha walioungana. Hii ni hatua muhimu katika utekelezaji wa mpango wa serikali kuboresha matibabu ya kibingwa. Nawaombea watoto Rehema na Neema wapone haraka.
Samia Suluhu tweet media
Indonesia
418
465
3.8K
0
Jaffar Haniu retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Katika siku hii ya Wanawake Duniani, nawapongeza wanawake wote kwa mchango wenu katika kujenga uchumi, kustawisha jamii na kudumisha amani na utulivu. Napenda kuwatia moyo na ari zaidi, na nawaahidi ushirikiano katika kuendelea kuyatimiza majukumu hayo kwa faida ya Taifa letu.
Filipino
578
757
5.7K
0
Jaffar Haniu retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Nimesikitishwa sana na kifo cha Dkt. @mwelentuli, mwana wa Afrika ambaye ameitumikia vyema Tanzania ndani na nje ya mipaka. Pole zangu zimfikie Mzee John Malecela na familia yake yote wakati huu wa majonzi mazito. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi, Amin.
Indonesia
520
453
3.7K
0
Jaffar Haniu retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Hongera Wana CCM wenzangu kwa chama chetu kutimiza miaka 45. Chini ya CCM Tanzania imepata mafanikio makubwa kiuchumi, kijamii, kisiasa na kiutamaduni. Tumedhihirisha kuwa CCM ni chama sahihi kuongoza dola. Tuendelee kusimamia misingi yetu ili kutimiza matarajio ya Watanzania.
Samia Suluhu tweet media
Indonesia
877
465
4K
0
Jaffar Haniu retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
We follow with a lot of excitement the Beijing 2022 Olympics and Paralympic Winter Games. We wish the Government and the People of China best wishes in hosting this world greatest event.
English
502
347
4K
0
Jaffar Haniu retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Nawashukuru nyote kwa salamu za kheri katika siku yangu ya kuzaliwa. Nimeuona upendo wenu, na ahsanteni kwa Dua zenu. Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia afya njema na umri. Ninawaahidi kuendelea kufanya kazi kwa juhudi na maarifa katika kuitumikia nchi yetu. Kazi Iendelee.
Indonesia
1K
520
4.3K
0
Jaffar Haniu retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Kheri ya siku ya kuzaliwa kwa Mheshimiwa Dkt. Salim Ahmed Salim, mtumishi mahiri wa umma wa Watanzania, Afrika na Dunia kwa zaidi ya miongo minne. Katika siku hii adhimu ya kumbukumbu ya miaka 80 ya kuzaliwa kwako, tunakushukuru kwa utumishi uliotukuka kwa nchi yetu.
Samia Suluhu tweet media
Indonesia
469
486
4.5K
0
Jaffar Haniu
Jaffar Haniu@haniupekee·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika mazungumzo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Ikulu Zanzibar.
Jaffar Haniu tweet media
Zanzibar South and Central, Tanzania 🇹🇿 Indonesia
1
3
134
0
Jaffar Haniu
Jaffar Haniu@haniupekee·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi rasmi Kiwanda cha Nguo cha Basra Textile Mills Ltd kilichopo Zanzibar katika shamrashamra za kuelekea Maadhimisho ya miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Jaffar Haniu tweet media
Zanzibar South and Central, Tanzania 🇹🇿 Indonesia
2
1
65
0
Jaffar Haniu retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Nimeshtushwa na vifo vya Watu 14 wakiwemo Wanahabari 6 vilivyotokea leo asubuhi baada ya gari lililokuwa katika msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kugonga na Daladala. Poleni Wafiwa, Wanahabari na jamaa wote. Mungu aziweke mahali pema roho za Marehemu na Majeruhi wapone haraka.
Indonesia
794
516
4.4K
0