mwinuse

4.3K posts

mwinuse banner
mwinuse

mwinuse

@jaymaabadi

hakuna Mola apasae kuabudiwa kwa haq isipokuwa Mwenyezi Mungu

Katılım Ekim 2017
2.6K Takip Edilen1.7K Takipçiler
Nizzy junior
Nizzy junior@nehemiacharles1·
@jaymaabadi @CoolestDudeOnX @VungaEl74 @fabrizAfricano1 Wagalatia 5:18-25 18 Lakini kama mkiongozwa na Roho, hamko tena chini ya sheria. 23 Hakuna sheria inayopinga mambo kama haya. 24 Wote walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili pamoja na tamaa zake. 25 Kwa kuwa tunaishi kwa kuongozwa na Roho wa Mungu, basi tufuate uongozi wake.
Indonesia
1
0
0
5
The 🧑‍🌾
The 🧑‍🌾@DomaTheKing·
@jaymaabadi @VungaEl74 @fabrizAfricano1 Ukristo hauna ya kidunia, uislamu ambao mudi aliua maelfu ili kusimamisha dola ya kiislam Yesu akamjibu, “Ufalme wangu si wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ingekuwa hivyo , watumishi wangu wangenipigania nisitiwe mikononi mwa Wayahudi. Lakini sasa ufalme wangu si wa hapa.”
Indonesia
1
0
0
11
mwinuse
mwinuse@jaymaabadi·
@DomaTheKing @VungaEl74 @fabrizAfricano1 Torati, zaburi, injili, Quran mwenyewe mmoja naye ndio muumba wa ardhi na mbingu mfalme mshindi anaweza kuweka baadhi ya maneno yake kuyoka kwenye injili kuweka kwenye quran haulizwi. Shida ni hizo nyaraka za Sauli zilizo tengeneza biblia 😺😺
Indonesia
1
0
0
10
mwinuse
mwinuse@jaymaabadi·
@Roma_Mkatoliki Namaanisha aliwaacha mumkosoe hakuwaua wala kuwafunga wakati ndio mkulu.
Indonesia
1
0
0
48
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
@jaymaabadi Kwann ushangae sasahivi akipewa tuhuma, wakati umeshakiri nilimkanyagia enzi hizo, si ni maana ake hata enzi hizo alipewa tuhuma, au kukanyagiwa maana ake nn? au hujaelewa unaandika nn?
Indonesia
1
1
3
159
mwinuse
mwinuse@jaymaabadi·
@siyagaenock1 @VungaEl74 inasema hawaku msulubu wala hawakumuua ila walibadilishiwa mwingine. Hiyo marko inasemaje
Filipino
1
0
0
5
PaYRoLL🗽
PaYRoLL🗽@CoolestDudeOnX·
@jaymaabadi @VungaEl74 @fabrizAfricano1 Paulo hasemi Mungu hana sheria. Paulo anasema sheria ya Mungu imeandikwa kwenye mioyo ya wanadamu. Wewe ndo ukamsome Paulo. Nafahamu kwamba uislam unamchukia Paulo kwasababu amenyooka.
Indonesia
1
0
0
11
mwinuse
mwinuse@jaymaabadi·
@CoolestDudeOnX @VungaEl74 @fabrizAfricano1 Warumi maana yake ni waraka wa Paulo kwenda kwa warumi. Msome Paulo kwanza umjue halafu ndo tujue Mungu hana sheria au ni janja ya mtu ili awatoe makosani washirika wake
Indonesia
1
0
0
17
PaYRoLL🗽
PaYRoLL🗽@CoolestDudeOnX·
@jaymaabadi @VungaEl74 @fabrizAfricano1 Ukisoma kitabu cha Warumi, kinaelezea concept ya dhamiri. Kwamba kuna watu hawajui juu ya uwepo wa Mungu na sheria zake lakini wanatambua lipi jema kulifanya na lipi baya lisifanywe na hakuna aliyewahi kwenda kuwahubiria.
Indonesia
1
0
0
112
mwinuse
mwinuse@jaymaabadi·
@CoolestDudeOnX @VungaEl74 @fabrizAfricano1 Mwanadamu hawezi kujua uhusiano mzuri baina yake na Mungu mpaka aambiwe hili zuri hili baya na hili fanya hiko acha akitii ndio uhusiano mzuri huja. Akiasi ndio amevunja uhusiano. Uhusiano ni sheria
Indonesia
2
0
0
16
PaYRoLL🗽
PaYRoLL🗽@CoolestDudeOnX·
@jaymaabadi @VungaEl74 @fabrizAfricano1 Ukristo ni uhusiano binafsi baina ya Mwanadamu na Mungu. Mifumo ya ulimwengu ni utashi wa mwanadamu ambao amepewa na Mungu. Ndio maana hata nchi zinazoongozwa kiislam bado kuna dhiki tupu. Mifumo ya kibinadamu haijakamilika.
Indonesia
1
0
1
18
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Mshenzi yeyote wa CCM akifa ni furaha kwa umma, haijalishi amekufaje. Aliwe na mbwa, ajikwae, apate ajali, apigwe bomu, apotelee usingizini, aumwe, vyovyote vile, ni furaha kwa umma. Wafe tu mbwa hawa!😡
Indonesia
4
24
177
3.2K
The 🧑‍🌾
The 🧑‍🌾@DomaTheKing·
@jaymaabadi @VungaEl74 @fabrizAfricano1 Hiyo ya miaka 600 ni agano jipya, agano la kale ni maelfu ya miaka nyuma, mwamedi anasema kashushiwa Quran ambayo imeiba vitabu Bible ipo nayo maelfu ya miaka nyuma tayari 😂😂
Filipino
1
0
2
29
mwinuse
mwinuse@jaymaabadi·
@mzalendo_taifa Huwa mnaibiwa kirahisi sana ndugu zetu katika Adam Allah awaongoze
Indonesia
0
0
2
1.2K
Mzalendo wa Taifa
Mzalendo wa Taifa@mzalendo_taifa·
TUSUBIRI UNABII MWINGINE UTIMIE, HAWA MANABII TUWE TUNAWAELEWA SASA MAANA HATA KITUO KINAFUATACHO TAYARI KINAJULIKANA.
Filipino
17
87
506
41.8K
Bony 📚
Bony 📚@bonifacejoseph_·
Mathayo 28 : 19 “Basi enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.” 2 Wakorintho 13 : 14 “Neema ya Bwana Yesu Kristo, na pendo la Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote.” Hakuna miungu 3, Bali ni Mungu mmoja aliye kwenye nafsi 3. Yesu kabla ya kupata mbinguni alitupa ahadi ya kutuachia Roho mtakatifu, Matendo ya Mitume 1 : 5, Roho mtakatifu baada ya kushuka watu wote wakajazwa ( wale mitume) Matendo ya Mitume 2 : 4. Nafsi ya Mwana ndo ilitumwa duniani kuja kutukomboa kwenye utumwa wa dhambi Yohana 3 : 16, Hapo Mwanzo alikuwapo neno, naye neno akafanyika mwili, akakaa kwetu Yohana 1 : 14., hapo maana yake Yesu alikuja duniani kama Mwanadamu. Mungu baba yeye kazi yake ilikuwa ni uumbaji, ukisoma kitabu cha Mwanzo
Ray Asel@rayasel94

@bonifacejoseph_ @Makaveli_255 Biblia imethibitisha haya unayosema?

Filipino
9
1
28
2.1K
mwinuse retweetledi
mKigoma ⚓
mKigoma ⚓@husseinabui·
Msikiti ni mitipu kama vile siku kadhaa nyuma haikuwa ramadhani..
mKigoma ⚓ tweet media
Indonesia
1
2
14
412