Licious_tz

10.1K posts

Licious_tz banner
Licious_tz

Licious_tz

@licious_tz

Soulaires, France Katılım Haziran 2022
470 Takip Edilen31.2K Takipçiler
Licious_tz
Licious_tz@licious_tz·
#TaifaKwanza #KataaVurugu Tume imeeleza kwamba kilichofanyika hayakuwa maandamano kwa kuwa yalikiuka Sheria za Kimataifa, Kikanda pamoja na Katiba na Sheria za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. #TumeNaUkweli
Filipino
0
2
0
38
Licious_tz
Licious_tz@licious_tz·
#TaifaKwanza #KataaVurugu Tume imependekeza waliotuhumiwa au kutajwa wapewe haki ya kusikilizwa kwa kufanyika upelelezi wa kina ili hatua stahiki zichukuliwe. Wanaharakati uchwara wanataka watu wahukumiwe kabla ya kusikilizwa. #TumeNaUkweli
Indonesia
0
3
3
18
Licious_tz
Licious_tz@licious_tz·
#TaifaKwanza #KataaVurugu Tume imependekeza Katiba Mpya ipatikane 2028 ili itumike kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2029 na Uchaguzi Mkuu 2030. Hongera sana Tume ya Jaji Mkuu Othman Chande. #TumeNaUkweli
Indonesia
0
1
0
14
Licious_tz
Licious_tz@licious_tz·
#TaifaKwanza #KataaVurugu Tume itakutana tena na Wadau pamoja na Waandishi wa Habari kufafanua taarifa na uchunguzi wa Tume. Tuepuke upotoshaji wa Wanaharati Uchwara. TumeNaUkweli
हिन्दी
0
3
2
26
Licious_tz
Licious_tz@licious_tz·
#TaifaKwanza #KataaVurugu Taarifa ya Tume ya kuchunguza vurugu za Oktoba 28 imeweka msingi wa kutuongoza kama Taifa ili kupata suluhisho ya malalamiko katika nchi yetu. Tuwakatae Wanaharakati Uchwara na upotoshaji wao. #TumeNaUkweli
Indonesia
0
5
4
25
Licious_tz
Licious_tz@licious_tz·
Ushahidi unaonyesha vurugu zilikuwa zimepangwa, ziliratibiwa, zilifadhiliwa na zilitekelezwa na watu waliofuzu mafunzo maalum. Viongozi wakuu walikaa nyuma na kuwatumia vijana kama zana za mbele. #UkweliOktoba29
Licious_tz tweet mediaLicious_tz tweet mediaLicious_tz tweet mediaLicious_tz tweet media
Indonesia
0
1
1
11
Licious_tz retweetledi
CinemaCraze
CinemaCraze@CinemaCraze2026·
Your country has what?😱😱😱
CinemaCraze tweet media
English
11
10
29
7.2K
Licious_tz retweetledi
Mzee Mkavu
Mzee Mkavu@Mzee_mkavuu·
Jaji Chande : Baadhi ya wanasiasa na wanaharakati walitumia changamoto za wananchi kuchocchea wananchi kushiriki ghasia za Oktoba 29 kwa kutumia Kauli Mbiu mbalimbali wakati na baada ya uchaguzi Mkuu, tume ilibaini kuwepo kwa vichochezo mahsusi kwa ajili ya kushiriki
Mzee Mkavu tweet mediaMzee Mkavu tweet mediaMzee Mkavu tweet mediaMzee Mkavu tweet media
Indonesia
1
3
2
68
Licious_tz retweetledi
cousin 420
cousin 420@420Cousin·
Yale hayakuwa maandamano ya amani tumesema wazi ule ulikuwa ni ugaidi watu wameenda kwenye maandamano na kombeo, mawe, vilipuzi na mapanga na visu. #RipotiYaTume #UkweliOktoba29
Filipino
1
10
7
148
Licious_tz retweetledi
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
AMEONYESHA UWEZO WA KUTOA HAKI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU Kutoka uongozi wake kama Jaji Mkuu wa Tanzania hadi majukumu ya Umoja wa Mataifa, Jaji Chande ameonyesha uwezo wa kutoa haki katika mazingira magumu. Tume ya Uchunguzi ya matukio ya 29 Oktoba chini yake itatoa ripoti yenye mamlaka na inayotii na kufuata sheria kikamilifu bila mapendeleo yoyote. #TumeYaUchunguziReport RipotiYaChande Ukweli Na Haki #UkweliOktoba29
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 tweet media
Indonesia
4
12
10
312
Licious_tz retweetledi
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
JAJI CHANDE 📌 “Mfano; watoto wanaoishi katika mazingira magumu, waendesha pikipiki (bodaboda) na wajasiriamali wadogo walieleza kuwa walipewa fedha kati ya sh. 10,000 hadi sh. 50,000 na waliahidiwa ajira na maisha bora. Ilielezwa zaidi kuwa kuanzia tarehe 12 Oktoba, 2025 hadi 28 Oktoba, 2025 waliwekwa pamoja, kupewa mafunzo, kuandaliwa na kuhamasishwa kuwa sehemu ya kuanzisha na kushiriki ghasia siku ya Uchaguzi.” #UkweliOktoba29
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 tweet media
Indonesia
1
12
10
511