Sabitlenmiş Tweet
♌
5.6K posts

♌
@mwanibese
I'm a Leo and i always find out everything.
Tanzania Katılım Haziran 2016
1.3K Takip Edilen5.2K Takipçiler

Mtu anajiita SATIVA huko instagram na kutwa kuomba omba hela, anafuata watu hadi DM anaomba LUKU YA UMEME.
Kuna watu KUTEKWA wanajitakia tuu, yani unaona kabisa SATIVA anatafutwa mpaka kafunguliwa Kesi MAHAKAMANI ili apatikane. Afu wewe unaishi kama umekatwa kichwa.
Ukichagua kujiita SATIVA kubali kuishi kama KIVULI ambacho hakisikii njaa wala uhitaji wa chochote zaidi ya HAKI. Ukitanguliza njaa kwenye HARAKATI unaokotwa kama Kuku.
Mimi nisingefika leo kama ningekuwa kutwa naomba Michango yenu sijui , luku, NJAA ndio inafanya WATEKAJI wakamilishe zoezi lao kiwepesi sana.
Ukiishinda NJAA watekaji NI WACHUMBA TUU kama ninavyomuona MAFWELE.
TUTAKUWEPO🫵😎
Indonesia
♌ retweetledi
♌ retweetledi
♌ retweetledi

#TajiriLaKihaya
Mlinzi wangu Maasai anachukua TAKE HOME- 500k tarehe 25 ya kila mwez…
Anakula Milo MITANO kila siku- chakula tunachopika nyumbani …
Ana chumba chake cha kulala master bedroom NA AC ndani…
Vocha nampa elfu 80 kila mwezi na bado kuna WI-FI ya nyumban Bure…
Kila Baada ya miezi mitatu nampa nauli na full shopping ya kwenda nyumban kwao Arusha kuona familia yak3- wiki moja..
Nmemkatia BIma yeye pamoja na mkewe na watoto…
Kuna CCTV CAMERA kila sehem … bado kuna Electric Fence… na Kengele getini…
Kwa Nini Asinenepe??
Nchi ya Kusadikika@QuadratEquation
@EsirEid Huyu Mmnasai kweliiiii Mmasai gani kanenepa hiviiiii
Filipino
♌ retweetledi
♌ retweetledi
♌ retweetledi
♌ retweetledi
♌ retweetledi

@Roma_Mkatoliki Amini kua hayo ni maandamano yenye nguvu mno kiuchumi maana hakuna anae uza wala.
Filipino
♌ retweetledi
♌ retweetledi

♌ retweetledi

Hapa Ni Maneno Ya Kimara Ndani Ya Jiji La Dar es Salaam, Maandamano Yasiyo Na Kikomo Yameanza.
x.com/Rydx_017/statu…
Filipino
♌ retweetledi

Hii ni Mwanza, Baadaye mje kuanza kusema waandamanaji walikuwa wanafanya fujo.
Kuna mtu huwa anasema wananchi hawana hoja, mara wametoka nje ya nchi. Hii ni Tanzania na hawa ni Gen Z. #D9
Indonesia
♌ retweetledi














