KenedyTheRemedy 🇹🇿

13.6K posts

KenedyTheRemedy 🇹🇿 banner
KenedyTheRemedy 🇹🇿

KenedyTheRemedy 🇹🇿

@KenTheRemedy

MC Radio Presenter| Producer | catch me on @XXL and #BongoFleva @CloudsFm The People Station|

Dar es salaam-Tanzania Katılım Aralık 2010
227 Takip Edilen97.7K Takipçiler
Uncle Fafi
Uncle Fafi@Tanganyikan·
Hapa Tokyo joto kali sana
Uncle Fafi tweet media
Indonesia
4
1
26
3.8K
bando tza
bando tza@bandovirustz·
Kutoka Mwanza Mwanza Upeponi mwa ziwa Victoria nipo na Wana kibao anga hizi kwenye XXL YA CLOUDSFM Akina @fredy_boy360 Frank Kachelewa , Izack Mremi , Samu Official, Six Dozen, Eyoo @KenTheRemedy @Neypaul01 Tupo Sana mpka Sana
bando tza tweet media
Filipino
1
0
3
173
KenedyTheRemedy 🇹🇿 retweetledi
Mamlaka ya Serikali Mtandao
Mamlaka ya Serikali Mtandao@eGA_Tanzania·
𝗝𝗜𝗡𝗦𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗜𝗚𝗔 𝗞𝗨𝗥𝗔 1. Tembelea tovuti Rasmi ya WSIS Prizes: itu.int/net4/wsis/stoc… 2. Ingia au Jisajili. 3. Fungua Fomu ya kupiga Kura; (𝙑𝙤𝙩𝙞𝙣𝙜 𝙁𝙤𝙧𝙢) 4. Chagua kategoria sahihi (𝘼𝙇 𝙘7 𝙚𝙂𝙤𝙫𝙚𝙧𝙣𝙢𝙚𝙣𝙩) 5. Kisha tafuta na piga kura (𝘼𝙡 𝙥𝙤𝙬𝙚𝙧𝙚𝙙 𝙚𝙈𝙧𝙚𝙟𝙚𝙨𝙝𝙤 𝙑2) Kwa maelezo zaidi Tembelea page ya @eGA_Tanzania au piga 0763 292 299 au 0764 292 299 #eMrejesho #V2_Sauti_Yetu_Maendeleo_Yetu #Turudi_na_Tuzo_Nyumbani #WSIS #Karibu_tuijenge_serikali_kidijitali
Indonesia
16
9
112
130K
Neypaul🤎
Neypaul🤎@Neypaul01·
Naomba kuwaambia mnaonialika Futari siwezi kuwaangusha🤭
Neypaul🤎 tweet media
Indonesia
90
67
1.4K
39K
The Kenyan Vigilante
The Kenyan Vigilante@KenyanSays·
A kenyan Man explains how Cars are stolen in kenya!
Indonesia
69
536
1.6K
154.4K
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
Mbunge wa Geita Mjini, Constantine Kanyasu, amedai Mkandarasi wa Kampuni ya Sichuan and Bridge Group Corporation Limited anayetekeleza Mradi wa Uboreshaji wa Miji Tanzania (TACTIC) wenye thamani ya Tsh. Bilioni 22, hana uwezo, hana mtaji na anakosa Wataalamu wa kutekeleza mradi huo kwa ufanisi Awali, Mkuu wa Mkoa, Martine Shigella, alisema ujenzi umefikia 37%, Halmashauri imemuongezea Miezi mitatu na kuagiza kusiwe na nyongeza baada ya hapo Ikumbukwe, Agosti 27, 2024 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhandisi Rogatus Mativila, alisema Mkandarasi huyo yupo nyuma kwa Asilimia 26 Januari 31, 2025 Mkuu wa TAKUKURU Geita, Azan Taita, alisema Mkandarasi hana uwezo wa kutekeleza mradi huo na akashauri Mkataba uvunjwe Soma jamii.app/MkandarasiHana… #JamiiForums #Uwajibikaji #Accountability #Governance
Indonesia
10
4
59
10.5K
Neypaul🤎
Neypaul🤎@Neypaul01·
Ukiachana na PS wanaume mnapenda zawadi gani?
Polski
269
65
1.1K
148.3K
Veterinary Doctor
Veterinary Doctor@GeofreyJosiah3·
Kazi yetu ni kuhakikisha Tunachunguza na kurekebisha afya ya mnyama wako ili aendelee kufurahia maisha🐕🐈 Tupo Goba center Tupigie 0765682484 @MalemboLE
Veterinary Doctor tweet mediaVeterinary Doctor tweet media
Indonesia
2
2
8
207