Milestone~Otana🇹🇿 retweetledi

“Wakati nakuja hapa nimepigiwa simu na Mdogo wake Lissu aitwaye Vicent ameniambia tangu jana jioni Mwenyekiti wetu anaumwa sana Tumbo, Tumbo linamkata haarishi lakini ana maumivu makali sana tumesema tena na tena na tena Lissu akipata shida haitaeleweka Nchi hii”-; Mhe. @HecheJohn
Indonesia































