Livingstone

63.5K posts

Livingstone banner
Livingstone

Livingstone

@licayodo

SWA | ENG, Regular Tech Guy. Pop culture interested. I post whatever I want. Mandarin & Spanish Fluent in Training. Rick Sanchez is my idol. Karibu

Katılım Mart 2015
5K Takip Edilen12.9K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Livingstone
Livingstone@licayodo·
EVIL CORP: WADUKUZI WA URUSI WANAOZITESA NCHI ZA ULAYA NA MAREKANI. Evil Corp ni mtandao wa wadukuzi wa Urusi unaongozwa na mastermind 'baby face' Maksim Yakubets. Evil Corp ilivuma zaidi katika ya mwaka 2019 na 2020 hiki kipindi walifanya matata ya hali ya juu kwenye nchi za ulaya na Marekani wakizipitia benki, makampuni ya kisheria, taasisi za kidini na watu binafsi na kuchota kiasi cha zaidi ya dola milioni 100. Maksim Yakubets yupo kwenye orodha ya "MOST WANTED" ya FBI dau likiwa ni $5 milioni, ikiwa ni yeye pamoja na washirika wenzie wa Evil Corp.
Livingstone tweet media
Indonesia
19
72
471
108.7K
Adam
Adam@AdamJoseph·
No Harry Maguire, Adam Wharton, Jarrod Bowen, Morgan Gibbs-White, Cole Palmer, Luke Shaw or Lewis Hall in England's World Cup squad? Instead Dan Burn, Jordan Henderson, Jarell Quansah, Anthony Gordon & John Stones make the cut? Thomas Tuchel's questionable talent ID is why he shouldn't be given major power at club level & it has shown again here.
Telegraph Football@TeleFootball

🚨 JUST IN: Morgan Gibbs-White has been left out of Thomas Tuchel's 26-man squad for the World Cup 🔗: telegraph.co.uk/football/2026/…

English
363
553
5.1K
2.5M
Livingstone
Livingstone@licayodo·
Man City had y'all fooled
English
0
0
0
105
Livingstone
Livingstone@licayodo·
Dunia shamba la wanyama.
Indonesia
0
0
0
17
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Nimuuliza Mshabaha kwanini hakuniuliza, aliniambia kwamba walimuomba asiniambie. Nilimpigia simu Buyobe, nikamuuliza kwanin alimdanganya Mshabaha kwamba mimi ni Girlfriend wa Msuya wakati anajua mimi na Msuya hata hatufahamiani, alijiumauma sana mwisho akajitetea kwamba Msuya alimdanganya. Baada ya hapo ndo nilipost picha ya Msuya kuomba watu wanipe taarifa zake, na watu wengine pia wakapost. Taarifa zikaanza kutiririka ndo hapo tukajua kuwa Msuya baada ya kupiga tukio jioni ya siku hiyo hiyo, alionekana maeneo ya Namanga akivuka kuelekea Dar wakati huo Buyobe yeye alikimbilia maeneo ya Busia (Hii ni kwa mujibu wa maelezo yake mwenyewe) na hapo alifanya bila kuwasiliana na mtu yeyote hata wale waliompokea hakuwajulisha, licha ya kwamba awali wakati anafika alisema haijui kabisa Kenya ni mara yake ya kwanza kufika Kenya. Kupitia taarifa izo tulizopokea ndo tulijua kwamba Msuya na Buyobe ni marafiki tangu Buyobe akiwa anafanyakazi Tanroads na zamani walikuwa wakiishi majirani, maeneo ya Ubungo Msewe. Msuya baada ya kufika Dar alimpigia simu @ExMayorUbungo, akamuomba waonane maana anachafuliwa mitandaoni, Bony alikubalia so Msuya akaenda nyumban kwa Bony, alikiri kwamba ni kweli alienda Nairobi, ni kweli alionana na Mshabaha, Buyobe, Aziz na wale Wakenya wawili ila akasema hausiki na utekaji na wala hakuwepo kwenye tukio kabisa. Wakati Bony anazungumza na Msuya Buyobe alimpigia simu Msuya, akamwambia na yeye amekimbilia Busia maana ameona baada ya hilo tukio wale watoto watamng’ang’ania, wakapiga story kidogo then Buyobe akakata simu. Badae Bony alizungumza na Mshabaha ili asikilize na upande wake, Mshabaha akamueleze tukio lote akampa na ushaidi wa namna ambavyo Msuya amehusika. Bony alimpigia simu Msuya, akamuuliza wewe umesema haukuwepo eneo la tukio, mbona maeneo yote mlikopita unaonekana kwenye CCTV ukiwa pamoja nao, Msuya akamwambia ngoja kwanza nitakupigia ndo akapotea mazima. Baada ya kufeli kwa mpango wa kumteka Mshabaha na Wanaharaki wengine, Buyobe alirudi bongo licha ya kwamba alisema maisha yake yapo hatarini, Mafwele anamuwinda. Naomba niwarudishe nyuma kidogo baada ya Buyobe kuachiwa kwa dhamana alimpigia simu @IAMartin_ akamuelezea kwamba anaomba msaada wa Wakili kwasababu anatakiwa kwenda kuripoti Polisi. Aliunganishwa na Wakili then siku ya pili akasindikizwa kureport, wakati wanafika Chang’ombe Polisi njee ya kituo wakakutana na RCO, RPC, OCCID na Askari wengine ambao ni wapelelezi pamoja na Wanachama wa Chadema ambao na wao walikuwa wameenda kuripoti. Mashuhuda wanasema RCO alimuita Buyobe “Wewe njoo hapa” Buyobe akasogea walipo. RCO akamwambia chuchumaa chini, Buyobe akachuchumaa, RCO akamwambia, tumekupa dhamana kwanini umeenda mitandaoni kutushambulia kwa mambo ya uwongo au Tukufutie dhamana? Buyobe akaanza kujitetea kwamba account yake ya X (Twitter) inaendeshwa na watu wengi na aliyewashambulia kupitia account hiyo ni Martin Maranja Masese, RCO akachukua pen na karatasi akaandika jina la MM ili akamatwe na kuhojiwa, Halafu kipindi hiko ilikuwa ni baada ya Oktoba 29 watu walikuwa wanapewa kesi za uhaini sana. Wakili aliyemsindikiza pamoja na baadhi ya Wanachama wa Chadema waliokuwa pale njee wakamwambia Buyobe “Oya vipi mbona unataka kufanya mambo yawe makubwa, kwanini unataja watu ambao hawausiki” walimind sana. Badae Wakili alimshauri aombe msamaha, ndo Buyobe akaomba msamaha na Wakili nae akawa anakazia kwa kuwambia Polisi wamsamehe. Sasa wakati anaomba msamaha RCO na RPC wakaanza kumuuliza kwamba “Tuwaambie hawa watu wa Chadema ili wakujue wewe ni nan, unajifanya wewe ni mpambanaji/Mwanaharakati wewe ni Mwanaharakati kuanzia lini? Pale pale mbele ya wanachama wa Chadema na Wakili, Buyobe akaanza kuomba msamaha huku akimsihi RCO asitoboe siri “Nakuomba mkuu usiseme” RCO akawauliza watu wa Chadema kwamba nyie mnamtetea huyu jamaa mnajua vizuri? Watu wanasema kila mmoja alibaki anashangaa maana walikosa majibu wakati huo Buyobe yeye alikuwa amenywea, kimya!. Inaendelea part 4👇
Filipino
39
113
522
66.8K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
‼️UKWELI KUHUSU BUYOBE, KWENYE SAKATA LA KUTEKWA MSHABAHA.‼️ Shuka na Thread hadi mwisho👇 Nakumbuka January 15, 2026 Buyobe alinitumia namba yake DM akasema nimchek WhatsApp kuna issue tuongee, nilimchek tukaongea. Alinielezea jinsi alivotekwa na kikosi cha Mafwele, walimvotesa n.k pia alishukuru kwa jinsi tulivompazia sauti. Katika maongezi hayo aliniambia kwamba pamoja na kwamba ameachiwa kwa dhamana bado watekaji wa Mafwele wanaendelea kumfuatilia hivyo maisha yake yapo hatarini , nilimwambia achukue tahadhari maana hao watu hawana masihara, akasema anafikiria kuondoka nchini, nikamwambia ni wazo zuri, akaniambia kama kuna Taasisi yoyote ambayo naijua inasaidia watu ambao wanachangamoto kama yake nimuunganishe nayo, nikamwambia hakuna Taasisi yoyote ambayo naijua so tukaishia hapo. Baada ya siku kadhaa alinipigia simu akaniambia, kwamba yupo mahali nilipo anaomba tuonane, tusalmiane na kufahamiana maana hatujawai kuonana zaidi ya humu mitandaoni, nikamwambia kwasasa siwezi kuonana nae kwasababu za kiusalama, nikamwambia kukiwa shwari nitamtafuta mimi mwenyewe, tukaishia hapo. Baada ya hapo alimpigia simu @Twaha_Mwaipaya akamuomba waonane, Twaha alinipigia simu kuniuliza kama namfahamu, nilimjibu Mwaipaya kwamba simfahamu zaidi ya kumuona online hivyo Mwaipaya na yeye akamkwepa badae akampigia simu @Sativa255 kumuomba waonane. Baada ya issue ya Mshabaha kutekwa ndo nikajua kwamba kumbe wakati anawasiliana na mimi kuniambia habari za yeye kuondoka nchini kuna mtu mwingine ambae alimshirikisha huyo mtu ndo alimuunganisha na @lifeofmshaba ili amsaidie kutoka nchini kwasababu alisema vijana wa Mafwele walikuwa bado wanamuwinda. Alifika Nairobi akapokelewa na @lifeofmshaba na kupelekwa mahali pa kuishi, muda wote alikuwa akidai kwamba anaumwa shingo, kichwa na miguu lakini pia alimwambia Mshabaha vitisho vya Mafwele kusema kwamba atamfira + kuonana na watekaji live ni vitu vilimuumiza sana kisaikolojia hivyo alitafutiwa Mwanasaikolojia lakin alipoambiwa aende Hospital kufanya checkup ili wajue Polisi wamemuumiza kwa kiwango gani ili apatiwe matibabu alikataa. Muda wote wakati Buyobe yupo Nairobi. Mshabaha alikuwa anakwenda kwake kumjulia hali kutokana na madai ya changamoto yake ya afya alokuwa nayo. Siku ya tatu, Buyobe alimpigia simu Mshabaha akamjulisha kwamba, nyumban kwake kuna mgeni ambae na yeye kalazimika kukimbia Tanzania kwasababu Mafwele anataka kumuua akaenda mbali zaidi akamdanganya kuwa mgeni huyo ni Mwanachama wa CHADEMA wakati si Mwanachama wa Chadema. Mshabaha alifika mahali alipokuwa anaishi Buyobe akamkutana huyo mgeni ambae Buyobe alimtambulisha kuwa anaitwa Aidan Msuya ni rafiki ake wa miaka mingi. Buyobe alimdanganya Mshabaha kwamba Msuya alikuwa Diwani wa Chadema wa Ubungo huku akijua fika kwamba Msuya hajawai kuwa Diwani. Mshabaha alimuliza ndani ya CHADEMA anamfahamu nani Buyobe akasema @ExMayorUbungo na Hilda Newton japo kwasasa Msuya hana mahusiano mazuri na Bony. Ili Mshabaha amuamini zaidi Msuya, Buyobe akamdanganya Mshabaha kwamba Msuya ni boyfriend wa Hilda Newton wakati huo anajua fika kwamba mimi na Msuya hatufahamiani kabisa. Mshabaha alimwambia kama anamahusiano na Hilda mpigie simu, Msuya akasema hapana itamletea shida, maana amekuja hajajipanga Mafwele amefunga account zake zote za Bank na kama girlfriend wake, akijua yupo Nairobi na akashindwa kumuhudumia itakuwa aibu sana kwake, haya ni maswali walikuwa wanajibu Buyobe na Msuya kwa pamoja na kwasababu walijua wanasema uwongo, wakamuomba Mshabaha asiniambie chochote so Mshabaha akakausha. Huo ndo ukawa mwanzo wa Mshabaha kumfahamu Msuya ikawa kila akienda kumuona Buyobe anamkuta Msuya kuna wakati walikuwa wanaenda kula pamoja, Mshabaha hakuwa na wasiwasi na Msuya kwasababu ya Utambulisho ambao alipewa na Buyobe, aliamini ni mtu Genuine. Buyobe akatoa wazo wapate gari maana na hali yake ya kiafya na usalama ni muhimu wakawa na gari, mara wazo likawa linafanyiwa kazi na Msuya. Part 2 inaendelea hapa 👇
Hilda Newton tweet media
Filipino
176
414
1.5K
266.7K
Manchester United
Manchester United@ManUtd·
A great among greats. That's our Bruno ⭐️
Manchester United tweet media
English
637
11.6K
104.3K
2.4M
Cork City FC
Cork City FC@CorkCityFC·
This is our final post on X.
Cork City FC tweet media
English
4.5K
1.1K
16.3K
2.6M
Aibaogun Izeokhai O.
Aibaogun Izeokhai O.@MAKA_1NE·
Is barcelona playing so well or madrid are just bad?
English
3
1
2
136
Livingstone
Livingstone@licayodo·
el clásico without real madrid.
Español
0
0
0
57
FC Barcelona
FC Barcelona@FCBarcelona·
How do you feel before El Clásico? 👇👀
Español
452
213
3.8K
134.3K
Mzungu Mweusi
Mzungu Mweusi@Bamdogo__·
Mshindwe nyie ambao mnataka tumsajili Diouf wa west ham. Pepo toka
Indonesia
5
2
45
2.3K
Livingstone
Livingstone@licayodo·
can the world just end coz wtf!
English
0
0
0
14