
Neckae
1.4K posts



Absa Dar City marathon 😊



Ina maana hizi receipts zinakuwa edited edited ? Zote nimezotoa kwa TL yako @fbuyobe Kwanini kuna mkanganyiko kwenye Depositor Uloweka ya kwanza DEPOSITOR alikuwa MSHABAHA MSHABAHA Ya Pili FORTUNATUS BUYOBE Lakin zote zinaelezea Transaction moja ? Ukiwa unavua samaki kwenye Ule mtego ukitingisha Kidogo tu SAMAKI ukimbia, JE YA KWELI NI IPI ??









Alaaaa Watu hawajui na wanachanganya mradi wa Hoima crude na biashara ya Dangote. Hivi ni vitu viwili tofauti kimkakati kabisa. Hoima crude ni resource ya Uganda na njia yake kubwa tayari imefungwa kupitia EACOP kwenda Tanga kwa soko la nje. Dangote refinery ni biashara binafsi ya usafishaji na usambazaji unaotafuta crude supply, fursa za masoko na uwezeshwaji Afrika Mashariki. kifupi Aliko kanusa fursa EAC watu wapo desperate washaanza kubabaika. Si kwamba Dangote ndiye anakuja kuokoa mradi wa Hoima au ndiye owner wa crude ya Uganda hapana. Uganda na Tanzania tayari walishafanya maamuzi yao ya kimkakati kuhusu Bomba la mafuta. Njia ya usafirishaji, pamoja na malengo ya mbeleni kuhusu refinery pamoja na nani wa kushirikiana naye. Mnapaswa kuelewa kenya kuwa na refinery hakubadilishi moja kwa moja control ya Hoima crude wala haifuti strategic advantage ya bomba la mafuta kupita Tanga. Wacha inyeshe tuone panapo vuja 😂😂😂

Good. They should win the league. Let PSG win UCL. They have suffered enough.

Hivi mnajua ni ajira ngapi zingepatikana kama mradi wa Dangote ungeangukia Tanzania and not Kenya..? Kundi kubwa tu la vijana wenye elimu na wasio na elimu (wasaidizi nk) wangepata kazi.. fedha nyingi sana ingerudi kwenye familia zetu. Sema nini.. HAYA BWANA! 😤




@ayoubdaffa_ @George_Ambangil Hii mechi PSG analiwa kichwa











