💨mangi mkuu

70.1K posts

💨mangi mkuu banner
💨mangi mkuu

💨mangi mkuu

@kavishePb

Amsterdam, The Netherlands Katılım Mart 2020
10.5K Takip Edilen14.1K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
💨mangi mkuu
💨mangi mkuu@kavishePb·
Kwamba nisilie wala kufadhaika bali niendeleze harakati za ukombozi 😢✋
💨mangi mkuu tweet media💨mangi mkuu tweet media
Indonesia
10
52
165
15.8K
💨mangi mkuu retweetledi
KIDUKU OFSA NGIRI
KIDUKU OFSA NGIRI@Innocen89950594·
TRACK (Cotton Material) Zimenyooka Kama Mkia Wa Ngiri BEI: 25000 SIZE: M,L,XL,XXL,3XL,4XL CONTACT: WhatsApp Or Call ☎️ 0682123872 LOCATION: Kkoo Mchikichi Na Manyema DELIVERY 🚚: Ndani Ya Nchi Na Nje Ya Nchi Bonyeza Link👇 Uje WhatsApp Direct wa.me/255682123872 RT🙏
KIDUKU OFSA NGIRI tweet mediaKIDUKU OFSA NGIRI tweet media
Indonesia
0
6
12
1.9K
💨mangi mkuu retweetledi
Vicensia Shule
Vicensia Shule@vicensiashule·
Salamu zangu kwako mjomba @MrishoMpoto Natumai ulinusurika dhoruba Oktoba 29 Maisha ni kilele, lazima kukwea Tunakusubiri mjomba, kuja kumwakilisha mama Njoo tuanue tanga, kwa msiba usioisha Kutambika tulipokata kitovu, kabla ya mtoto kuzaliwa Shangazi nakusalimia mjomba✌🏿
Indonesia
8
24
160
4.4K
💨mangi mkuu retweetledi
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Wakenya wanatambuana kwa Makabila yao, WAYAHUDI wanatambuana kwa uteule na maarifa. WAIRANI: wanatambuana kwa Imani kali Shia. WASOMALI: wanatambuana kwa Biashara Bad enough WAZANZIBARI wanatambuana kwa ukosefu wa VICHOGO, hadi huwa najiuliza ilikuwaje SALIMU AHMED SALIMU akatokea ardhi ile yenye umeme mdogo 😆 😄 🤣 😂
Indonesia
7
3
43
3.6K
💨mangi mkuu retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Mapema leo, Nimeongozana na viongozi wakuu wa Chama chetu kukutana na viongozi wa African Women Leaders Network uliokuwa ukiongozwa na aliyekuwa Rais wa Liberia, Ellen Johnson Sirleaf, akiwa ameambatana na aliyekuwa Rais wa Ethiopia, Sahle-Work Zewde. Katika mazungumzo yetu tumewaeleza viongozi hawa msimamo wa Chama chetu, kama ulivyoazimiwa na Kamati Kuu ya chama , na kueleza kwa kina matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu na vitendo vya ukatili vilivyotokea kabla, wakati na baada ya tarehe 29 Oktoba 2025.
John Heche tweet mediaJohn Heche tweet mediaJohn Heche tweet mediaJohn Heche tweet media
Suomi
27
165
963
20.7K
💨mangi mkuu retweetledi
Cyancute ⭐
Cyancute ⭐@Cyancute·
Leo dada yenu nimeleta odds 2 mpate za kabeji Code, 4BHRE Stake 1.5M Odds 2+🔥 👉Kampuni Secret bet 👉Jisajili kama huna acc ‼️Zima VPN unapojisajili website link, slim.link/sbkv7dw app download, slim.link/rr37qsr promo code, ANNA bonus, 100% ✍️
Cyancute ⭐ tweet mediaCyancute ⭐ tweet media
Indonesia
5
12
20
7K
💨mangi mkuu retweetledi
💨mangi mkuu
💨mangi mkuu@kavishePb·
Inaombewa tume badala ya wafiwa wafu na majeruhi wanajiuguza adi leo? Kuna dogo mmoja juzi ndio wamerudisha kujisaidia kawaida alikua anajisaidia ubavun kwa kukatwa utumbo. Mnaabudu Mungu yupi nyie?
💨mangi mkuu tweet media
Indonesia
12
6
29
1.2K
💨mangi mkuu retweetledi
Bob Chacha Wangwe
Bob Chacha Wangwe@BobWangwe·
Umefanya vizuri kuliweka sawa Daktari! Tuna haki ya kuwa na mashaka kwasababu tumeumizwa sana lakini tutafanya makosa kama mashaka hayo yatakuwa yanaumiza wenzetu bila kuwa na ushahidi! @Advocate_Kisabo sio project anatakiwa kuelekezwa tu! Vijana wanaojitolea kama Paul sio wengi!
Rugemeleza Nshala@rugemeleza

Napenda kuwajulisha umma na wote wenye mapenzi mema kwa Tanzania, Chadema na Mwenyekiti Tundu Lissu kuwa Jopo Mawakili la kumtetea na kumfanyia utafiti Mwenyekiti Lissu li imara kabisa. Kwa niaba ya Chadema ninapenda kuwashukuru mawakili na wanasheria wote waliojitolea muda wao, taaluma yao, rasilimali zao na mshikamano katika kumtetea Mwenyekiti Lissu. Mmeonyesha kuwa mu marafiki wa kweli katika vita dhidi ya Mamumiani na mafisadi wa demokrasia ya kweli katika nchi yetu. Katika harakati tunazoendesha tofauti lazima zijitokeze na hata kutiliana mashaka. Msikatishwe tamaa hata mara moja tusonge mbele kwa pamoja. Kama mjuavyo sasa tumepeana mwongozo wa namna ya kutoa taarifa zimuhusuzo Mwenyekiti Tundu Lissu. Taarifa hizo zitatolewa na uongozi mkuu wa chama, Mwanasheria Mkuu na Mkurugenzi wa Sheria baada kushauriana na Mwanasheria Mkuu. Jopo la Mawakili wa Mwenyekiti Tundu Lissu ni hawa wafuatao: Orodha ya mawakili: 1. Mpale Kaba Mpoki 2. Dr Rugemeleza Nshala 3. Peter kibatala 4. ⁠Jeremiah Mtobesya 5 Hekima Mwasipu 6.Gaston Garubindi 7. ⁠Jebra Kambole 8. ⁠Deogratius Mahinyila 9. ⁠Paul Kisabo 10.Sisty Aloyce 11. ⁠Nashon Nkungu 12.Catherine Michael 13. ⁠Ikoti Lissu 14. Emanuel Chengula 15. ⁠Gloria Ulomy 16. ⁠Deus Singa 17. ⁠william Maduhu 18. ⁠Fredinand Makore 19.Jacob Mogend 20. ⁠Dorice Kafuku 21. ⁠Michael Mwangasa 22. ⁠Pastory Kong’oke 23. Matojo Cosata 24. Mzee Alute Mughwai Lissu. 25.Dickson Matata 26. Edward Heche 27.Maria Mushi 27. Selemani Mohamed Matauka 28.Michael Lugina 29. Melchiory Sanga 30. Edson Kilatu. Naomba tuwatie moyo Mawakili hawa wote na tusonge mbele kwa pamoja na kwa moyo mmoja (tiyende pamodzi, ndi mtima umodzi) kama Mzee Kenneth Kaunda alivyotufundisha. Aluta continua Vitoria e certa!

Indonesia
12
42
243
10.7K
💨mangi mkuu retweetledi
Hasta La Victoria Siempre
Vuguvugu la mgomo wa madaktari lilionekana mwanzoni April 2012. Kikwete aliona Shamsi Nahodha Yuko soft Sana, Tar 7/5/2012 akamtoa na kumweka Mafia bwana imma Kama Waziri wa Mambo ya ndani. Imma aliona ulimboka anazingua, Tar 12/6/2012 usiku, Imma akamteka Ulimboka.
Hasta La Victoria Siempre tweet mediaHasta La Victoria Siempre tweet media
Filipino
9
49
336
22.3K
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Wakati najoin humu 2022, nilikuwa najua MAFIOSO na Neypaul ni wapenzi, kumbe mshenzi hajawahi lamba hata kisigino, kuna lile picha amemweka Ney kwenye Bajaji lake afu Ney anakuja kucomment kimapozi kwa MAFIOSO, nikajua penzi si ndo hili sasa, kumbe Mlugaluga ilikuwa ni njia ya kukuza account zake auze 😄, mshenzi sana yule 😄 🤣
Sekenke One 🌻 tweet mediaSekenke One 🌻 tweet media
Filipino
33
32
348
39.1K
💨mangi mkuu
💨mangi mkuu@kavishePb·
@fintanjr_ Na tunatakiwa tumtegemee kuwa signatory wetu kwenye mikataba ya kitaifa kama ya gas na mafuta
Filipino
0
0
0
4
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Kesho ni Jumatatu,. tupeleke watoto shule, faida ya shule sio lazma wote tuajiriwe, ni kuepuka fedheha ndogo ndogo😂💔🙌.. .
The champ👑 tweet media
Indonesia
23
21
77
2.4K
💨mangi mkuu
💨mangi mkuu@kavishePb·
@Wutangtz Sio kununulika tu ni wapimbavu wa taifa letu na hawajali kuusu ilo hata watt wao ni upuuzi tu chunguza mashuleni kuusu watt wao ni hovyo
Indonesia
0
0
0
19
Mayele jr
Mayele jr@Wutangtz·
@kavishePb Aisee hawa mashehe walikimbia shule wakiita elimu dunia sasa dunia inawatia njaa hatari ndio maana wamekua very cheap wananunulika kama nyanya tu sokoni
Indonesia
1
0
1
22
Pweza
Pweza@SaidiPweza·
@kavishePb Unategemea nini kitokee, wakati watoto wanalimbikiziwa elimu ya dunia na kupunguziwa elimu ya dini
Indonesia
1
0
1
6
💨mangi mkuu
💨mangi mkuu@kavishePb·
Sio kwa ubaya ila hawa wanafunzi wa secondary wavaa majuba wameharibikiwa mno ivi waalimu wao wa dini wanawafundisha nini hawana ofu ndani yao kabisa aseee👐
Indonesia
3
2
39
1.3K
💨mangi mkuu retweetledi
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Sema hili Picha ni underrated sana, hili picha linatakiwa liwekwe pale Mbezi, kuwakumbusha vijana mawakili wanaosubiria ajira wakiwa ndani, liwakumbushe vijana haki haiombwi inapiganiwa. Mwaga moto kwa hii timu kama unaikubali 🔥 📌
Sekenke One 🌻 tweet media
Filipino
11
73
388
6.8K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Fikiria wewe ni mwanachama wa chadema na ni Wakili wa Chadema pia ni Wakili wa Lissu ambae kwa Mwaka mzima sasa unajitolea mahakamani kwenye kesi ya Lissu, Halafu ghafla hivi unaona viongozi wa Chadema wanakukataa na kisha wanakuzushia uongo wa kiwango hiki. Poleni sana mawakili wasomi Michael Mwangasa, Hekima Mwasipu, Dokson Matata, Paul Kisabo, Nashon Nkungu, Fredrick Msaki, Deogratius Mahinyila nk, Utumishi wenu ndani ya Chadema na katika kesi ya Lissu sisi wanasiasa tunaujua, Mmetusaidia sana sana kwa miaka yote tukiwa Chadema, Tuliamini hata tukiondoka mtaendelea kuheshimiwa na kuthaminiwa, lakini bahati mbaya chama kwa sasa kiko na wanaharakati uchwara wasiojua la mwadhini wala la mnadi sala. Hiyo ndio Chadema ya Wanaharakati haina dogo inaweza kudhalilisha yeyote na kumfedhehesha, Fungukeni akili achaneni na hao wahuni, heshima mliyonayo mnaweza kusimama bila kujiegemeza kwenye hicho chama! Kwa sasa sehemu salama kwenu ni @ChaummaT tu Na Yericko Nyerere
Yericko Nyerere tweet mediaYericko Nyerere tweet mediaYericko Nyerere tweet media
Indonesia
122
22
48
15.4K