Lekule
139.7K posts

Lekule
@nonstopfrale
one tweet at a time |Telecom Engineer| MBA| Entrepreneur |MUFC| Tech Enthusiast | @tanfeeds | @lucksomeTech

Nyie @NMBTanzania dogo hataki hata mshahara kasema, anataka kujifunza na kuongeza thamani.



Nimekutana na CAG Prof Assad na ile gari yake maarufu, Toyota IST nyekundu, mzee mnyenyekevu sana aisee. Na ina namba nyeupe, sijui anaitumia kuingiza hela au? Tukiwa na watumishi wa umma kama prof Assad nchi itafika mbali sana.






Sema kuna namna hapa vitu haviko sawa, either alikua anatoa sana misaada au gari sio mambo yake ukute yeye ame invest kwenye majumba, maana mshahara wa prof miaka yote hiyo na mshahara wa CAG miaka yote hawezi kukosa hela za kua na li V8 flani kali bila hata ya ufisadi





Je, unaweza kuwa tajiri mkubwa Tanzania na usiwe mlipaji kodi mkubwa Tanzania? Kwa akili zangu ndogo, haiwezekani.








