Dr. Mendy
3.7K posts

Dr. Mendy
@kazimoto49
SIMBA SPORTS CLUB FAN AND CHELSEA FC FAN.



Ninawatakia kheri ya Sikukuu ya Krismasi Wakristo na Watanzania wote. Mnaposafiri na kujumuika na ndugu, jamaa na marafiki katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu, tusherehekee kwa furaha na upendo. Kuzaliwa kwa Yesu Kristo kutukumbushe upendo kwa Mwenyezi Mungu, upendo kwa kila mmoja wetu, wajibu wa kujitoa kuwasaidia wenye uhitaji, uvumilivu na unyenyekevu. Tuendelee kukumbuka wajibu wetu wa kutunza Taifa letu ili lidumu katika amani, utulivu, haki, ukweli na ustawi wa kila mmoja wetu sasa na vizazi vijavyo. Mwenyezi Mungu awabariki nyote.

🔥ENOUGH IS ENOUGH! @SuluhuSamia, your tyranny CRUMBLES as protests ERUPT across Tanzania! In Mbeya, the fire RAGES @tanpol blocks every road like cowards, but WE THE PEOPLE smash through, dodging your brutal thugs at every turn! We gather in shadows, unite in STRENGTH, screaming FREEDOM! Your regime is ✅ step down or be DRAGGED DOWN! #SuluhuMustGo #TanzaniaProtests #MbeyaRevolution 🔥🇹🇿 RETWEET IF YOU STAND WITH US!









Nipe Elimu ya Mtu wa Mungu Mufti Sheikh Dr. Abubakar Zubeir Ali





Kiherehere cha zambarau kutaka maridhiano na hata kupanga orodha ya wahusika kinatoka wapi wakati wameshiriki uchaguzi na kushindwa kihalali? Madhila ya uharibifu wa uchaguzi hayawahusu. Kiongozi wao mstaafu hajapinga matokeo yake. Ameshindwa kihalali na mcheza kamari na chawa.










