Sabitlenmiş Tweet
Nelly JR.
914 posts


@pastajoshuatz Mtu ashawahi kupanda plane lakini haamini watu wanaweza kwenda mwezini
Indonesia

@MDigala24 @EsirEid Uyo Mungu anayeruhusu uue ndo uwe Shahid ni msenge kama wewe
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Iran imewasilisha rasmi majibu yake yaliyokuwa yakisubiriwa kwa muda mrefu ya mpango wa amani wa Marekani wa vipengele 15, kwa kuwasilisha mpango wake wa vipengele 10.
Mpango wa Iran wa vipengele 10 unajumuisha:
1.Dhamana kwamba Iran haitashambuliwa tena
2.Kumalizika kwa vita kabisa, siyo kusitisha mapigano kwa muda tu
3.Kukomesha mashambulizi ya Israel nchini Lebanon
4.Kuondolewa kwa vikwazo vyote vya Marekani dhidi ya Iran
5.Kusitishwa kwa mapigano yote dhidi ya washirika wa Iran katika eneo
6.Kwa upande wake, Iran itafungua Mlango wa Bahari wa Hormuz
7.Iran itatoza ada ya dola milioni 2 kwa kila meli inayopita Hormuz
8.Iran itagawana mapato hayo na Oman
9.Iran itaweka kanuni za usalama kwa meli zinazopita Hormuz
10.Iran itatumia mapato hayo kwa ajili ya ujenzi upya badala ya fidia
Indonesia

@juliejuleth Ulitaka ashinde wapi,mtu kasoma miaka 17 degree ya tax collection unataka akajiajili wapi,akili kama yako haiwezi Jenga ata familia
Indonesia

@Mashow22 @HoseaFredy1 @Innocen89950594 Wana eleweka sasa ivi AWAMALIZE TUONE.
Na hadi hapo unamjua ni nani GAIDI HALISI.
Filipino

#TajiriLaKihaya
“Kila Muirani aliyekuwa na hata bunduki ndogo alikuwa anatufyatulia risasi.”
Hii inaonyesha wazi kwamba wananchi wa Iran hawaioni Marekani kama “wakombozi.” wanaiona kama wavamizi.
Indonesia

@kwekaelmi792 @Innocen89950594 Dunia nzima inalia mammna athari ya mafuta sio ya USA tu
Indonesia

@Mashow22 @Innocen89950594 Atamsumbua au keshamsimbua?
Pale Venezuela alijigamba sana,
Hapo alipoingia mpaka matusi yamemtoka,na kinachomsumbua sana siyo Iran Kwa sasa Bali wale washirika wake wanavyolia njaa Kwa ajili Hormuz,
Kingine ameshagundua Kuna watu wapo nyuma ya Iran wanafukuza kimyakimya.
Indonesia
























