Ilikuwa wakati mzuri sana kukutana na vijana wenzetu wa vyuo vikuu Mkoa wa Dar es Salaam tukijadili mustakabali wetu na kupata mwanga wa kiuongozi kutoka kwa viongozi wakuu wa chama chetu
Machali wa TikTok uwezi kuwakuta wanpigana vijembe kama huku wale ndo Gen Z wa kizazi kipya, wanahubiri injili ya uhuru wa Kila mtu katika Taifa hili ✊