Liber Nehemiæ

42.6K posts

Liber Nehemiæ banner
Liber Nehemiæ

Liber Nehemiæ

@iamNehemia

Just someone with a curious mind exploring technology | Learning, writing and building in public

Dar Es Salaam - Tanzania Katılım Mayıs 2011
3.7K Takip Edilen10.1K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Liber Nehemiæ
Liber Nehemiæ@iamNehemia·
Kama unatumia Google Drive, maboresho haya mapya ya Google yatakushangaza! Gemini kwa sasa imeunganishwa moja kwa moja ndani ya Google Drive! Hizi hapa ni sehemu 4 zilizo fanyiwa maboresho...🧵=>
Liber Nehemiæ tweet media
Indonesia
1
1
3
838
Liber Nehemiæ
Liber Nehemiæ@iamNehemia·
@MkulimaKante Bila kugusa pain point za waumini kupata doo ni ngumu hasa kwa kizazi hili cha Gen Z.
Indonesia
1
0
1
2
Kante
Kante@MkulimaKante·
Natamani sana makanisa yetu badala ya kuhubiri mafanikio ya kimiujiza Wafundishe watu wao uhalisia wa kupambana na umaskini kwa mbinu halisia, Kanisa isiwe sehemu ya kuwaambia waumini "pokea gari, pokea nyumba" Badala yake waumini waelezwe vizuri namna pesa inategwa. Najua kwa hakika watu wote hatuwezi kuwa matajiri lakini watu wote tunao uwezo wa kuwa na uchumi imara. Watumishi wetu wajifunze namna njem ya kuwahubiria watu, Injili za miujiza zimepunguza sana watu kuwa hard workers📌
Indonesia
3
2
4
78
Liber Nehemiæ
Liber Nehemiæ@iamNehemia·
@Adv_innocent 😂😂🙌 Raia wa Mbezi Mwisho hawafagilii Brand wala nini, na huna cha kuwaambia. Kuuza hata simu ya maana Kwa Mbezi ni kipengele, wengi wana ujuaji wa kishamba.
Indonesia
1
0
1
25
Adv.Innocent⚖️
Adv.Innocent⚖️@Adv_innocent·
Mbezi mwisho Ukitaka Ufunge Duka Lako la vifaa vya umeme ongelea vibaya kampuni za ABORDER na SUNDER.
7
18
46
411
Liber Nehemiæ
Liber Nehemiæ@iamNehemia·
Always kuna makundi mawili 1. Wanaoujua UMASIKINI kwa kusoma katika vitabu 2. Wanaoujua UMASIKINI kwa kuuishi. Wote wanaujua ila kwa namna tofauti.
Filipino
0
0
0
8
Kante
Kante@MkulimaKante·
Muombe sana Mungu kizazi chako kisije kuyaishi maisha ya umaskini. -Umaskini unatesa. -Umaskini unadharirisha -Umaskini unakushusha hadhi. Adui yetu awe umaskini kila inapoitwa leo📌
हिन्दी
5
7
16
102
Liber Nehemiæ
Liber Nehemiæ@iamNehemia·
Kujifunza ujuzi kwa nja ya mtandao isn't a joke. Wengi wanatamani kujifunza lakini hawajui waanzie wapi. Wajifunze nini na kwa nini, Je kinalipa in a long run!? Nimekusogezea skills tano unazoweza kujifunza online free kabisa, na sehemu gani nzuri za kujifunza. 1.Copywriting (Uandishi wa kibiashara) Kuuza kwa njia ya maandishi, hapa unajifunza kumshawishi mteja kwa njia ya maandishi, kuandika matangazo, emails, na maandishi ya kuuza bidhaa. Biashara zote zinahitaji mauzo => Pesa Hauitaji experience kubwa kuanzia kujifunza copywriting, unachohitaji ni kujua namna ya kuandika. Hapa unaweza kulipia kozi kutoka kwa mtaalamu wa copywriting Tanzania @NyandaAmosi, ingia hapa the-mcb.grwebsite.com/kisha fuata taratibu zote kupata kozi yako. Au unaweza anza kujifunza hapa for free copyschool.co/unskippables-h… 2.Social Media Management (Usimamizi wa mitandao ya kijamii) Wafanya biashara na makampuni yanahitaji mtu atakayeweza kusimamia kurasa zao za mitandao ya kijamii. Ubunifu wa kupost, kutengeneza caption na reels zitakazo badili followers kua wateja. Hapa unaweza kulipia kozi kutoka kwa @samsonmbembela, @CoachRusagira ni wa Tanzania wanaofanya vizuri kwenye hii industry. Au unaweza kujifunza hapa for free coursera.org/learn/social-m… 3.Video Editing Utengenezaji wa maudhui kwa njia ya video ni kitu inayohitajika sana katika industry ya sasa. Uzuri hapa level ya ubunifu wako ndio itaamua ulipwe kiasi gani. But mostly wanaoanza hulipwa 10$-20$. Unaweza kuanza na simple tools kama Capcut then ukahamia kwenye tools kubwa kama Adobe premiere pro, After Effect nk Hapa chimbo ni moja tu YouTube 🐐 4.Web Development Website ni kitu most of companies, business or individuals wanahitaji kuendesha na kusimamia shughuli zao za kila siku. Kwa beginner unaweza anza kujifunza HTML, CSS, JavaScript au Word press uanze kutengeza pesa. Sehemu ya kujifunza for free ni share.google/PPvQzeISX0s1E3… 5.Ai Skills (Akili unde) Kutumia Ai tools kama claude, Chatgpt ku automate kazi, kutengeneza maudhui ya kibiashara. Mf kutumia Ai kuandika CV, kuandaa content strategie ya biashara nk Unaweza jifunza mwenyewe na ni for free from Google ai ai.google/learn-ai-skill… 6.Graphics Design Ni watu wanaohitajika karibu kila sekta kutengeneza logos, posters na design kwa shughuli mbali mbali. Hapa kwa anaye anza chimbo ni moja tu YouTube 🐐 Graphic ndio kitu najifunza kwa sasa, Unaweza pitia portfolio yangu hapa behance.net/nehemiagodbles niko tayari kujifunza na kufanya kazi na mtu binafsi, taasisi au kampuni. NB: Kama mwanafunzi unayetaka kujifunza skills hususani za mtandaoni jitahidi usichanganye madesa. ➣Chagua skill moja tu, ➣Jifunze na upractise, ➣Tengeneza samples 4-8 ya kile ulichojifunza hii itakusaidia kama proof baadae unapo tafuta kazi, ➣Tafuta wateja => insta, upwork, x, cold dms nk Mwisho tafuta community ya watu wa Kariba yako. Connect nao, jifunze kwao, share ujuzi wako, ikiwezekana hudhuria event zinazoendana na niche yako. Ndio utakapokua kwa haraka. Kama kuna kitu umejifunza repost ili na wengine wajifunze. Nifollow @iamNehemia Kisha sogea hapa whatsapp.com/channel/0029Vb…… kupata fursa zilizo kwenye tech industry.
Liber Nehemiæ tweet mediaLiber Nehemiæ tweet mediaLiber Nehemiæ tweet mediaLiber Nehemiæ tweet media
Indonesia
1
2
2
41
Liber Nehemiæ retweetledi
IAmHaule
IAmHaule@IAmHaule·
Namna nilivyotengeneza MILIONI 5 kwa siku saba tu. Sio bahati. Sio miujiza. Ni maamuzi. Kabla hujasema kitu, soma hadi mwisho Siandiki hii kujisifu, na siandiki kukuuzia ndoto Naandika kwa sababu kuna mtu anaamini hana nafasi ya kutoboa ila sio kweli nafasi ipo tena kubwa 🧵
Indonesia
3
10
34
1.5K
Kante
Kante@MkulimaKante·
Kesho Elon Musk analipa wafanyakazi wake. Je umejiandaa kupokea kitita cha sh.ngapi???
Kante tweet media
Indonesia
3
1
12
331
🇯🇲JamaicanSweetheart🇯🇲
There’s this guy anaitwa Yateli ni bolt driver, yule kaka anaipenda sana kazi yake. I hope some of y’all have experienced his services despite kumuona tu instagram
Filipino
4
6
85
12.1K
Liber Nehemiæ retweetledi
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Wengi sijui AIBU au WOGA wanaogopa kuonesha wanachofanya, Kazi, Talent ama Ajira na kurudia kila siku hadi wakawa wakubwa Watu wanadhaniaga me natamba kila siku kusema Dubai This Dubai that😄 Kumbe me ndo kazi yangu ndo namna nnavotangaza BIASHARA yangu Sio lazima niseme kila post nauza kitu X toka Dubai bei X sasa social media ina Principle moja "What gets repeated gets remembered And what gets remembered gets repeated" Vile unarudia rudia watu wanameza kuna mtu fulani anafanyaga hiki acha nimcheki anisaidie,aniuzie,tufanye nae hiki. Yateli Content yake sio ngumu kila siku anaonesha experience yake anavofanya kazi Sasa @LocalFundi_ unaweza kila siku kutuonesha uko Site bila kuchoka?
🇯🇲JamaicanSweetheart🇯🇲@LocalFundi_

There’s this guy anaitwa Yateli ni bolt driver, yule kaka anaipenda sana kazi yake. I hope some of y’all have experienced his services despite kumuona tu instagram

Indonesia
6
9
121
8.1K
Liber Nehemiæ
Liber Nehemiæ@iamNehemia·
@ShijaDenis Quick share hua napenda kuitumia kuliko Bluetooth. Iko fasta kuliko. Hii ya ku share Whatapp nitaijaribu.
Indonesia
1
0
1
54
Denis_developer🐼
Denis_developer🐼@ShijaDenis·
Moja ya best way kushare picha Kwa quality nzuri pale green app au social media nyingine ni ku create quaickshare link ambapo unaemtumia ata download file Kwa original quality kama ilivo kwenye device iliotoka hii n njia poa Sana kushare files
Denis_developer🐼 tweet mediaDenis_developer🐼 tweet media
Filipino
1
1
18
655
Liber Nehemiæ
Liber Nehemiæ@iamNehemia·
Huu mji hakuna anayelala, wengi tunapumzika tu!
Eesti
0
0
0
22
Liber Nehemiæ retweetledi
Learners Bookshop
Learners Bookshop@Vitabu247·
Kaa mbali na hivi vitabu kama hutaki kuingia gharama ya kusoma vitabu maisha yako yote. 1. RichDad Poordad 2. Atomic habits 3. Richest man in Babylon 4. Psychology of Money. Kwanza, humo ndani umasikini umeshushwa thamani sana. Pili, utafutaji wa maarifa kama sehemu ya maisha yako umepewa hadhi ya juu sana Tatu, hivyo vitabu vinakuonesha una uwezo wa kubadilika na kubadilisha maisha na vinakupa namna ya kupita Nne, Utajiri umefanywa kuwa jambo jepesi kiasi kwamba kila mtu anaweza kuufikia. Kwanini nimesema ukae navyo mbali ni kwa sababu maarifa ni gharama lakini gharama kubwa ipo kuuishi ujinga.
Learners Bookshop tweet mediaLearners Bookshop tweet media
Indonesia
3
10
60
2.4K