Elias Materu

1.4K posts

Elias Materu

Elias Materu

@malyaseri

Katılım Aralık 2013
3.5K Takip Edilen988 Takipçiler
Elias Materu
Elias Materu@malyaseri·
@MalkiaTabasamu You can one , but married to someone else who just love him for no reason and standards you have mentioned,chonga wako kwa sasa
English
0
0
0
20
SIAH☺+255
SIAH☺+255@MalkiaTabasamu·
Napenda mwanaume wangu awe smart sanaa Avae Tshirt na Jinsi Avae saa (Watch) Raba Kali Kitambi stakiii Hacheki cheki ovyo 🥰😇 Awe na Nguvu
Eesti
128
42
348
19.3K
Elias Materu
Elias Materu@malyaseri·
@vistovic17 Huyu anajisikia anachoongea wakiwa na majeruhi ulishindwa kuwafunga wakiwa sawa utaweza kuwafunga
Indonesia
2
0
2
487
BIGV 🎩
BIGV 🎩@vistovic17·
🚨Kocha wa simba kuelekea mchezo wa kesho zidi ya Yanga: “Mchezo wa mwisho walisema awakuwa na wachezaji wao wote, uenda kesho watakuwa wote na marefarii watakuwa makini magoli sahihi yakifungwa yataruhusiwa.”
BIGV 🎩 tweet mediaBIGV 🎩 tweet media
Indonesia
5
13
465
14.1K
Elias Materu
Elias Materu@malyaseri·
@JamesMbowe4 Kanisa na sifa yake inatakiwa kulindwa kwa wivu mkubwa na viongozi,ila wakikengeuka waumini tutawarejesha kwa kuwapa za uso
Filipino
0
0
1
802
James Mbowe
James Mbowe@JamesMbowe4·
Baba Mchungaji @revdrelionakimaro kwanza nianze kwa kukupa pole kwa taarifa hii ya Uzushi dhidi yako iliyotengenezwa na wanaharakati na kusambazwa kimkakati ili kuchafua Heshima yako na Heshima ya Kanisa. . Kwanza kabisa walioandaa Bango hili Hata hawajui Muundo wa Kanisa ndio maana kwenye hili Bango wameandika KKKT Dayosisi ya Kijitonyama. Kwenye Kanisa hatuna hiyo Dayosisi. Bali tuna KKKT Dayosisi ya Mashariki na Pwani Usharika wa kijitonyama. . Najua umetukanwa sana mtandaoni kwa jambo ambalo Hata wewe hulijui nachoweza kukuambia jipe moyo Mkuu kwani Muda ni mwalimu mzuri kuna Siku Watanzania watakuja kugundua mpango na nia Ovu ya wanaharakati ya kuzusha na kusambaza taarifa za Uongo ili kuchafua na kuharibu reputation za watu. Maadamu sasa wamefika kwa Mtumishi wa Mungu tena kwa jambo ambalo halina ukweli wowote uwe na Hakika Mungu hatanyamaza.
James Mbowe tweet mediaJames Mbowe tweet media
Indonesia
75
7
75
29.6K
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸@davitheempire·
Mchungaji wenu anaeenda KUCHAMBUA Report ya CHANDE bila yeye kuisoma wala kuwa na NAKALA yaani in Short anaenda kuchambua MUHTASARI wa Report MUNGU lirehemu KANISA lako KKKT please Pastor KIMORO stop this shameless
MMAREKANI MWEUSI 🇰🇪🇺🇸 tweet media
Indonesia
74
63
385
33.2K
Elias Materu
Elias Materu@malyaseri·
@MrDepalitto9 Wako wengi wanouchafua ukristo wengine ni mabishop kabisa wa taasisi kubwa tu za kidini
Filipino
0
0
2
1.1K
Real Nigger
Real Nigger@MrDepalitto9·
Ukitizima kwa jicho pevu utagundua huyu jamaa lengo lake ni kuuchafua Ukristo
Real Nigger tweet media
Indonesia
44
13
206
22.1K
Elias Materu
Elias Materu@malyaseri·
@Sirajitz1 Yule mchawi wao aliwaambia ikipigwa saa 11 watagongwa ila hawajui kugongwa watagongwa hata ikipigwa asubuhi
Filipino
0
0
3
2.4K
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Mwandishi 🎤 Ahmed kwanini Darby ya kariakoo Simba na Yanga mmeipeleka uwanja wa Meja Isamuyo? Ahmed Ally 🎤 Tumeamua kuipeleka kule kwa kua Uwanja wa Benjamini Mkapa baada ya kuomba kutoka kwa wamili tumeambiwa upo katika Matengenezo na Marekebisho kwa ajili ya AFCON 2027 🎤 Chagua letu la kwanza lilikua hilo ila kwakua upo kwenye marekebisho ndo tukaopt kwenda Isamuyo 🎤 Utopolo waambie wajipange hii game watatafutana ------------------------------------ Hii Derby inaonekana ni ya moto sana na haijababirika ila sion draw kuna team inaenda kubagazwa INAJIJUA
Headboy wa mtaa tweet media
Indonesia
16
13
199
34.7K
Elias Materu
Elias Materu@malyaseri·
@FaradayMtz01 GDP represent what is produced in a given area per year.Mbeya ni favored by good climate which support farming throughout the year na kuongezeka kwa uzalishaji, ndio maana GDP inaongezeka. Now kwanini haipewi kipaumbele sijui
Filipino
0
0
0
70
I ❤️ Dar Es Salaam
I ❤️ Dar Es Salaam@FaradayMtz01·
Hebu, Ngoja nipime IQ zenu za masuala ya uchumi. Unajua kwanini GDP ya mkoa wa Mbeya ni kubwa mno kuliko mikoa yote Tanzania 🇹🇿 isipokuwa Dar Es Salaam na Mwanza. Na kwanini mkoa huu wenye GDP kubwa hauendelezwi kiuchumi, badala yake ni kama umetelekezwa.
Indonesia
29
13
304
23.5K
Elias Materu
Elias Materu@malyaseri·
@Tweener003 Wasinye sana Mkuu ,kuzoa samadi ya ngombe sio kazi rahisi
Indonesia
1
0
1
1.2K
PàChâ#1738 💫
PàChâ#1738 💫@Tweener003·
Hivi kwanini Ng'ombe huwa wanawapa wale majani makavu kuliko mabichi ?
PàChâ#1738 💫 tweet media
Filipino
26
32
193
15.6K
Elias Materu
Elias Materu@malyaseri·
@hamadimbeyale Alistaafia wapi ,sema aliyeshindwa uchaguzi what is wrong with you people
Indonesia
0
0
0
7
Hamadi.Mbeyale🔥🔥
Hamadi.Mbeyale🔥🔥@hamadimbeyale·
Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema Freeman Mbowe amemwombea msamaha aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, akiwataka wananchi wa Hai kumsamehe huku akisisitiza kuwa hakuna binadamu asive na dhambi.
Indonesia
37
17
90
9.9K
Elias Materu
Elias Materu@malyaseri·
@HildaNewton21 @Salym Achana na huyu mzee wa Kitimoto bado nafasi ya ubunge Moshi vijijini ipo maana soko la Kitimoto changamoto sana Shekhe Kikeke
Filipino
1
0
0
281
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Binafsi simshangai @Salym maana baada ya mauaji ya Oktoba 29, 2025 Kikeke alianza kuwapigia simu Waandishi wa Habari wa BBC na DW waliopo Bongo akawa anawaambia kwamba mambo yameshaharibika sasa anaomba wamsaidie Idd Amin Mama, wasipublish habari za watu kupigwa risasi wala kuuwawa bahati nzuri Waandishi walimgomea licha ya kwamba kulikuwa na fungu la pesa endapo wangekubali. Sasa mtu kama huyu mnadhan atashindwa kusema anaiman na Tume kama habari tu za maelfu ya Watanganyika kuuwa hakutaka Dunia ijue.?
Hilda Newton tweet media
Indonesia
47
99
559
41.3K
Ndolezi
Ndolezi@Ndolezi_Petro·
Mzee wangu @joeselasini nakuheshimu lakini katika hili umeonyesha uwezo mdogo wa ushawishi na ujenzi wa hoja uweze kueleweka. Unachofanya hapa unajikosha tu CDM. hao kina @HecheJohn na CDM yao ni co-founder wa TCD na wao ndo walitunga Sheria hii na kuisimamia wakati wote.
joseph_selasini@joeselasini

@HecheJohn jana nilikuwa ktk kikao cha TCD. Ilikuwa Chadema ikabidhi uenyekiti na kwa kuwa haina mbunge wala diwani iwe mwisho wa kuwa member. Nilijenga hoja ktk spirit ya mashikamano na kwa kuwa madai ya haki ndio sababu ya kutoshiriki uchaguzi kanuni zibadlilike ili Chadema

Indonesia
23
0
16
18.6K
Elias Materu
Elias Materu@malyaseri·
@godbless_lema Inawezekana pia hili la Mh. Lissu kukutana na Chakwera pia tumepigwa meku, makamu aende akamtembelee ili kuondoa huu uvumi kama hamumwamini wakili
Indonesia
0
0
0
894
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Wakili Kisabo, Nina wasiwasi na baadhi ya maneno uliyoandika mtandaoni kuhusu kauli ya Lissu baada ya wewe kutoka mahabusu. Msimamo wa Mkti Lissu mara zote kuhusu uhuru wake umekuwa wazi, kwamba kesi inayomkabili ni ya uongo na anapaswa kuachiwa huru bila masharti yoyote. Hajawahi, wakati wowote, kuweka sharti la kuuza uhuru wake kwa njia ya mazungumzo, hata hivyo kama cha siasa tunaelewa kuwa mazungumzo ni sehemu ya utawala katika siasa. Lakini uhuru wa Lissu haupaswi kuwa ktk sharti ili. Kisabo, labda kwenda kwako mahabusu kulikuwa ni sehemu ya mpango, na hata kauli hiyo inaweza kuwa imepangwa. Ndiyo maana viongozi, familia, na mawakili wa chama hawakupewa taarifa wala kushirikishwa wala hukuwashirikisha. Ndiyo maana pia ulipotoka mahabusu moja kwa moja uligeuka kuwa msemaji wa chama. Nawasihi Watanzania tusubiri kauli ya Lissu mwenyewe.
Godbless E.J. Lema tweet media
Filipino
178
326
1.5K
145.3K
Elias Materu
Elias Materu@malyaseri·
@bonifacejoseph_ Ipo haja maana Kisabo ameleta taarifa na Pini anapigwa hapa ili Kila mtu ajue na anatakiwa atujibu hapa hapa kama Kuna usaliti tujue hapa hapa
Indonesia
0
0
0
48
Lembrus Mchome
Lembrus Mchome@LembrusMchome·
Katibu wa @Chademakaskazin Ndonde Totinan amejiuzulu wadhifa wake na kujivua uanachama wa chadema. Jana katibu wa mkoa wa Tanga leo katibu wa kanda. Je bado tupo imara??. Tusijidanganye kunashida inaongozwa na @HecheJohn ipo siku mtakuja kunielewa ndugu watukanaji.
Lembrus Mchome tweet media
Indonesia
111
7
32
9.4K
MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus@MwanzoTvPlus·
#BREAKING: RAIS MSTAAFU WA TANZANIA KIKWETE ATEULIWA NA AU KUWA MWAKILISHI MAALUM WA PEMBE YA AFRIKA NA BAHARI YA SHAMU Umoja wa Afrika (AU) umetangaza kumteua Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, kuwa Mwakilishi Maalum wa AU kwa Ukanda wa Pembe ya Afrika na Bahari ya Shamu. Mwenyekiti wa Tume ya AU, Mahmoud Ali Youssouf, amesema Kikwete ataongoza juhudi za kushughulikia changamoto za kisiasa, amani na usalama katika eneo hilo. Majukumu yake yanahusisha kuendeleza diplomasia ya kuzuia migogoro, kurahisisha mazungumzo jumuishi, kujenga imani miongoni mwa wadau na kuimarisha ushirikiano wa kikanda. Kikwete atashirikiana kwa karibu na IGAD, Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Umoja wa Mataifa na washirika wengine ili kuhakikisha hatua za pamoja zinakuwa na ufanisi. AU imesisitiza kuwa uzoefu na uongozi wa Kikwete utachangia pakubwa kuimarisha amani, uthabiti na ustawi katika Pembe ya Afrika na Bahari ya Shamu, eneo lenye umuhimu wa kimkakati kwa biashara ya kimataifa na usalama wa bara zima.
MwanzoTvPlus tweet media
Indonesia
15
3
38
5.4K
AMAG
AMAG@Amag_ke·
Girlfriend wangu amekuwa away for 3 days,kuangilia hand bag yake nikapata hii kitu hapa,inaweza kuwa ni nini?? Ama anataka kunimaliza.
AMAG tweet media
Filipino
682
273
2.2K
238.7K
Elias Materu
Elias Materu@malyaseri·
@Amag_ke Tooth pick hiyo acha woga mbona karudi na ukimwi na gono na unaishi navyo
Filipino
0
0
0
15
Elias Materu
Elias Materu@malyaseri·
@chapo255 Wameanza na mguu wa kushoto ujinga ujinga mwingi sana
Indonesia
1
0
1
896
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
BSS mnge-deal tu na wenetu wa kuimba, hawa wengine watafute platform nyingine wanatuchelewesha!
Indonesia
9
12
433
22.7K