Mzee Baba retweetledi
Mzee Baba
29.5K posts


@HildaNewton21 October 39 ndo lini? Acha upumbavu na ushamba ww mbilikimo
Filipino
Mzee Baba retweetledi

Ni utunzi wa Nguza. Aliutunga wimbo huu mwaka 1982 na akampatia Kasongo Clyton Mpinda auimbe (Kumbuka primary role ya Nguza Vicking ilikuwa kupiga gitaa ndani ya kundi la Orchestra Du Zaire)
Wimbo ukarekodiwa katika studio za RTD
So Nguza kuurudia wimbo huu baadae na mtoto wake Papii Kocha halikuwa kosa kwani yeye ndiye mtunzi
Filipino
Mzee Baba retweetledi

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza kifo cha Mbunge wa Jimbo la Isimani na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Vangimembe Lukuvi, kilichotokea leo tarehe 25 Machi, 2026, majira ya saa moja asubuhi katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma, alipokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa mshtuko wa Moyo.
Taarifa hiyo imetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan na kusainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Moses Kusiluka.
Marehemu Lukuvi alikuwa akihudumu kama Mbunge wa Isimani Mkoani Iringa na Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu wa shughuli za Serikali, pamoja na masuala ya watu wenye Ulemavu.
Rais Samia ametuma salamu za rambirambi kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Familia ya marehemu, Ndugu, Jamaa, Wananchi wa Jimbo la Isimani na Watanzania wote kwa ujumla.
#MillardAyoUPDATES

Indonesia
Mzee Baba retweetledi

@DesireMpalanzi @TruthWatchDogTZ Worth it, line 500 mpk 1000 retail, line 1000 ni 1M, 1g of gold is around 400k, x5 is 2M faida iyo
English

@TruthWatchDogTZ Mpaka upate gram 5 utakuwa umetumia line karibia 1000, acheni ujinga
Indonesia

@nonstopfrale @iam_Mtalicy Bora achubue gari babu uyo sio level ya IST hata kama kuwa humble, safety first, imagine "former CAG dies in a car accident IST"
Filipino

@iam_Mtalicy @mzeefather Anajua town boda anweza mchubua ikaleta shida
Indonesia

Sema kuna namna hapa vitu haviko sawa, either alikua anatoa sana misaada au gari sio mambo yake ukute yeye ame invest kwenye majumba, maana mshahara wa prof miaka yote hiyo na mshahara wa CAG miaka yote hawezi kukosa hela za kua na li V8 flani kali bila hata ya ufisadi
M A G I R I@Kiganyi_
Nimekutana na CAG Prof Assad na ile gari yake maarufu, Toyota IST nyekundu, mzee mnyenyekevu sana aisee. Na ina namba nyeupe, sijui anaitumia kuingiza hela au? Tukiwa na watumishi wa umma kama prof Assad nchi itafika mbali sana.
Indonesia
Mzee Baba retweetledi

Bendera iliyochanika lakini bado inapepea.
Katika sanaa ya kisiasa, bendera iliyoharibika mara nyingi huashiria kuwa kundi au harakati imepitia mashinikizo, migogoro, au mashambulizi ya kisiasa. Bendera bado ipo juu ya mlingoti na inapepea. Hii ni ishara ya ustahimilivu na kuendelea kuwepo.
Upepo mkali unaopeperusha bendera.
Upepo tunaweza kutafsiri kama nguvu kutoka nje—pressure ya kisiasa, vyombo vya dola, au mazingira magumu ya ushindani wa kisiasa. Kwa mtazamo wa kisiasa, upepo unatafasiriwa kama ishara ya nguvu au shinikizo linalotoka kwa dola au mfumo wa utawala.
Mawingu mazito angani.
Mawingu katika sanaa mara nyingi hutumika kuonyesha hali ya sintofahamu, mgogoro, au kipindi kigumu. Hivyo anga lenye mawingu linaweza kuwakilisha mazingira ya kisiasa yenye mvutano katika Tanzania, hasa wakati wa ushindani mkali uliopo kati ya CHADEMA na DOLA.
Mlingoti mrefu unaoshikilia bendera.
Huu unaweza kuashiria msingi wa harakati—yaani wanachama, wafuasi, au misingi ya chama. Hata kama bendera imechanika, mlingoti bado umesimama na umenyooka wima, ikimaanisha kwamba msingi wa harakati bado haujaanguka. Bado upo imara.
Kwa kuzingatia harakati nyingi za kisiasa barani Afrika, harakati za wananchi zinapofikia hatua fulani, haziwezi tena kusimamishwa na nguvu tu za dola. CHADEMA imepita maumivu mengi — viongozi kufungwa, mikutano kupigwa marufuku, wanachama kunyanyaswa.
Katika historia, harakati zinazozaliwa kutokana na kile wananchi wanachoona kama ukandamizaji mara nyingi huimarika zaidi kadiri shinikizo linapoongezeka. Kila shambulizi kutoka kwa “dola katili” linatafsiriwa kama uthibitisho harakati hiyo ina ukweli unaoogopwa.
CHADEMA sasa ni imani. Itikadi ya CHADEMA imejikita ndani ya mioyo ya watu. Kitalaam, taasisi ikishafikia hatua ya kuwa harakati (movement), inakuwa vigumu kuizima kwa kutumia nguvu za dola pekee, kwa sababu huwezi “kufunga” au “kupiga marufuku” fikra.
CHADEMA imeshambuliwa sana na dola katili la CCM lakini bado inapepea. CHADEMA ni movement siyo tena chama cha siasa. Dola katili ya MaCCM inatakiwa kuelewa kwamba, CHADEMA ni imani ya watanzania. Hakuna idadi ya vitisho ambayo itawaogopesha.
NB; huu ni mtazamo wangu binafsi. Ukweli na usahihi wa kazi hii ya sanaa ni wa mtunzi, @masoudkipanya.

Indonesia

@IAMartin_ @wizara_afyatz @ChangiaDamuTz Si mkachangie damu wakuu kma mgonjwa wenu kapata Units 12 za damu mnataka areplace nani izo 12? Akitoea mgonjwa mwingine mwenye dharura ya uhitaji wa damu itakuaje?
Indonesia

. @wizara_afyatz na @changiadamutz
Mama mjamzito amejifungua katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Ilala – Amana Regional Referral Hospital. Anapatikana katika wodi No. 09, ambapo katika kipindi hicho cha kujifungua aliongezewa damu chupa 12.
Familia ya mama mjamzito, imelipa gharama stahiki za huduma ya kujifungua, baadae wakaletewa gharama ya mzazi huyo kuwekewa damu ambayo wamepewa risiti ya malipo ya damu. Pia, wamelipa malipo yote.
Mama aliyejifungua amekuwa discharged (ameruhusiwa kutoka hospitalini), lakini amenyimwa ruhusa ya kuondoka hospitalini hadi alete watu 12 wa kuchangia damu (replacement donation) iliyotumika.
Maagizo hayo ya kumzuia mama aliyejifungua yametolewa na Muuguzi Mkuu Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Ilala (Amana Regional Referral Hospital), ambaye anapatikana chumba Na. 15 katika hospitali hiyo
Je, utaratibu huo ni sahihi kisheria? Kwanini Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Ilala inautumia kama sharti la kumzuia (dention) mgonjwa? Je, kumzuia mgonjwa kuondoka baada ya kuruhusiwa siyo false imprisonment?
Kisheria, chini ya Mkataba wa Huduma kwa Mteja na Wizara ya Afya, hospitali hairuhusiwi kumshikilia mgonjwa aliyesharuhusiwa kuondoka (discharged) kwa sababu tu hajapata wachangiaji wa damu wa hiari.
Sera hii ililetwa kwa sababu ya tatizo la kihistoria katika hospitali nyingi ambapo wagonjwa au familia zao waliambiwa wapeleke “wachangiaji damu” kabla mgonjwa hajaruhusiwa kuondoka hospitalini.
Sera inaweka msimamo: Damu inayochangiwa ni ya hiari na bure. Wagonjwa hawapaswi kulazimishwa kulipa au kuleta wachangiaji kama sharti la kupata huduma ya damu. Hairuhusiwi kuuza au kununua damu.
Gharama inayolipwa hospitalini ni vifaa vya maabara, vipimo vya usalama wa damu, uhifadhi wa damu, na huduma ya kuongezewa damu, lakini siyo malipo ya damu yenyewe. Wagonjwa wasibebeshwe mzigo.
Kwamba wagonjwa wanatakiwa kuleta wachangiaji wa damu (replacement donors) ndiyo waruhusiwe kuondoka wodini? Je, wakikosekana hao replacement donors? Mgonjwa atashikiliwa kwa muda gani hospitali?

Indonesia
Mzee Baba retweetledi

@USMC @usairforce Chuck Norris didn't experience death.
Today death experienced Chuck Norris.
English

Chuck Norris didn't join the Marine Corps...the Marine Corps applied to him.
Heaven’s streets have always been guarded by Marines. Today, Chuck Norris reported for duty.
We mourn the passing of Chuck Norris, a @usairforce veteran, who also became an honorary Marine in 2007 when awarded the title by then Commandant of the Marine Corps, Gen. James T. Conway.
Chuck Norris is one of just over 100 individuals to be awarded the title of Honorary Marine in the entire 250-year history of the Corps.
Some missions may require a battalion, but this one just requires an Honorary Marine.
#USMCHistory #USMC #SemperFidelis


English











