

Concrete Jungle
27.7K posts

@mashkashare











Barabara za Arusha ni aibu, kama mahali wanapita watalii ina mashimo namna hii, huko ushenzini itakuaje?



@Semkae Futa wote DC na RC. Majukumu ya DC kama mhamasishaji wa maendeleo aachiwe Meya au M/Kiti wa Halmashauri. Mengine yanayohusu utawala yabaki kwa RAS na DED. Rais anazo taasisi nyingine ground ambazo ndio jicho lake.


Jioni hii nimefanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Dar es Salaam, Comrade Shangwe, tukijadili masuala mbalimbali ya UVCCM (Seneti) pamoja na kufanya tathmini ya kongamano la CHASO lililofanyika leo. Amenieleza kuwa hali ni nzuri vyuo vingi vya Dar es Salaam vinaongozwa na viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka UVCCM, na juhudi zinaendelea kuhakikisha wanavyuo wengi zaidi wanaendelea kuunga mkono Chama Cha Mapinduzi (CCM). Aidha, katika mkutano wa CHASO wa leo, sehemu kubwa ya washiriki walikuwa vijana wetu waliokwenda kufuatilia na kuelewa kinachoendelea. Kwa upande wa Songwe, kama Mwenyekiti wa Seneti, hali ni imara sana idadi kubwa ya vijana wa vyuo na wasomi wanaendelea kuunga mkono siasa, itikadi na sera za CCM. VIVA Vijana VIVA 💪🏿 #UVCCM #CCM #Vijana #Uongozi
