Msakamaboga
17.5K posts

Msakamaboga retweetledi

Mtu anamchukua mtu anampasua tumbo anaona yale madude dude ya ndani ya tumbo kama utumbo, kongosho na mengine mengi anashona penye shida na anayarudishia vizuri mtu anaamka na kutembea vizuri wakati mwanzoni alikuwa ni wa kulala tu.
Alafu mnataka tuwaone madaktari ni watu wa kawaida hapana hawa jamaa nje na elimu yao kuna kitu kikubwa Mungu kaweka ndani yao, wabarikiwe sana.
Sema ndio hivo sisi wagonjwa baada ya yote hayo tunaenda kutoa sadaka ya kujimaliza kushukuru kwa mitume na manabii💔💔🙌
Indonesia

Baaada ya kutosikika Redioni kwa muda wa miezi sita Mtangazaji nguli wa kipindi cha POWER BREAKFAST cha CLOUDS FM (@CloudsFMTZ ), Masoud Kipanya (@MasoudKipanya) atarejea rasmi katika kipindi hicho kuanzia kesho Januari 20.
Kipanya ataanza kusikika kuanzia saa 12:00 asubuhi mpaka saa 4:00 asubuhi katika POWER BREAKFAST.
#MillardAyoUPDATES

Filipino
Msakamaboga retweetledi
Msakamaboga retweetledi

@smahup1 What about Metronidazole to the first trimester of pregnancy ?
English
Msakamaboga retweetledi

Correct answer: C. ORS (Oral Rehydration Solution)
Explanation:
The first-line treatment of acute diarrhea in children is oral rehydration therapy (ORS) to prevent and treat dehydration.
Why ORS?
Replaces water and electrolytes effectively
Reduces mortality dramatically
Works even during ongoing diarrhea and vomiting
Recommended by WHO and UNICEF
Why not the others?
Antibiotics: Not routinely indicated; only for specific infections (e.g., cholera, dysentery).
Antidiarrheals: Contraindicated in children due to risk of ileus and toxicity.
IV fluids only: Reserved for severe dehydration or shock, not first-line.
Key point:
Give ORS + zinc supplementation and continue feeding/breastfeeding.
English
Msakamaboga retweetledi
Msakamaboga retweetledi

Mwaka 2020 mshikaji wangu mmoja wa kitambo sana alikuja hospitali ambayo nilikua nafanya kazi akiwa na mtoto mgonjwa.
Nikamsadia kupata Matibabu. Wakati fulani tulikaa chini akawa anaelezea matatizo yake kwamba ana watoto wawili kutoka kwa baby mama wawili na wanamla pesa sana. Akaniambia kwamba anatamani elimu yangu, gari yangu na vitu vingine ambavyo nilikua nafanya. Nikamwabia kwamba mchumba wangu ameharibikiwa mimba mbili na sina mtoto. Ningekua ma uwezo ningekua kama yeye bila chochote…lakini aliniambia niteme mate chini kwamba bora mimi.
Mwaka 2024 alinitafuta akiwa na mtoto wa tatu lakini kipindi hiko Nilikua nimefiwa na mtoto wa mwezi mmoja.
Kwanzia kipindi kile nilijifunza sana kua humble na kutouliza watu kwanini hawana kitu hiki au kile kwenye wakati wakiwa na umri fulani bcoz sometimes baraka zako ziko kwenye mambo mengine kabisa.
Nilikua nina vitu vya msingi ambavyo wanaume wengi wanavitaka…nilikua daktari, nilikua na gari, nilikua najenga nyumba, Nilikua na cycle ya watu ambao wangeweza kufanya chochote nipate mtoto na Nilikua nazalisha watoto wa wengine lakini watoto wangu tu ndio kipengele.
Leo hii career yangu imekua sana, uchumi wangu sio mbaya lakini bado sina mtoto.
Learn from me and be humble.

Indonesia
Msakamaboga retweetledi

If you belong to ANY of these healthcare fields👇
• Doctors
• Nurses
• Dentists
• Physiotherapists
• Dieticians
• Radiographers
• Pharmacists
• Lab scientists
• Optometrists
• Public health professionals
• Healthcare assistants
• Medical content writers
Drop a ❤️ in the comments & follow others who like your reply.
Let’s build a strong healthcare network! ✅
English
Msakamaboga retweetledi























