jaster

23.8K posts

jaster banner
jaster

jaster

@jastertz

𝐂𝐨𝐧𝐭𝐞𝐧𝐭 𝐂𝐫𝐞𝐚𝐭𝐨𝐫|| ||Statistician|| @ManUtd 𝐅𝐚𝐧|| 𝐒𝐢𝐧𝐠𝐥𝐞 ❤️ || 𝐓𝐡𝐚𝐧𝐤 𝐆𝐨d 🙏

East Africa Katılım Ocak 2019
6.5K Takip Edilen10.1K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
jaster
jaster@jastertz·
MEN ZINGATIA HAYA NA KUYAEPUKA 1. Usiuze ardhi ya baba zako(urithi) Kuwa makini pale unapotaka ya kuuza ardhi uliyorithi. Hiyo ni ya uzao wenu na wako. Ukiuza unaweza wapa watoto wako shida usizojua zimetokana na nini. Zab 22:28 2. Acha kujichukia. Huwezi kumfurahisha.. Uzi🧶
jaster tweet media
हिन्दी
59
186
973
109.2K
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Kwanza, ni muhimu kuelewa kuwa akiba ya mafuta ya miezi mitatu (strategic/operational reserves) inalenga kuhakikisha upatikanaji wa bidhaa haukatiki (security of supply), siyo kudhibiti bei zisibadilike. Katika masoko ya mafuta, bei huamuliwa na mchanganyiko wa gharama za kimataifa (international benchmark prices kama Brent), gharama za usafirishaji (freight), bima (insurance premiums), pamoja na gharama za ndani kama ushuru na logistics. Hivyo hata kama mafuta yaliyopo yaliletwa kabla ya mabadiliko ya bei duniani, thamani yake ya kiuchumi hubadilika mara moja kulingana na bei ya sasa ya soko (market valuation), siyo bei ya zamani ya ununuzi. Pili, biashara ya mafuta inaendeshwa kwa kanuni ya ‘replacement cost pricing’ badala ya ‘historical cost’. Hii ina maana kuwa bei ya kuuza leo inaangalia gharama ya kununua mzigo unaofuata, siyo gharama ya mzigo uliopo. Kama utaendelea kuuza mafuta kwa bei ya zamani wakati gharama ya kuagiza mzigo mpya imepanda kwa kiasi kikubwa, basi mapato utakayopata hayatatosha kurejesha kiwango kilekile cha stock (volume). Hii husababisha kile kinachoitwa ‘inventory loss’ au ‘under-recovery’, ambacho kinaweza kupelekea upungufu wa mafuta sokoni. Ndiyo maana marekebisho ya bei hufanyika mapema kabla hata akiba ya zamani haijaisha. Tatu, katika muktadha wa Tanzania (na nchi nyingi zinazo-import mafuta), mfumo wa ununuzi wa pamoja (bulk procurement system) unalenga kupata bei shindani, lakini bado unaathiriwa moja kwa moja na mabadiliko ya soko la dunia na thamani ya fedha (exchange rate risk). Hivyo kinachoonekana kama faida ya muda mfupi kwa wauzaji au serikali, kiuhalisia ni ‘price smoothing mechanism’ inayolinda mzunguko mzima wa ugavi (supply chain sustainability). Kwa lugha rahisi: fedha inayopatikana leo kwa bei ya juu ndiyo itakayowezesha kununua mafuta ya kesho kwa bei hiyo hiyo ya juu, ili kuhakikisha kiasi cha mafuta (volume) kinabaki kilekile bila kusababisha uhaba sokoni.
The SPECIAL ONE ™️@bajabiri

Wewe ulikutana na Waziri, alikwambia "Kuna mafuta ya kutosha" Kwanini mafuta yapande kwa 1000/= wakati bado tunatumia mafuta yaliyopo kwenye reserve ya hadi Julai? Naombeni mnipe shule hapa,haya mafuta tunayotumia yameingia kwa meli kipindi hiki cha VITA au yalikuwepo kabla?

Indonesia
133
103
325
34K
Mr IBU 🇪🇦
Mr IBU 🇪🇦@ZenjiboyZnz·
"Nitageuka shoga kwanza kabla ya kukubali kuwa sativa sio tapeli . I just can't" mliganya 2026
Mr IBU 🇪🇦 tweet media
Indonesia
70
37
224
43.2K
Madenge
Madenge@rollymsouth·
Toka 29 tuko kwenye vita kali sana ya kisiasa iliyojaa hisia nyingi na uchungu(hadi kukoseana heshima). Tunapoibadili vita hii na kuwa vita ya uchumi binafsi baina yetu vijana tunapoteza direction zaidi na wanufaika ni wachache na wanafurahia(huyu atabet,huyu atafanya hiki but lengo ni hela hakuna ajira tuheshimiane but tuwe kwenye mstari mmoja-kuikomboa nchi),sio kila ukweli lazima usemwe mwingine unauacha watu waje washuhudie wenyewe(binafsi nimejifunza hilo), tupishane mawazo but tusipoteze direction... Kijiti kwenu Gen Z💪
Indonesia
228
111
1.2K
119.1K
jaster retweetledi
INTERIOR PORN
INTERIOR PORN@INTERIORPORN1·
Nobody would ever see me again if I had this
INTERIOR PORN tweet media
English
22
94
1.4K
154.6K
jaster
jaster@jastertz·
kama dhambi zako hazikuingizii hela okoka tu.
Burundi 🇧🇮 Indonesia
0
0
0
13
jaster retweetledi
Mbaade 🤠
Mbaade 🤠@Hamis_Mbaade·
Mwanamke anakuomba Pesa mwisho wa mwezi unamjibu huna adi anakuuliza "Si umelipwa?", Uthubutu uliopitiliza 😂😂🙌
Indonesia
30
47
293
11.8K
jaster
jaster@jastertz·
Do you remember when you joined X? I do! #MyXAnniversary
jaster tweet media
Tanzania 🇹🇿 English
0
0
0
8
jaster
jaster@jastertz·
@nickshirleyy @Chrizzyness CNN: “Hello it’s CNN, are you committing fraud?” Somali childcare center: “Hi. No, we are a legitimate business. There’s no fraud here.” CNN: “We have established that there is no fraud.”
Tanzania 🇹🇿 English
0
0
5
103
Nick shirley
Nick shirley@nickshirleyy·
HAPPY NEW LEAR! IS THE MSM STILL DEFENDING FRAUDSTERS WHO STEAL YOUR MONEY?? THIS LEAR WE HOLD FRAUDSTER ACCOUNTABLE
English
2.1K
4.9K
41.9K
585K
jaster
jaster@jastertz·
@Cobratate Me still wondering why @elonmusk personally has more children than the entire Minneapolis Somali daycare system😂
Tanzania 🇹🇿 English
0
0
0
18
Andrew Tate
Andrew Tate@Cobratate·
+ 17,560,000 USD Good week.
English
2.6K
550
18.9K
2.2M
jaster
jaster@jastertz·
Elon personally has more children than the entire Minneapolis Somali daycare system😂
Tanzania 🇹🇿 English
0
0
0
24
Nick Freitas
Nick Freitas@NickJFreitas·
Journalist @nickshirleyy didn't uncover what Minnesota politicians and media missed. He uncovered what they orchestrated and covered up. Protect @nickshirleyy at all costs.
English
375
3.9K
35K
330.6K
jaster retweetledi
Nick shirley
Nick shirley@nickshirleyy·
🚨 Here is the full 42 minutes of my crew and I exposing Minnesota fraud, this might be my most important work yet. We uncovered over $110,000,000 in ONE day. Like it and share it around like wildfire! Its time to hold these corrupt politicians and fraudsters accountable We ALL work way too hard and pay too much in taxes for this to be happening, the fraud must be stopped.
English
46.5K
221.4K
684.3K
142.9M
jaster retweetledi
Eric
Eric@amerix·
GOOD NEWS: Nobody cares. BAD NEWS: Nobody cares. BEST NEWS: You have yourself, and that is what matters. #ManDay
English
257
6.4K
19.6K
390.9K
jaster retweetledi
Mfalme👑🇹🇿
Mfalme👑🇹🇿@MfalmewaX1·
Dear wafalme, Ukijipata kuwa mkali na hela zako.
Filipino
21
64
522
25.5K
jaster retweetledi
Liverpool FC
Liverpool FC@LFC·
Ending our 2025 travels with a win ✊🔴 #TOTLIV
Liverpool FC tweet media
English
899
4K
18.3K
689.3K
jaster
jaster@jastertz·
The most difficult decision of in life.🤣🤣 Avicii with "The Nights" and Alan Walker with "The Spectre" are two key landmarks of the electronic scene that marked an era and helped define the EDM sound globally. Both tracks transcended the club to become generational anthems, connecting millions with their energy, melody and message. "The Nights" represented the emotion and spirit of progressive house, conveving a philosophy of life that turned electronic music into something deeply emotional. For their part, "The Spectre" consolidated the electropop and digital aesthetics of modern EDM reinforcing its global impact and identity as an influential culture... #Music
Tanzania 🇹🇿 English
0
0
1
41
jaster
jaster@jastertz·
@MoSalah Chelsea have zero shot on target despite having the best player in the world (Palmer) and Man United starboy (Garnacho) 😭😭😂
jaster tweet media
Tanzania 🇹🇿 English
0
0
0
222