Nelly JR.

899 posts

Nelly JR.

Nelly JR.

@Mashow22

Nutritionist

Katılım Şubat 2025
397 Takip Edilen91 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Nelly JR.
Nelly JR.@Mashow22·
Wazee wa Netanyahu kafa onjeni joto la bei ya mafuta🤣
Indonesia
0
0
1
11
Elmi Kweka
Elmi Kweka@kwekaelmi792·
@Mashow22 @Innocen89950594 Atamsumbua au keshamsimbua? Pale Venezuela alijigamba sana, Hapo alipoingia mpaka matusi yamemtoka,na kinachomsumbua sana siyo Iran Kwa sasa Bali wale washirika wake wanavyolia njaa Kwa ajili Hormuz, Kingine ameshagundua Kuna watu wapo nyuma ya Iran wanafukuza kimyakimya.
Indonesia
1
0
0
18
KIDUKU OFSA NGIRI
KIDUKU OFSA NGIRI@Innocen89950594·
ALI KHAMENEI: Imani Yetu Hairuhusu Tuwe Na Silaha Za Maangamizi (NYUKLIA) Marekani Chini Ya TRUMP Wakaivamia Iran Nakumuua Ali Khamenei Haikuishia Hapo Wakapiga Bomu Kwenye Shule Ya Watoto Wakaua Watoto 160. Marekani Iliipiga JAPAN Kwa NYUKLIA 1945 Marekani Ndio MAGAIDI Halisi
KIDUKU OFSA NGIRI tweet media
Indonesia
20
21
104
2.8K
Wagwan
Wagwan@keshtresor·
Yuda alimsaliti yesu kwa vipande 30 vya fedha sawa na 500M tsh na akairudisha, imagine ingekuwa wewe usingerudisha
Indonesia
6
6
29
1.1K
Nelly JR.
Nelly JR.@Mashow22·
@BlackSingapore2 Kuna dem wangu wa class 7 tulikua tunapendana kinoma akaja kuolewa ila bado ananicheki tupashe
Indonesia
0
0
0
493
Black Singapore 🤴🏿🐲
Black Singapore 🤴🏿🐲@BlackSingapore2·
asilimia 80 ya wanawake walioolewa wanaishi na wanaume zao ila mioyo yao inaishi kwingine kwa maan nyingine ni kwamba wanawake wengi wanaolewa na wanaume waliotayar kuwaoa na sio waliokuwa ndani ya mioyo yao ...naomba kuwasilisha
Black Singapore 🤴🏿🐲 tweet media
Filipino
10
6
107
12.9K
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaagiza viongozi kuanza mchakato wa ujenzi wa kituo cha mabasi eneo la Ubungo Mawasiliano, Dar es Salaam.
Indonesia
25
7
160
37.6K
Njiwapori 10k
Njiwapori 10k@njiwapori_·
Wapingaji wa dunia ni tufe, nao wamekuja na evidence yao, au ni Ai 👇🏿
Njiwapori 10k tweet media
Indonesia
18
8
33
4.8K
Ahmad Ahmad
Ahmad Ahmad@Aminduze95·
@Mashow22 Hata afanye kwel vita hawez ishinda hii na lengo lake halitotimia
Filipino
1
0
0
3
Hosea Fredy
Hosea Fredy@HoseaFredy1·
@Mashow22 @Aminduze95 Mtu akishakuwa muislamu haitizami dunia kwa akili yenye afya bali chuki kwa America na ISRAEL kwake ndio swala la maana
Indonesia
5
0
1
20
Thanos
Thanos@TheHertkiller·
@dosantos255 @Mashow22 @EduTalkTz Ni kweli sio kudharau, ila ni wabishi haoo😂. Na point zao ni zile zinazochallenge point za dunia Duara Wala hawana point zao.
1
0
1
2
Ahmad Ahmad
Ahmad Ahmad@Aminduze95·
@HoseaFredy1 @Mashow22 Ungekuwa una akili ungekemea swala la mauwaj ya watoto 165 lililofanywa na USA na ISRAEL bila kujal Dini kwa maana nafsi ya mtu haina Dini unaleta hoja cha chuki bila fikra
Indonesia
2
0
0
5
Nelly JR.
Nelly JR.@Mashow22·
@Aminduze95 @HoseaFredy1 Vita haina macho target ilikua miundombinu bro kwani hao ndo watoto wa kwanza kufa,Africa ya kusini walikufa watoto mamia kwa mamia
Indonesia
0
0
0
4
✞BLACKPASS⊹ฺ✞🇹🇿
@Mashow22 @LifeofSteph_1 Hawawazi hata kua dunia ingekua flat kulitakiwa kuwe na mashimo pembeni ambayo ukianguka hujui unaenda kutua sayari gani nyingine. Yote kwa yote tujitahidi kutafakari mambo kwanza maana flat yoyote haikosi mwisho 😂
Indonesia
1
0
0
54
Steph.
Steph.@LifeofSteph_1·
Kwenye huu mjadala sijawahi chagua upande nawasikilizagaa wote, Ila sasa ingekua hv si Jua lingemulika kote jaman au wangetokeaga wazito wakafika kwenye edge !? Ila akili yangu chache ngoja niendelee kusikiliza upande up utanishawishi 😂
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz

I approve this message!😎

Indonesia
26
2
53
7.8K
Ahmad Ahmad
Ahmad Ahmad@Aminduze95·
@HoseaFredy1 @Mashow22 Siwez jadil na mtu mpuuz kama wew niache niongee na @mashow22 sababu analeta fact na mimi naleta fact kwa mambo yaliyopo siyo Uisilamu na Ukristo hapa
Filipino
2
0
0
7
IAmHaule
IAmHaule@IAmHaule·
NASA wametoa picha nyingine mpya ya Dunia kutokea angani . Picha hii inaonyesha Dunia ikionekana kama mstari mwembamba wa mwanga ndani ya giza la anga. Source: NASA
IAmHaule tweet media
Indonesia
20
5
101
5.7K
Ahmad Ahmad
Ahmad Ahmad@Aminduze95·
@HoseaFredy1 @Mashow22 Hao Maseneta wanaopinga vita na kusema Trump ni wazimu wao ni Waisilamu juzi raia waliyoandamana USA Kupinga vita wale ni waisilamu huna hija unaleta udin kwenye uhalisia ..
Indonesia
2
0
0
18
Life Of Easy
Life Of Easy@dosantos255·
@TheHertkiller @Mashow22 @EduTalkTz Hoja ya Dunia kuwa Duara imekuja kuwa proved kabisa baada ya wazungu kupiga picha ya kwamza ya angani mwaka 1946. Point nyngine zote watu walikua wanahisi tu na wanasayans wengi walikufa bado wanaamini Dunia ni Flat. So mtu akiwaza dunia sio duara sio kitu chakumdharau kiivyo.
Indonesia
2
0
1
9
Nelly JR.
Nelly JR.@Mashow22·
@Aminduze95 Kutokuogopa kufa ni uongo hakuna asiyeogopa kufa na hio haikufanyi kushinda vita adui atakuua hata usipokiogopa kifo
Indonesia
0
0
0
3
Ahmad Ahmad
Ahmad Ahmad@Aminduze95·
@Mashow22 Na hapa shinda ndo ilipo wale jamaa hawaogop kufaa mind you wao hawajifich si umeona hata juz Wazir wa mambo ya nje alikuwa na watu mtaan na Rais wao unakumbuka alikuwa anapita mitaan wao hawatishwi na kifo wale hawa pig magoti kwa adui ni asil yao mzee
Indonesia
1
0
0
4