Dommy Chuga. retweetledi
Dommy Chuga.
6.4K posts


@rezam06 Kumtaja jeff hapo ndo utapelekea serikali kuzima kabisa hata data tunayotumia kutrade 🤏
Dommy Chuga. retweetledi

@BesteNicolas Kibanda Mpesa , watapewa namba sana ya wakala kurusha au kulipa , jaribu utanshukuru baadae cha msingi Cash iwepo wee nikupokea tu float hela inafatwa jion mda wa mahesabu, pia kuwa nadaftar kunote miamala maana watoaj au walipaj hawatokuwa hapo mda huo.
Indonesia
Dommy Chuga. retweetledi

Hakuna picha ya marais katika historia iliyowahi kuvutia zaidi ya hii.
Rais Olusegun Obasanjo wa Nigeria 🇳🇬 akiwa pamoja na Rais Jimmy Carter wa Marekani 🇺🇸
Kwa ufupi, Olusegun Obasanjo aliiongoza Nigeria katika vipindi viwili tofauti—kwanza kama kiongozi wa kijeshi (1976–1979), kisha kama rais wa kiraia (1999–2007), na alijulikana kwa juhudi zake za kuimarisha demokrasia na uchumi wa nchi hiyo.
Kwa upande mwingine, Jimmy Carter alihudumu kama rais wa 39 wa Marekani (1977–1981) na baadaye akajipatia heshima kubwa duniani kupitia kazi zake za amani, haki za binadamu, na misaada ya kibinadamu kupitia Carter Center.

Indonesia

@Chizzodrama Pekee toka Mwanza asiye mnafik na mpepesa macho, asye chswa ,bad enough anazeeka dah!
HT

@Mwaki28 Kawasagia kunguni broker , ujio wajamaa co walichotarajia.
Indonesia

Dommy Chuga. retweetledi
Dommy Chuga. retweetledi
Dommy Chuga. retweetledi
Dommy Chuga. retweetledi
Dommy Chuga. retweetledi
Dommy Chuga. retweetledi

@PolycarpMDM Hivi Kwani raisi haruhusiwi kuomba kazi nchi nyingime kama mshahara wakipandishaa??

Indonesia

Nchini Rwanda,
Ni Rais, Waziri Mkuu na Spika wa Seneti pekee walio na haki ya kipaumbele barabarani, yaani ruhusa ya kutumia njia maalum.
Mawaziri hulipia magari wanayotumia kupita katika Barabara hizo na kukatwa kutoka kwenye mishahara yao.
Waziri mmoja aliwahi kutozwa faini ya dola 50 kwa kosa la kuendesha gari kwa mwendo wa kasi kupita kiasi.

Indonesia

@The_PR0F3S0R @Almalik_Mokiiwa Shida ni serikali co wao 😁
Indonesia

























