Rev. Christopher Mtikila
Mwanaharakati mkubwa wa haki na demokrasia ya vyama vingi. Alipinga sheria za uchaguzi (kama kuwanyima wagombea huru) na alifungua kesi mahakamani. Alikabiliwa na kukamatwa mara kwa mara, kuzuiliwa kwa mikutano na magazeti yake, na kushindwa kusajili chama chake kwa muda mrefu. Alikuwa na msimamo mkali dhidi ya Muungano na masuala ya kitaifa.
Ukienda kumripoti mtu kituo cha polisi, usisahahu kusema
"Alisema haogopi , hata kama kituo kizima cha polisi kitakuja"
"Pia kasema polisi ni kama chumbani kwake akiingia jioni, asubuhi anatoka"
#ARUSHA
Pichani ni ndugu na marafiki wawili wamepotea katika mazingira ya kutatanisha. Majina yao ni Karen Mark Didas (23) na Nakivona Toroka (22).Siku ya tukio tarehe 20 Juni 2025, Nakivona alimsindikiza Karen @bananafarmecohostel iliyopo maeneo ya Shangarai Arusha..👇🏿
Wasanii wakifanya kazi na CCM aah wasaliti tusiwasupport ila mkamaria kafanya na kazi na wana CCM wawili Gnako na Vunja bei mnasema anatafuta ugali
Sasa mbona hamueleweki nyinyi?
@nake1006@Therealngassa Sio kweli mkuu, nipo eastern Europe Leo ni wiki ya tatu hii. Mbona kupo peace tu.
Na nimetembea night na kupita mitaa ya Wana hususan Budapest ila kujaribu kuona hii myth kama ni kweli.
Europe kupo poa tu, tusihadaliwe na Movies
‘Imekuaje JWTZ lilikuwemo mule na nchi haijatangaza hali ya hatari?’
Luteni Jenerali Mstaafu Paul Meela ambaye pia ni Mjumbe wa Tume iliyoundwa na Rais kuchunguza matukio ya Oktoba 29 ametoa ufafanua wa hoja zilizokuwa zikiulizwa juu ya ushiriki wa JWTZ kwenye kukabiliana na matukio ya Oktoba 29, 2025 ilihali haikutangazwa hali ya hatari.
Lt. Jenerali Meela ameyasema hayo kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Licha ya kuongoza kura za Maoni katika Mchakato wa Uchaguzi wa Ubunge, Jimbo la Isimani (Mkoa wa Iringa), Kamati Kuu ya CCM, imemuweka kando Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu kama @fred_vunjabei na kumteua Emmanuela Kaganda Mtafikolo kuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Isimani Mkoani Iringa.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Katibu Wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo Kenani Laban Kihongosi, imesema kuwa kwa kuzingatia mamlaka iliyopewa chini ya Ibara ya 105
(7)(f) ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977 Toleo la Julai 2025, Kamati Kuu imefanya uteuzi wa mgombea waCCM kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Isimani, lililopo wilaya ya Iringa Vijijini ambapo Mgombea aliyeteuliwa ni Emmanuela Kaganda MTAFIKOLO.
#KitengeUpdates