Ilikuwa wakati mzuri sana kukutana na vijana wenzetu wa vyuo vikuu Mkoa wa Dar es Salaam tukijadili mustakabali wetu na kupata mwanga wa kiuongozi kutoka kwa viongozi wakuu wa chama chetu
Life doesn't allow for us to go back and fix what we have done wrong in the past, but it does allow for us to live each day better than our last.
Let's make today a great one💪🏾!