Sabitlenmiş Tweet
Salutarious🇹🇿
22.5K posts

Salutarious🇹🇿
@mworombo
|professional in machine tools and maintenance| ||arsenal fc||simba fc||Barcelona fc fan
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Eylül 2014
1.2K Takip Edilen1.7K Takipçiler

@BillyTronix1 watuamiaji wa x Tanzania tunajiona miungu watu ndio maana @rollymsouth alisema kinacho endelea mtaani sio sawa na apa x yupo sawa asilimia 100
Indonesia

Meena Ally 🎤 Kwahiyo Alikamwe lengo la post yako ilikua kuni attack na kutaka kuharibu career yangu.
Alikamwe 🎤 Kwani wewe kuna sehemu nilikutag kua sio mwandishi mzuri? . Unajua kuna kitu unatakiwa kukielewa kwenye haya mambo ya uSimba na uYanga ukijihusisha nayo ukifanya jambo kwa simba pressure ya watu watakaokushangilia na presha ile ile ya watu wa Yanga watakuzomea na ile post ilikua ya kawaida ila naona unataka kuichukua Too emotional "
----------------------------
Kwenye hii interview meena kaongea kwa hisia sana, tunahitaji kuwa inspire wadada kwa wingi maana ni wachache katika hizi career bila kuwabeza, ALIKAMWE ajitafakari pia atoe uyanga na ushabiki

Filipino
Salutarious🇹🇿 retweetledi

@DrCyrilo Unakosea sana daktari.
Kuna vitu vinaitwa "priorities".
Kama viongozi wa Kenya wa wanauwezo wakufikiri zaidi yetu, iwaje taifa lao halijitoshelezi kwa chakula?
Sasa ni 25yrs serikali ya Kenya haina uwezo wa ku-finance project hata ya $100M🚮
Indonesia

@nicomwaih @EsirEid medali tunayo
tungekosa la ligi pia mngesema
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Haya PSG imeshinda…
Nani ndio PREMIER LEAGUE CHAMPION???
Bado tunakombe na tunatamba nalo
Filipino

@NNgabu_ @rollymsouth swala la tarehe 29 watu waliuwawa sababu ya watu wachache waliopanga kujipatia pesa kmmk japo watu kweli kuna namna walikua wamechoshwa na mambo flan flan
Filipino
Salutarious🇹🇿 retweetledi

Zile $ 2 million (Shilingi bilioni 5) za Ford Foundation alizokua akizungumzia ndugu @rollymsouth ndio zilienda kwenye shughuli kama hizi.
Ndio maana wakina Tito, Mshabaha na Maria Sarungi walimshukia Madenge. Hawakutana taarifa kama hizi ziwarudie.

Indonesia
Salutarious🇹🇿 retweetledi
Salutarious🇹🇿 retweetledi

watu wa bolivia, kwa wiki tatu mfululizo sasa, wako kwenye mapambano dhidi ya uharamia wa dola lao na mfumo wa uchumi wa kinyonyaji linaouendesha. bolivia ilikuwa nchi ya mfano chini ya rais evo morales kabla vibaraka wa marekani hawajachukua dola na kuirejesha nchi nyuma:
Ollie Vargas@Ollie_Vargas_
This is what Bolivia's highways look like at the moment. Each town & village blocks their stretch, and the union members in each community take turns at the barricades. This is part of the general strike against neoliberalism. Now entering week 3.
Indonesia

@IsackIlamlila yani ufananishe subaru na lc 30 futuhi kweli kweli ndio maana vijana wanapasuka
Filipino

@Dunguboy1 @godbless_lema sema mna ujinga sana pamoja na wanao watuma unafikir kwa upinzani alio nao alf amiliki silaha isiyo tambulika takataka
Indonesia

LEMA ANAMILIKI SILAHA
Kuna mambo yanafikirisha sana, @godbless_lema anamiliki silha ila sina uhakika na uhalali wake wa kumiliki silaha pia sina uhakika kama ili tumika tarhe 29, maana kuna askari waliuwa kwa Risasi, nadhani tume ya haki jinai itakuja na majibu sahihi katika hil

Filipino

@AbroadTanzania polepole kipindi cha magufuli aliona Watanzania wote niwatoto wake nakumbuka akichambua report ya CAG kama kuna kosa samia anafanya basi awamu iliopita ndio walio anzisha polepole akiwa kinara
Indonesia

@MarekaMalili asingetoa bado wangesema kwanini hawajapongezwa kwa chochote
Polski
Salutarious🇹🇿 retweetledi

Abdul,
Pengine mengi yanayosemwa mitandaoni na mitaani dhidi yako si ya kweli. Lakini ikiwa hata asilimia ndogo tu ya yanayosemwa yana ukweli ndani yake, nakusihi uyatafakari kwa makini na kuchukua hatua mapema.
Historia inatufundisha kuwa wale wanaoshangilia na kupiga makofi juu yetu leo wanaweza kuwa mashahidi wa kwanza kesho mambo yanapobadilika. Nguvu, umaarufu na ushawishi ni vitu vya muda, havidumu milele.
Kumbuka pia kwamba nafasi na mamlaka ya wazazi wetu si ya milele, na wewe bado una safari ndefu sana mbele yako kama kijana. Hekima kubwa ni kujenga heshima, uadilifu na jina jema mapema kabla ya mazingira kubadilika.
Mungu huchelewa wakati mwingine, lakini haki yake haipotei. Ikiwa kuna jambo lolote lisilo sahihi, kurekebisha njia mapema ni busara kuliko kusubiri wakati ambao marekebisho yatakuwa magumu zaidi.
Huu ni ukumbusho wa KIMUNGU, kwa nia njema. Sijui hata kwa nini nimeandika. Lakini kesho huwa inafika.

Indonesia

Samia akwepa mashizi ya mama yake Magufuli,
Wakati alipoingia Madarakani alikuwa anashindwa kwenye kaburi la Magufuli mpaka siku za Nyerere Day amekwenda chato mara 2
Walipo maliza kuchukua alichokuwa anachukua hapo Chato akapotea, kila siku tunawaambia hata nyie urafiki wenu wa mashaka
Issue kama hii haiwezi fanya hata kwa wanasiasa hapo kama majirani, kuwe na msima waingie mtini ? msiba wa mama ya mtu uliyechukua madaraka kutoakana na kifo chake? na unatuhumiwa !!

Indonesia























