Presenters na waandishi wa maskani kihomeboy……Unakuta tukio anafanya Diddy & Meek Mill wao wanamvutia waya Nenga kumuuliza analizungumziaje?😁 Kwanini hawampigii Meek Mill muhusika mkuu waongee naye kumuuliza?
Tukio anafanya Davido na Chioma wao wanalitangaza hewani kwenye kipindi vizuri tu aaaf wanasema exclussive tumeongea na Whozu tumsikie ana lipi la kusema?😁
Konga linaita Ngrrr Ngrr Yo Whozu whats popin….whats crackalackin?😁
Kwanini wasimpigie simu davido mwenyewe? au hata meneja wake?
Hence, ugumu mnaoupata kuwafikia hao majamaa, ndio ugumu huo huo wasanii wengi wanaupata kuwafikia kufanya nao kazi!!
So swali kuhusu kwenda international TUWE TUNAULIZANA WOTE!!