Kasenene
2.3K posts

Kasenene
@kasenene2000
Law of reasoning

Leo, Ikulu jijini Dar es Salaam, nimempokea Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame, aliyewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja. Tanzania na Rwanda si tu ndugu na majirani, bali pia ni washirika wa kimkakati wenye uhusiano unaoendelea kukua kwa kasi. Takribani asilimia 70 ya shehena ya Rwanda inapitia katika bandari za Tanzania. Biashara kati ya nchi zetu mbili imefikia shilingi bilioni 644 mwaka 2025, na uwekezaji kutoka pande zote mbili unaendelea kuchochea ajira na ukuaji wa uchumi kwa wananchi wetu. Katika mazungumzo yetu, tumekubaliana kuongeza kasi ya ushirikiano kwa kuondoa vikwazo visivyo vya kikodi, kuimarisha biashara na uwekezaji, na kuwekeza zaidi katika miundombinu ya usafiri na usafirishaji, mawasiliano, pamoja na nishati ya uhakika. Aidha, tutaimarisha ushirikiano katika masuala ya ulinzi, usalama na ajenda za kikanda na kimataifa. Karibu tena Tanzania, Mheshimiwa Rais.
















Sisi Ngozi nyeusi muda Mwingine tuna Tamaa sana aisee Mzungu anaongea anaumia mpaka anataka kulia Ila Ee MUNGU amusaidie Tu hayo ni mawazo yangu 🤷♀️





"President Trump is paving the way for peace in the Democratic Republic of the Congo, and he has been clear that those who continue to sow instability will be held accountable…Treasury will continue to use its full range of tools to support the integrity of the Washington Accords." - U.S. Treasury Secretary Scott Bessent





"President Trump is paving the way for peace in the Democratic Republic of the Congo, and he has been clear that those who continue to sow instability will be held accountable…Treasury will continue to use its full range of tools to support the integrity of the Washington Accords." - U.S. Treasury Secretary Scott Bessent














