๐‘ท๐’‰๐‘ซ ๐‘ญ๐’‚๐’Š๐’๐’–๐’“๐’† ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ฌ

7.9K posts

๐‘ท๐’‰๐‘ซ ๐‘ญ๐’‚๐’Š๐’๐’–๐’“๐’† ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ฌ banner
๐‘ท๐’‰๐‘ซ ๐‘ญ๐’‚๐’Š๐’๐’–๐’“๐’† ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ฌ

๐‘ท๐’‰๐‘ซ ๐‘ญ๐’‚๐’Š๐’๐’–๐’“๐’† ๐‘ด๐‘ฉ๐‘ฌ

@lugano2019

Educator, Mentor, Farmer, Activist, Modern Pan Africanist, Artist,Content Creator

Dar es Salaam, Tanzania Katฤฑlฤฑm Eylรผl 2019
3.8K Takip Edilen1.3K Takipรงiler
Jon Mrema
Jon Mrema@JonMremaยท
Usinifunge mdomo tafadhali, kama ulikuwa unaniunga mkono ulikosea sana ,unatakiwa kuunga mkono chama na sio mtu . Hoja ya kushinda kijiji kwangu haina mashiko kwani sijawahi kugombea nafasi hiyo na kama kipimo ni kugombea nafasi basi wewe nani ngoma droo ..... Aidha msiwafunge watu midomo waacheni waseme mbona uongozi ni pamoja na kusikiliza ? Sio kila wakati viongozi huwa sahihi . Mbona wakati wa Maridhiano ambayo ilikuwa azimio la Baraza kuu wapo mpaka wajumbe wa vikao vya maridhiano walipinga hadharani ? Mbona hatukuona wakifungwa midomo ? Kwanini sasa watu wakijadiliana inaonekana kuwa ni uasi ? Acheni watu waishi demokrasia kwa vitendo ndio raha ya kuwa Chadema hiyo.
Indonesia
85
1
31
18.1K
Jon Mrema
Jon Mrema@JonMremaยท
Hivi Chadema leo inaogopa wanachama wake wakiunda group la kujadiliana mambo ya Chama ? Chama cha Kidemokrasia maana yake ni kuwa na mawazo na mitizamo tofauti ,leo naona panic ya hali ya juu sana kwamba kuna wanachama na viongozi wanajadiliana kwa njia halali kabisa na ambayo ipo na inakubalika kwa mujibu wa katiba ya chama ,wapo wanaoona kufanya hivyo ni uhaini ? Chadema kwenye katiba yake inatambua kuwa njia ya Kidijital ni mfumo rasmi wa mawasiliano ndio maana hata vikao vya Kamati kuu huitwa kwa njia hiyo,taarifa na miongozo mbalimbali husambazwa kwa njia hiyo kwa ajili ya utekelezaji , leo imekuwa ni USALITI watu wakiunda group la WhatsApp kujadiliana mambo ya chama ? Hofu hii inatoka wapi nyakati hizi ? Waacheni watu wawe na uhuru wa maoni na mawazo, Chadema hakiwezi kuwa chama cha zidumu fikra ......hata kama jambo liliamuliwa kwani haiwezekani kukawa na maoni na mawazo mbadala? Mnaopinga watu kukusanyana na kujadiliana ndio mnataka kufanya chama kiwe cha Kidikteta kwamba hakuna kuhoji ,kusema ,kutoa maoni tofauti bali kuna kusikiliza na kutekeleza tu. Njia hiyo itatupelekea njia ya kuzimu . Chama cha siasa sio kampuni kwamba kuna CEO akisema inakuwa hivyo, la hasha chama ni muunganiko wa watu wa aina mbalimbali na wanaunganishwa na Katiba yao . Libe, unaogopa watu kusema waandike petition ? Mbona Makamu Mwenyekiti Heche alitutangazia kuwa Chama kitaandaa petition juu ya No reforms no election? Uko Marekani unaona kinachoendelea ndani ya Republican ,chama rafiki na Chadema ,ulishaona wanaotaka kujadiliana misimamo tofauti na Trump wakiitwa wasaliti? Jifunze kuvumilia mawazo na maoni tofauti na ya kwako ,usiwe Dikteta uchwara kaka , kwani Madikteta hujulikana nyakati ambazo wanakutana na changamoto za kukutana na mawazo na maoni tofauti na waliyo nayo.
Liberatus Mwang'ombe@Liberatus80

G55, malizieni petition yenu haraka ya kupinga Azimio halali la chama la #NoReformsNoElection. Pia, malizieni kualika vyombo vya habari siku ya tarehe 3, kesho. Ila Kumbukeni, kupinga azimio halali la chama ni USALITI.

Indonesia
521
43
361
147.9K
Farhan Kihamu Jr
Farhan Kihamu Jr@FKihamuยท
Kumbe sasa naanza kupata picha kamili ya sakata hili, nakumbushwa kuwa kwenye historia ya Derby ya Kariakoo, huwa wote wawili hawafanyi mazoezi pale uwanjani siku moja kabla ya mchezo, uwe Mgeni au uwe Mwenyeji huruhusiwi kuugusa uwanja, imekuwa hivyo kwenye historia ya mechi zao na uwanja unalindwa, kila mmoja anapaswa kufanya mazoezi anapofanyiaga, japo hii haipo kikanuni hii kitu ndio nimejua leo, imenishangaza sana. Maswali yanakuja, kama mchakato huu haupo Kikanuni na walikuwa wanafuata wote wawili, je walikuwa wanasimamiwa na nani wote wawili kutekeleza kanuni hii mficho? Maana hata mechi ya raundi ya kwanza Mgeni Yanga hakusogea kabisa kwa Mkapa, nimetumiwa picha kuwa walifanya mazoezi Kigamboni, hili sakata๐Ÿ™Œ๐Ÿ˜€ Ligi ina kanuni au utaratibu au makubaliano ambayo hatuyajui ama? Rasmi nimefunga mikono yangu, siandiki tena hii kitu kumbe ina mambo mengi sana, tunaweza kukomaa na Kanuni kumbe wala watu hawapo huko kwenye karatasi zetu.
Farhan Kihamu Jr tweet media
Filipino
235
132
2.2K
221.4K
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255ยท
Kipara Bien haya ndio mambo yake kwa EA kwenye perfomance ya LIVE hakuna wakumgusa as solo artist ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ #TraceAwards2025
Filipino
20
31
776
28.2K
Farhan Kihamu Jr
Farhan Kihamu Jr@FKihamuยท
Hii mechi ya Real Madrid natazama peke yangu? Mmeona alichokifanya huyu Refa? Kadi nyekundu kwa Bellingham inachekesha sana, kazikataa penati tatu za wazi, Real inateswa sana na Bwana Montero๐Ÿ˜€
Farhan Kihamu Jr tweet media
Indonesia
118
52
1.9K
74K
Fumbo Khan
Fumbo Khan@fumbokhanJrยท
Ndugu zangu nikichukua hii chuma kwa Mkopo nikampa mtu alete Hesabu nitatoboa kweli???
Fumbo Khan tweet media
Indonesia
193
51
1.4K
172.7K
Cheche Times
Cheche Times@chechetimesยท
Januari 18 na 19, 2025 Saa 48 kubwa ndani ya Dodoma Mkutano Mkuu Maalum Mheshimiwa Mwenyekiti Amiri Jeshi Mkuu Mwenye maono Mwenye welekeo Mwenye Dira na majawabu ya Taifa.
Cheche Times tweet media
Indonesia
61
86
1.7K
332.9K
HUNTER
HUNTER@Hunterjay12345ยท
Ulishawahi kudanganywa kitu gani kuhusu jiji la Mbeya na ukaamini?
HUNTER tweet media
Indonesia
188
40
969
142.7K
last born wa singida
last born wa singida@Msingapore_ยท
@Hunterjay12345 Et mbeya ni ya kijana sem zote ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ila nenda chunya sas ka utazan upo saharan desert
Indonesia
3
0
2
850
SENZA
SENZA@SENZANGAKONA2ยท
@Hunterjay12345 Kitimoto kilo elfu mbili na ndizi tatu bure
Indonesia
1
0
7
1.5K
Klaus Charles
Klaus Charles@KlausCharl26616ยท
@Hunterjay12345 Wezi wa mbeya wakitaka kukuibia wanakupa taarifa kua usiku wanakuja kuchukua mali,nilicheka sana Asa sijui ni kwel ama laa?
Indonesia
2
0
1
447