Mzaramo🫶

4.2K posts

Mzaramo🫶 banner
Mzaramo🫶

Mzaramo🫶

@mzaramo_

jitahid, katika harakati za kugombania mkate wako wa kila siku, hautii mchanga mkate wa mwingine..

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ağustos 2013
831 Takip Edilen859 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Mzaramo🫶
Mzaramo🫶@mzaramo_·
@MickyJnr__ Nyerere day inakuja ila kuna kocha hatutakuwa nae, mi sio mganga ila nakuhakikishia.. 😃😃
Filipino
0
0
0
282
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄 || Alain Anicet Oura alipata majeraha ya nyama za paja mapema mchezo wa fainali ya Muungano Cup ukiendelea na kushindwa kuendelea na mchezo huo. Kwa sasa anaendelea vizuri na ilishauriwa apate muda wa kupumzika huku akiangaliwa kwa ukaribu na madaktari, Kucheza au kutocheza itatagemea na mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo wa jumapili. Tumuombee kheri🙏
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Filipino
3
3
130
6.5K
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Simba mazagetini leo 😁
Indonesia
4
22
123
3.5K
Dommy Chuga.
Dommy Chuga.@DominicJeremy12·
@moodewji Goli 1 dk 120, unashukuru kama ulishadhurumiwa, acha kutia unyonge mtt wa kiume kaza.
Indonesia
2
0
4
1.1K
Dominicksalamba
Dominicksalamba@Dominicksalamb1·
Mnapochambua kumbuken ilikuwa kati ya Mlandege Vs Simba narudia Mlandege sasa msipitilize kutoa Sifa kwan mlitegemea kitu gani zaidi ya hiki? Simba ni kubwa sana kwa Mlandege sifa zingine bakizeni mje kuzitoa J5 kama watafanikiwa kwa wakubwa wenzao hapa mnavuka mstari wa Offside
Indonesia
21
5
159
6.5K
Mzaramo🫶
Mzaramo🫶@mzaramo_·
@SimbaSCTanzania fundi mmoja hv.. hii ni almasi tuliyoiokota wakidhani ni chupa.. atunzwe kwa namna yoyote ile..
Suomi
0
0
2
81
Mzaramo🫶
Mzaramo🫶@mzaramo_·
@RevocatusMagum1 kilichonikera ni kuona refa kaona penalt ila hajaona mikono ipo nyuma.. labda alitaka mikono ikatwe..
Filipino
3
0
2
618
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
Sijui marefa wetu hawajui sheria za mpira au wanasheria zao!?🚮🚮🚮
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
10
6
162
9.6K
Myahudi 🇹🇿
Myahudi 🇹🇿@MyahudiOG·
@moshijnr Kama kagoma ni bonge la kiungo,basi mpira wetu bado unasafari ndefu sana
Indonesia
2
0
1
199
Moshi Jnr
Moshi Jnr@moshijnr·
Ukisikia safari ya shujaa haikosi miba. Alipitia changamoto ya maneno mabaya pale Simba.. Lakini sasa Yusuph Kagoma amekuwa advanced midfielder Anakabiliana na presha kwa ustadi. anakanyaga kila nyasi ya uwanja na kuisaidia timu yake kushinda mechi .. Bonge la Kiungo aisee🙌🏻
Moshi Jnr tweet media
Indonesia
8
9
312
3.5K
Mangi wa Kichaga
Mangi wa Kichaga@MangiwaKwanza1·
Huyu jamaa alituachia picha flani hivi ya kihistoria, popote alipo uko Mungu ampe pumziko la Amani na wengine wote, Hii picha itaishi sana.
Mangi wa Kichaga tweet media
Filipino
72
454
3.2K
62.9K
Mzaramo🫶
Mzaramo🫶@mzaramo_·
@Chundajr1 @vistovic17 maneno yote haya kisa katajwa Okelo..!? na jamaa kakupata maana aliyoandika juu kabla ya jina Okelo ni ukwel mtupu ila kaweka Okelo ili kuamsha hisia za watu..
Indonesia
1
0
1
18
Chundajr7
Chundajr7@Chundajr1·
@vistovic17 Munaandika kama mmekatwa vichwa huyo Okello alikuwepo kiwango chake tumewahi kukiona akiwa Yanga
Indonesia
1
0
1
842
BIGV 🎩
BIGV 🎩@vistovic17·
🚨 MAX NZENGELI AFUNGUKA UKWELI MKALI KUHUSU KUSHUKA KIWANGO CHA YANGA! 🔥 “Najua nitakachosema kuna baadhi ya watu hawatapenda kusikia, lakini ndio ukweli mtupu! Yanga ya sasa sio bora ukilinganisha na Yanga ya hapo nyuma — tumeshuka viwango sana. Mimi ni mmoja wapo, pamoja na Okello.”
BIGV 🎩 tweet mediaBIGV 🎩 tweet media
Filipino
6
14
202
14.5K
Mzaramo🫶
Mzaramo🫶@mzaramo_·
@Enola3025 @RevocatusMagum1 shida ni Kibabage kufanya vzur ndani ya jezi ya simba.. asingefanya vzur, asingechonga na huu ni mlio wa maumivu..
Indonesia
0
0
1
11
Cha Moto
Cha Moto@Enola3025·
@RevocatusMagum1 Shida apo siyo kibabage ni timu alioenda. Mbona hakusema maneno haya wakati yupo singida?
Indonesia
1
0
1
84
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
"...Kuna bwana mdogo mmoja tulimsajili alipokua kwetu krosi hapigi ndio maana tulipomuona haeleweki eleweki tukamuacha,alipofika anapopataka anajitutumua,matatuu kibao" 🔎Ally Kamwe Afisa Habari wa Yanga. Kibabage tu huyo😂😂😂😂 INAUMAAA😂😂
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
10
4
62
2.3K
Mzaramo🫶
Mzaramo🫶@mzaramo_·
@KibwanaEdgar wakat waash wamelikataa, wamepata mbadala ama bado wanahangaika..!? ingekuwa hakuna replacement, ningekuelewa sana.. na last game ya Simba na Azam, golila alikuwa Foba..
Indonesia
0
0
0
24
edgar kibwana
edgar kibwana@KibwanaEdgar·
Aishi Manula amecheza Michezo mitatu dhidi ya timu za kariakoo Msimu huu na zote ameondoka na cleansheets 🙌 JIWE WALILOKATAA WAASHI!
edgar kibwana tweet media
Indonesia
2
0
98
1.2K
Mzaramo🫶
Mzaramo🫶@mzaramo_·
@UlayaYusuf @privaldinho na unahis mpira ni mchezo wa mapnz.. Priva ni kiongozi, acha atetee ugali wake, wa kuumia ni ww shabiki.. timu ime drop, timu inacheza ikiomba mechi iishe, hii ni ishara mbaya..
Indonesia
0
0
0
67
KING KABWE MEBESAZU MZISUNDUTU MOYA👑
MALENGO , KANUNI NA SHERIA ZA GROUP LETU KAMA UMERIDHIA BASI NIKIWEKA LINK JOIN TWENDE NA KAMPENI YA KUKUZA ACCOUNT KWA MEMBER WOTE KUFISHA KUANZIA FOLLOWER 1000 NA KUANZA KUVUNA HELA ZA ELON MUSK Shusha handle kama umezikubali au kama unachakuongezea au kupunguza Tupo serious
KING KABWE MEBESAZU MZISUNDUTU MOYA👑 tweet mediaKING KABWE MEBESAZU MZISUNDUTU MOYA👑 tweet media
Indonesia
94
18
110
4.9K
Mzaramo🫶
Mzaramo🫶@mzaramo_·
@Ratinolastborn @Kabweta24 naungana nawe.. siasa na michezo ndo mada kuu.. kama kuepuka malumbano, ondoa hyo siasa ila wana michezo pamoja na utofauti wetu wa itikadi za ushabiki, bado sisi ni ndugu..
Indonesia
1
0
1
12
Råtíñø låst børñ
Råtíñø låst børñ@Ratinolastborn·
@Kabweta24 Mzee Wng Weka Wazi Huko Tutakuwa Tuanzungumzia Nini? Kama Michezo, siasa na dini Haviruhusiwi? Kwenye dini nakubaliana na ww ila kwenye michezo bado sijakuelewa
Indonesia
1
0
1
15
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
🚨Wamedraw 🤪🤪🤪 Weka handle hapo chap chap tukufollow🔥🔥😂😂🫵
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
39
15
94
1.8K