jide

2.8K posts

jide

jide

@jjide_boy

Tunauza simu za aina zote mpya na used, laptops, Airpods, smart watches https://t.co/Eut9cHAlOr Money on mind & God by my side💵

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ocak 2024
665 Takip Edilen394 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
jide
jide@jjide_boy·
Hivi nin adhabu sahihi Kwa mwizi? Matukio kama haya usiomb uyashuhudie na yawe nayakuhusu kinamna fulani ni hatari sana 😭
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
0
0
0
14
BK Sports
BK Sports@bettingkingz9·
Am I following you?
BK Sports tweet media
English
123
27
114
1.6K
jide
jide@jjide_boy·
Mkimaliza kutuombea mabaya, kuziba rizik zetu, kutukatisha tamaa basi msisahau kuwaombea wanaotutegemeaa wafanikiwe maana kutukwamisha sisi mmekwamisha mamia ya watu nyuma wanaotutegemeaa🤝. Gm x family shusha handle yako tufoliane
Tanzania 🇹🇿 Suomi
1
0
1
5
jide retweetledi
Maisha Halisi
Maisha Halisi@MR_SIMON18·
Ee Nafsi yangu Umuhimidi Bwana, Naam vyote vilvyo ndani yangu vilihimidi jina lake takatifu Zab 103:1 Pumzi + Uhai =Neema Neno lako ni taa ya miguu yangu + mwangaza wa njia zangu Zab 119:105, zab 43:13 Bila wewe Mungu si kitu, Wewe ndio chaguo la maisha yangu Yn 6:68
Maisha Halisi tweet media
Indonesia
7
10
10
200
Faza 🪵
Faza 🪵@The_Mizani·
Unaweza kufurahia breakfast kama hii asubuhi?
Faza 🪵 tweet media
Indonesia
8
7
20
226
jide
jide@jjide_boy·
@The_Mizani Kwa hiyo unanywea na chai au vitumbus😂
Filipino
1
0
1
10
jide retweetledi
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Dua ni Ileile tunaanza na Mungu tunamaliza Mungu,A new Week + New Energy ,Wote tukawe Washindi ..,Morning blessing X Fam ...!!🔥🔥💪🏿🙏🏿
Eng.Mapunda Jr tweet media
Filipino
30
37
79
484
jide
jide@jjide_boy·
Dogo janja tu kamaliza 4 mwaka jana😭 daah
jide tweet media
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
1
0
0
37
jide
jide@jjide_boy·
Wanangu tufanye kazi kitaa kina hasira sana😌, apa mtaan kwetu kuna wezi wameiba simu tu oyaa wamekula Moto kimasihara
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
0
0
1
39
PABLO
PABLO@PabloYende·
Muda wa Kujisomea mwanangu Sativa Hasomi anawaza Mikeka Tu 🤠
PABLO tweet media
Indonesia
2
4
50
1.9K
Ariella
Ariella@Ariella_24·
Do you have 0 followers? Drop hello 👋 💐 Gain 2k followers now 🙋‍♀️🔔
English
40
28
36
683
Daktari Wa Manesi 💉💊
Daktari Wa Manesi 💉💊@McinikaWaLamar·
UMRI WA MIAKA 25 - 40+ 1. ​Upweke unakuwa sehemu ya maisha na Unagundua kuwa matatizo yako mengi lazima uyatatue mwenyewe kimyakimya. 2. Marafiki wanatoweka. Kila mtu anakuwa busy na maisha yake 3. Majukumu yanaongezeka 4. Muda unakimbia kwa kasi zaidi. 5. Makosa yanakuwa ya gharama kubwa. Unatambua kwamba huna tena muda wa kufanya majaribio au michezo 6. ​Ndoto za kufikirika zinafika mwisho. Uhalisia wa maisha unatawala, unatafuta amani zaidi kuliko kitu chochote ​Huu Umri unatakiwa kuwa mpole na maisha na kubaki mtulivu katikati ya dhoruba hii yote na kusonga mbele bila kukata Tamaa
Indonesia
14
49
140
4.2K