I Haisam
6.3K posts


MASOMO 7 YA MAISHA AMBAYO @moodewji AMEWAHI KUSEMA .
Mo Dewji aliwahi kusema kitu rahisi lakini kizito:
“Usiogope kuanza kidogo.”
Biashara nyingi kubwa Afrika zilianza kama biashara ndogo sana.
Tatizo la vijana wengi sio kukosa uwezo ni kusubiri kuanza mpaka wawe na kila kitu

Indonesia

@AfricanoGooner @Elmagnificotz @Sisimizi3 Hakuwa na Utajiri huo wa Kumzidi ROSTOM
Hakufikia hata Utajiri wa Marehemu Yusuf Manji.
Indonesia

@Elmagnificotz @Sisimizi3 Ni Mo tu ndie aliekua ammemzidi huyo Rostam ndio aliemfuata,
Indonesia

@AfricanoGooner @Sisimizi3 Sihitaji kuzungumzia hili katika lengo la Dini
Mengi alikuwa Tajiri lakini sio wa Kufikia Level walizo nazo hao.
Indonesia

@Sisimizi3 Mengi alikua anapesa kuliko hao waarabu uliowataja, halafu hao sio wa TZ mfano mzungu Aishi huku kama MTZ, waislamu weusi wengi ni masikini sababu asilimi kubwa sio wasomi
Indonesia

@WizarayaUJ @tanroadshq -Tengenezeni/ Fanyeni Marekebisho ya Barabara zetu "zimekuwa Mbovu sana' Kila sehemu Mashimo yamekuwa mengi... Tunaoutumia hizi Barabara huwa tunaona Ajali Nyingi zinazosababishwa na Barabara kuwa Mbovu...
Indonesia

Hiyo ya ndani ilikuwa inaitwaje??😂😂😂
Veesmart2🌹@Veesmart2
Millennials wakiona hivi zamani wanapagawa
Indonesia

Wewe pia ni Millenials...!
angel bellerin02@angelbellerin02
Choose the kind one , it's a long road ❣️📌
Indonesia



















