Eng. John Carter Wayne 🇺🇸

10.7K posts

Eng. John Carter Wayne 🇺🇸 banner
Eng. John Carter Wayne 🇺🇸

Eng. John Carter Wayne 🇺🇸

@mkuuwachu0

If anyone can have it, i don't want it..!! 💎 Liverpool fan. 🔴 Yanga ⚽️

Katılım Ağustos 2013
229 Takip Edilen363 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Eng. John Carter Wayne 🇺🇸
💍25•11•2023💍 Proverbs 18:22 - "He who finds a wife finds a good thing and obtains favor from the LORD." 🤍 #MkuuWaChuo 👨🏼‍🎓
Eng. John Carter Wayne 🇺🇸 tweet mediaEng. John Carter Wayne 🇺🇸 tweet media
English
1
0
14
1.8K
Leading Report
Leading Report@LeadingReport·
Judge rules police searched Luigi Mangione’s backpack illegally therefore jury will not learn about: - Magazine - Cellphone - Passport - Wallet - Computer chip
Leading Report tweet mediaLeading Report tweet media
English
297
1.3K
31.3K
2M
FROM on MGM+
FROM on MGM+@FROMonMGM·
If this episode has made one thing clear, it’s that we aren’t sleeping tonight 😳 We’ll see you all in TWO WEEKS for the next episode of #FROM.
English
214
149
2.1K
121.3K
Out of Galaxy
Out of Galaxy@OutofGalaxyy·
I’m sorry, but the Depth Effect is THE best lock screen customization feature ever introduced We’ve had it for around 4 years now, and it is still the first thing I consider when changing my wallpaper 👅
Out of Galaxy tweet mediaOut of Galaxy tweet mediaOut of Galaxy tweet mediaOut of Galaxy tweet media
English
51
53
1.7K
112K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Mashuhuda wanasema RCO na RPC walimuwashia moto sana, badae wakamwambia awafuate ili akatoe maelezo ya ziada so wakaingia nae ndani ya kituo cha Polisi. Walipoingia ndani kuna baadhi ya Wanachama wa CHADEMA, walijiongeza wakawafuata wale Askari waliokuwa pale njee, wakawauliza kwani Buyobe ana issue gani kubwa mpaka kamuomba RCO asiiseme mbele yetu? Wale Askari wakawajibu kwamba walipoenda kumkamata Buyobe nyumbani kwake Kigamboni alijitambulisha kuwa yeye ni ofisa wa TISS, wakamchukua na kuondoka nae kulekea kituo cha Polisi Chang’ombe. Walipofika Polisi wakamuomba atoe password ya simu yake, akatoa wakaingia kwenye WhatsApp yake wakakuta anawasaliana na Mkuu wa Dawati la Siasa wa TISS, Thobias Mwesiga na alikuwa anampa info za watu mbalimbali,(Japo Mwesiga kwasasa kaondolewa kwenye hiyo nafasi) mtu mwingine ambae alikuwa akiwasiliana nae ni Abdul mtoto wa Idd Amin Mama. Lakin pia alikuwa anawasiliana na baadhi ya Viongozi wa Serikali wakiwemo Mawaziri na kote huko alikuwa anajitambulisha kama afisa wa TISS so Polisi baada ya kuona mawasiliano yake na hao watu, hata wao wenyewe waliogopa. So hao Wanachama wakajua issue ni nini so waliondoka zao ila walimwacha Buyobe pale kituoni na Wakili ambae alikuwa kamsindikiza. Mwisho kabisa hii sio vita ya maneno ni uhalisia wa mambo na kwa tulipofika sasa ili kulikomboa Taifa letu lazima kwanza tulindane kwa kuepushana na hatari zinazoepukika. Nawatakia siku njema.
Indonesia
106
236
1.3K
155.3K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
‼️UKWELI KUHUSU BUYOBE, KWENYE SAKATA LA KUTEKWA MSHABAHA.‼️ Shuka na Thread hadi mwisho👇 Nakumbuka January 15, 2026 Buyobe alinitumia namba yake DM akasema nimchek WhatsApp kuna issue tuongee, nilimchek tukaongea. Alinielezea jinsi alivotekwa na kikosi cha Mafwele, walimvotesa n.k pia alishukuru kwa jinsi tulivompazia sauti. Katika maongezi hayo aliniambia kwamba pamoja na kwamba ameachiwa kwa dhamana bado watekaji wa Mafwele wanaendelea kumfuatilia hivyo maisha yake yapo hatarini , nilimwambia achukue tahadhari maana hao watu hawana masihara, akasema anafikiria kuondoka nchini, nikamwambia ni wazo zuri, akaniambia kama kuna Taasisi yoyote ambayo naijua inasaidia watu ambao wanachangamoto kama yake nimuunganishe nayo, nikamwambia hakuna Taasisi yoyote ambayo naijua so tukaishia hapo. Baada ya siku kadhaa alinipigia simu akaniambia, kwamba yupo mahali nilipo anaomba tuonane, tusalmiane na kufahamiana maana hatujawai kuonana zaidi ya humu mitandaoni, nikamwambia kwasasa siwezi kuonana nae kwasababu za kiusalama, nikamwambia kukiwa shwari nitamtafuta mimi mwenyewe, tukaishia hapo. Baada ya hapo alimpigia simu @Twaha_Mwaipaya akamuomba waonane, Twaha alinipigia simu kuniuliza kama namfahamu, nilimjibu Mwaipaya kwamba simfahamu zaidi ya kumuona online hivyo Mwaipaya na yeye akamkwepa badae akampigia simu @Sativa255 kumuomba waonane. Baada ya issue ya Mshabaha kutekwa ndo nikajua kwamba kumbe wakati anawasiliana na mimi kuniambia habari za yeye kuondoka nchini kuna mtu mwingine ambae alimshirikisha huyo mtu ndo alimuunganisha na @lifeofmshaba ili amsaidie kutoka nchini kwasababu alisema vijana wa Mafwele walikuwa bado wanamuwinda. Alifika Nairobi akapokelewa na @lifeofmshaba na kupelekwa mahali pa kuishi, muda wote alikuwa akidai kwamba anaumwa shingo, kichwa na miguu lakini pia alimwambia Mshabaha vitisho vya Mafwele kusema kwamba atamfira + kuonana na watekaji live ni vitu vilimuumiza sana kisaikolojia hivyo alitafutiwa Mwanasaikolojia lakin alipoambiwa aende Hospital kufanya checkup ili wajue Polisi wamemuumiza kwa kiwango gani ili apatiwe matibabu alikataa. Muda wote wakati Buyobe yupo Nairobi. Mshabaha alikuwa anakwenda kwake kumjulia hali kutokana na madai ya changamoto yake ya afya alokuwa nayo. Siku ya tatu, Buyobe alimpigia simu Mshabaha akamjulisha kwamba, nyumban kwake kuna mgeni ambae na yeye kalazimika kukimbia Tanzania kwasababu Mafwele anataka kumuua akaenda mbali zaidi akamdanganya kuwa mgeni huyo ni Mwanachama wa CHADEMA wakati si Mwanachama wa Chadema. Mshabaha alifika mahali alipokuwa anaishi Buyobe akamkutana huyo mgeni ambae Buyobe alimtambulisha kuwa anaitwa Aidan Msuya ni rafiki ake wa miaka mingi. Buyobe alimdanganya Mshabaha kwamba Msuya alikuwa Diwani wa Chadema wa Ubungo huku akijua fika kwamba Msuya hajawai kuwa Diwani. Mshabaha alimuliza ndani ya CHADEMA anamfahamu nani Buyobe akasema @ExMayorUbungo na Hilda Newton japo kwasasa Msuya hana mahusiano mazuri na Bony. Ili Mshabaha amuamini zaidi Msuya, Buyobe akamdanganya Mshabaha kwamba Msuya ni boyfriend wa Hilda Newton wakati huo anajua fika kwamba mimi na Msuya hatufahamiani kabisa. Mshabaha alimwambia kama anamahusiano na Hilda mpigie simu, Msuya akasema hapana itamletea shida, maana amekuja hajajipanga Mafwele amefunga account zake zote za Bank na kama girlfriend wake, akijua yupo Nairobi na akashindwa kumuhudumia itakuwa aibu sana kwake, haya ni maswali walikuwa wanajibu Buyobe na Msuya kwa pamoja na kwasababu walijua wanasema uwongo, wakamuomba Mshabaha asiniambie chochote so Mshabaha akakausha. Huo ndo ukawa mwanzo wa Mshabaha kumfahamu Msuya ikawa kila akienda kumuona Buyobe anamkuta Msuya kuna wakati walikuwa wanaenda kula pamoja, Mshabaha hakuwa na wasiwasi na Msuya kwasababu ya Utambulisho ambao alipewa na Buyobe, aliamini ni mtu Genuine. Buyobe akatoa wazo wapate gari maana na hali yake ya kiafya na usalama ni muhimu wakawa na gari, mara wazo likawa linafanyiwa kazi na Msuya. Part 2 inaendelea hapa 👇
Hilda Newton tweet media
Filipino
176
409
1.5K
263.6K
dami
dami@spoiltkate_·
You’re trapped in the last tv show you watched, where are you?
English
8K
717
15.5K
2.4M
Liverpool FC
Liverpool FC@LFC·
Harvey Elliott will return to Liverpool for pre-season ahead of 2026-27, Arne Slot has confirmed:
English
921
2.5K
34.1K
2M
حيدر
حيدر@heddr999·
مستحيللل، الورقة مال جولي موجودة باغراض فيكتور وظهرت بالموسم الاول🤯🤯🤯🤯🤯🤯🤯🤯 #Fromily #MGM #فروم #From
حيدر tweet mediaحيدر tweet media
العربية
73
90
2.3K
223.5K
Elon Musk
Elon Musk@elonmusk·
On my way to Beijing in Air Force One
English
41.9K
43.4K
733.2K
96.2M
فيرميني
فيرميني@fermini111·
قيم الحلقه الرابعه من مسلسل FROM على مقياس من 1 الى 10
فيرميني tweet mediaفيرميني tweet media
العربية
233
18
950
145.2K
Pong✨
Pong✨@viani310·
When you’re dating a baddie😂
English
694
2.6K
23K
256.6K
Steve Harvey
Steve Harvey@IAmSteveHarvey·
You can only eat one kind of fruit for the rest of your life. What is it?
English
3K
166
2K
605.9K
Karoline Leavitt
Karoline Leavitt@karolineleavitt·
On May 1st, Viviana aka “Vivi” joined our family, and our hearts instantly exploded with love. 💕 She is perfect and healthy, and her big brother is joyfully adjusting to life with his new baby sister. We are enjoying every moment in our blissful newborn bubble. Thank you to everyone who reached out with prayers during my pregnancy - I truly felt them throughout the entire experience. God is Good.🙏
Karoline Leavitt tweet media
English
32.1K
25.5K
326.4K
23.7M