jacklicious

324 posts

jacklicious banner
jacklicious

jacklicious

@jack36841955

mungu azidi kunisaidia

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ekim 2016
1.2K Takip Edilen476 Takipçiler
jacklicious
jacklicious@jack36841955·
@swahilitimes Tamaaa ya madaraka inaitwa cdm ingekuwa inagombea hata hakuna mtu angehama hata wakina esta wangebakiiii tamaaaa tu simkae kimya tu km halima
Indonesia
0
0
0
54
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
“Nimejiridhisha kwa asilimia 100 CHADEMA haitainuka tena, sahauni hilo. Kama mnafikiri kwamba CHADEMA itainuka, haitainuka, imebaki pale ilipo, ilipofia CUF na NCCR- Mageuzi ndipo ilipofia CHADEMA.” - Yericko Nyerere, aliyekuwa kada wa CHADEMA baada ya kujiunga CHAUMMA
Swahili Times tweet media
Indonesia
187
27
635
48.4K
jacklicious
jacklicious@jack36841955·
@IAMartin_ Martin usije kugeuka Naww gafla tukakuona chauma na bony
Suomi
0
0
0
11
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Waliosema na kuasisi kauli mbiu ya #HakunaKuhamaChama kwa madoido katika uchaguzi wa ndani wa chama chetu ndiyo karibu wote wameamua kuhama chama. Haikuwa na dhamira ya kweli. Haikutokana na ushindani wa ndani wa kisiasa. Maana yake, hii ilikuwa kauli mbiu ya KITAPELI tu.
Indonesia
157
360
2.3K
53.4K
Handsome La Kijiji
Handsome La Kijiji@ManenoIzaak·
@chacha_heche Mnakaza tu shingo lakini uchaguzi huu umeleta madhara mengi sana ndani ya chama hiki, chama kimekosa kabisa umoja na mshikamano kwa sababu tu watu waliangalia maslahi yao kuliko chama.
Indonesia
9
1
9
1.9K
Handsome La Kijiji
Handsome La Kijiji@ManenoIzaak·
CDM walifanya kosa kubwa kuwasimamisha Aikael na Antiphas kama wagombea nafasi ya uenyekiti taifa ambao kila mmoja alikuwa na kundi lake linalomuunga mkono Kilichotakiwa kufanyika wangetafutwa wagombea wawili tofauti ndani ya chama then wakagombea kusingekua na madhara makubwa.
Indonesia
119
26
290
46.5K
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
“Ee Mungu, Wewe ndiwe mfalme wangu, … Kwa nguvu zako tutawaangusha watesi wetu; Kwa jina lako tutawakanyaga watupingao. Maana sitautumia upinde wangu, Wala upanga wangu hautaniokoa. Bali Wewe ndiwe uliyetuokoa na watesi wetu; Na watuchukiao umewaaibisha.” Zab 44:4-7 Miaka zaidi ya 10 iliyopita nilifanyiwa maombi na nilishauriwa nisimame upande wa Haki, niweke hapo focus, na Bwana Mungu atanipigania Leo hawaelewi haya madhulmat ndo maana kila siku wanabaki kulia na kunitaja tu 😁 Asante Bwana Mungu wa majeshi 🙏🏽 nijalie nguvu na ustahamilivu ktk mapambano haya makubwa
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Filipino
57
152
831
28.8K
jacklicious
jacklicious@jack36841955·
@mtubakiLofa @Sativa255 Duh km yupo haiii why hawamrudishiii hawez kuwa haiii hd Leo mungu tenda km yupo haiii arudiii salama
Indonesia
0
0
0
138
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
MDUDE BADO YUPO HAI.🚨 Nimepokea taarifa za mdude kutoka Vyanzo viwili tofauti kwa week hii. Na vyote vinathibitisha MDUDE yupo hai. Hali yake ni mbaya sana na wamemuimiza sana. YUPO kwenye moja ya nyumba zao WATEKAJI hapa DAR. Hawajamuweka kwenye vituo vya polisi wanajua haya wanayofanya hayaungwi mkono na polisi wote. Nichukue nafasi hii kumkumbusha IDI AMINI MAMA-Mdude aliandika Wosia september 19 2024 kuwa maisha yake yapo HATARINI anapokea vitisho vya KUTEKWA,KUPOTEZWA & KUUWAWA. WOSIA WAKE aliuweka wazi kuwa muhusika mkuu ni SAMIA SULUHU HASSAN. Hata ikitokea jambo lolote kwake basi sheria ichukuliwe dhidi yake “SAMIA SULUHU HASSAN yeye na kizazi chache na kizazi chake mpaka YESU ATAKAPORUDI” Turudishieni ndugu yetu, INATOSHA. #FreeMdude #TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet media
Indonesia
91
314
1.6K
117.5K
jacklicious
jacklicious@jack36841955·
Eid mubarak all my friend
English
1
0
1
31
January Makamba
January Makamba@JMakamba·
Eid Mubarak kwa kila mmoja wetu hapa.
Indonesia
87
61
577
29.6K
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Jioni ya leo, niliposhiriki na watoto yatima na wenye mahitaji maalum Iftar niliyowaandalia, Ikulu, Dar es Salaam.
Samia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet media
Indonesia
282
274
1.8K
178.2K
jacklicious
jacklicious@jack36841955·
@Eric__Bernard Mm Waki zima tushavuna sio mbaya changamkieni fursa tu mjini LBL kumenoga
Indonesia
0
0
2
501
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Hii Kampuni ya LBL ikoje? Naona Wimbi la Vijana kujiunga huko ni kubwa naskia Pesa nje nje kwa Kuangalia tu Video? Hii Nchi hii 😂🙌
Indonesia
71
28
849
106.4K
jacklicious
jacklicious@jack36841955·
@Sativa255 Umeonyesha utuuu hata km Ana mabaya yake hakosii pia mazur aliyowafanyia cdm
Indonesia
0
0
4
525
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Asante baba wa DEMOKRASIA.❤️🙏🏿 Kashinda LISSU ila wapenzi wa DEMOKRASIA alieshinda ni MBOWE. Bila Demokrasia ya Uchaguzi huu pale ukumbini leo tusingekuwa na mshindi huyu tuliempata leo. Kwangu utaishi moyoni mwangu milele. Sitasahau ukiwa Tanga kwenye mkutano wa hadhara 27/6 uliongelea tukio langu la kutekwa na kupigwa Risasi kwa ukali na uchungu sana. Umekuwa msaada kwenye maisha yangu Binafsi, utabaki kuishi kama BABA MOYONI MWANGU. Asante FREEMAN MBOWE.🫡
SIR TIVA tweet media
Indonesia
119
377
3.5K
111.4K
John Heche
John Heche@HecheJohn·
@freemanmbowetz Asante sana Mwenyekiti, umetujenga na kutulea, umeonesha demokrasia kwa kuongoza timu kusimamia uchaguzi wa wazi, huru na haki.. Historia ya Tanzania itakukumbuka, kama mtu uliejenga demokrasia na kuleta mageuzi makubwa kwenye Nchi na chama chetu.
Indonesia
155
772
5.1K
84.6K
Freeman Mbowe
Freeman Mbowe@freemanmbowetz·
Nimepokea kwa mikono miwili maamuzi ya uchaguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama chetu CHADEMA uliohitimishwa leo asubuhi 22 Januari 2025. Nampongeza Mhe. Tundu Lissu na wenzake kwa kuaminiwa kutwikwa jukumu la Uongozi wa Chama. Nawatakia kila la kheri katika kukipeleka mbele Chama chetu.
Freeman Mbowe tweet media
Indonesia
2.5K
2.9K
13.8K
808.5K
jacklicious
jacklicious@jack36841955·
@Ntobi_ Nimecheka mnooo cdm itabaki moyon kwako
Indonesia
0
0
0
16
NTOBI
NTOBI@Ntobi_·
Nimeondolewa kwenye uenyekiti, Nikalime zagu sasa!😀😀😀😀😀
NTOBI tweet media
Indonesia
439
96
2.3K
148.4K
January Makamba
January Makamba@JMakamba·
😄 Hapana. Sikupeleka. 1. Kuna kijana anatengeneza hiyo michezo aliomba kutumia picha yangu. Sikumkatalia. 2. Shida ya barabara aliyosema ni ya kweli kabisa. Kazi nzuri imefanywa na Serikali yetu, lakini hatujaweza kuifikia hiyo barabara. 3. Tuna deni la ratiba ya kuanza ujenzi.
PRAYFORTANZANIA@mostoni1989

Hongera sana bwana @JMakamba kwa kupeleka madrafti pale mjini Bumbuli

Indonesia
179
81
946
159.3K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kaka nimesoma mabus ya njano tangu DARASA LA KWANZA mpa form 6. Sisi ndio waasisi wa shule ya UWATA. Kimombo hapa kimelala. Mtandaoni tunapenda kuonekana vile wengi wanapenda.😂🫵🏾 Ungekuwa unaongea na mm ndio ungejua mm kimombo sio shida kwangu.
SIR TIVA tweet media
Kassala@Vicent_Kassala

Kimeandikwa Kimombo lakini.

Indonesia
62
28
770
132.2K
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
KURA YA WAZI 1. Kama unaenda na Mbowe comment MBOWE 2. Kama unaenda na Lissu comment LISSU. Piga kura tu, hakuna kampeni wala porojo😎. Twende kazi⬇️
(---) Onesmo Mushi tweet media(---) Onesmo Mushi tweet media
Indonesia
972
89
1.3K
162.1K