General

5.3K posts

General banner
General

General

@ngamiangamia

-Manchester city fan

Katılım Haziran 2021
768 Takip Edilen307 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
General
General@ngamiangamia·
Glory be to God
English
0
1
1
132
General retweetledi
Daudi T. Balali
Daudi T. Balali@daudibalali·
information smoke screen
English
0
254
1.1K
269.1K
General retweetledi
Kitila Mkumbo (PhD)
Kitila Mkumbo (PhD)@kitilam·
Nchi zote zenye akili hupima uwezo wa kifikra wa wagombea urais kupitia midahalo. Hapa kwetu wanakwepa. Ujanjaujanja na ulaghai. Tukatae.
Indonesia
117
473
828
0
General retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Mungu awabariki na kuwalinda sana watu wote ambao hadi sasa mnafanya kazi ya kuhubiri haki, utawala bora wa sheria, uhuru na mabadiliko ya kweli. Hakika, ninyi ni washindi. Hamjaogopa vitisho na unyama wa hawa wahuni. Mungu wetu ana nguvu sana. Tupo pazuri. Msiogope. Tutashinda.
Indonesia
12
225
1.3K
23.4K
General retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Kama unaumia na kinachoendelea Tanzania, Kama unaumia na utekaji, uuawaji na upigwaji wa wananchi, Kama unaumia na udhulumat unaofanywa na CCM . Kama unataka mabadiliko, tafafhali sasa hivi, dakika hii tuma pesa kuchangia tone tone. Ruzuku ya Chadema imefutwa kinyemelewa, CCM wanahakikisha wapinzani hawana pesa ili washindwe kufanywa chochote na iwe rahisi kuwanunua. Lazma wananchi muwatumie pesa la sivyo watashindwa kuwapambania. BORA USILIPIE APP YANGU ILA TUMA PESA CHADEMA. Kama una buku 2 tu to spare naomba usilipie Umbea wangu instead peleka hiyo pesa kwenye ukombozi wa nchi, watumie Chadema hiyo pesa. Mimi dada yenu kupitia mapato ya App nilichangia milioni 3 miezi michache iliyopita na leo nawatumia milioni 3 zingine. Tigo- Mixx by yas 1. *150*01# 2. Lipa Bill No.4 3. Weka namba ya Kampuni 213050 4. Ingiza kumbukumbu namba 1234 5. Weka kiasi cha fedha - kuanzia 1000 6. Ingiza neno la siri Vodacom 1. *150*00# 2. Lipa kwa M Pesa No.4 3. Ingiza namba ya Kampuni 111333 4. Ingiza kumbukumbu namba 1234 5. Weka kiasi 6. Ingiza Pin Mpesa 1. Bonyeza *150*00# 2. Lipa kwa M pesa No. 4 3. Ingia malipo ya kujirudia No. 09 4. Weka malipo ya kujirudia No. 1 5. Weka namba ya kampuni No. 3 6. Namba ya kampuni 111333 7. Weka namba ya kumbukumbu ya malipo 1234. 8. Weka kiasi 9. Weka jina la malipo CHADEMA 10. Marudio kila siku, wiki au mwezi 11. Weka tarehe ya kwanza ya malipo
2802025 12. Weka tarehe ya mwisho ya malipo
28022026 13. Weka namba ya siri 14. Bonyeza 1 kuthibitisha DIASPORA NAMBA: 0744 446 969 JINA: CHADEMA HQ MTANDAO: VODACOM BANK NMB JINA: CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO NAMBA: 22606600140 SWIFT code: NMIBTZTZXXX
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet mediaMange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet mediaMange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
Indonesia
270
1.1K
4.3K
240.9K
General retweetledi
Elon Musk
Elon Musk@elonmusk·
Forgive us our trespasses as we forgive those who trespass against us
English
32.9K
84.2K
725.7K
52.4M
General retweetledi
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
Help my research
Fortunatus Buyobe tweet media
English
37
2K
424
261.2K
General retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Tuwaonyeshe kwa NAMBA kuwa tupo wengi.
SIR TIVA tweet media
Filipino
42
2.5K
709
69.8K
General retweetledi
SIR JEFF⚡🇹🇿
SIR JEFF⚡🇹🇿@Sirjeff_D·
Research ndogo tuone hali halisi ya huku kwa ground.
SIR JEFF⚡🇹🇿 tweet media
Filipino
15
1.3K
292
38.3K
General retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Star tv imekata matangazo ya BBC Swahili ili taarifa ya watekaji isisikike? Nini maana ya vyombo vya habari kwenye Nchi hii? Yaani wao hawawezi hata kusemea umma wala kutangaza uovu huu.. Chombo cha nje kimefanya, wao hata kutangaza hawawezi, wanakata!! What a shame!!! Watanzania wako peke yao. Ila tutashinda.
Indonesia
102
364
1.9K
48.7K
General retweetledi
Manchester City
Manchester City@ManCity·
That night in Istanbul ✨
English
712
5.5K
91.3K
6.4M
General retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
#IamTunduLissu is a gesture of solidarity. To ensure Lissu’s voice isn't silenced. And that the call for electoral justice is a shared aspiration. We’ll gather here today at 12 noon. To protest chanting #IamTunduLissu. Please be there. Are you Tundu Lissu?
Tito Magoti tweet media
English
59
564
1.8K
29.6K
General retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Yaani kuna mambo ya kushangaza sana duniani. Wanaiba mpaka uniform za polisi. Polisi wanateseka na maisha mabaya magumu. Alafu wanatumia polisi kutupiga sisi na kuwalinda wao wanaowatesa!!!!
Filipino
58
282
1.5K
30.3K
General retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Nimekua najiuliza inakuaje watu wanaua watu kama vile unaua sisimizi bila huruma, uchungu wala aibu. Kama wanafanya attempt za kuuana wao kwa wao, itakuaje sisi wengine. Uchu wa madaraka na kiu ya wizi wa mali za umma ni mkubwa mno kwa hawa watu.. Hawa ni zaidi ya wanyama. Lazima watoke.
Indonesia
42
242
1.2K
34K
General retweetledi
Boniface Mwabukusi
Boniface Mwabukusi@Mwabuk2Boniface·
Leo nimefika Ikulu ya Chamwino kuwasilisha majumuisho ya wadau mbalimbali, ambapo tulipata nafasi adhimu ya kuzungumza na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuwasikisha kwa Mukhtasari kuhusu masuala makuu ya kitaifa yanayohusu: 1. Utawala Bora na Demokrasia – tukisisitiza umuhimu wa kuweka mifumo thabiti inayohakikisha heshima ya utawala wa sheria, uwajibikaji na uwazi. 2. Haki za Ushiriki katika Chaguzi tukieleza haja ya kuwa na uchaguzi unaozingatia haki za wananchi, ushiriki huru wa wagombea, na kuondoa vikwazo vya kiufundi vinavyoweza kunyima wananchi na wagombea haki ya kidemokrasia. 3. Changamoto za Utekaji na Kutoweka kwa Watu (Enforced Disappearances) tukimueleza Mheshimiwa Rais juu ya umuhimu wa kulinda haki za msingi za raia kwa kuzuia vitendo hivi visivyo vya kisheria. 4. Maboresho ya Mfumo wa Uchaguzi tukihimiza mageuzi yatakayowezesha chaguzi zilizo huru, haki na shirikishi, ili wananchi wapate viongozi wanaowataka kupitia sanduku la kura bila hila wala vizuizi visivyo halali na kuondoa changamoti ya kukata wagombea au kuzuia Mawakala. 5. Suala la Mh.Tundu Lissu tuliliwasilisha kwake na linaendelea kuangaliwa na kufanyiwa kazi kwa utaratibu mwingine lakini bila kuingilia kinachoendelea Mahakamani Mheshimiwa Rais alitusikiliza kwa makini na akatoa ahadi ya kuangalia kwa karibu mapendekezo yaliyotolewa, ili kuona namna bora ya kuyatekeleza kadri muda na mazingira yanavyoruhusu. Aidha, kwa kuwa mapendekezo hayo yamegawanyika katika ya muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu, Mheshimiwa Rais ameahidi kuyapitia kwa ukamilifu na kuchukua hatua stahiki kwa yale yatakayowezekana, ili kuhakikisha Taifa linaingia kwenye uchaguzi ulio bora zaidi, wenye heshima, uhuru na haki kwa Watanzania wote. BAK MWABUKUSI.
Boniface Mwabukusi tweet media
Indonesia
298
291
1.3K
73.8K
General retweetledi
Vitus Nkuna
Vitus Nkuna@VitusNkuna·
1/2 TAARIFA: Sitoweza kuendelea na mchakato wa Uchaguzi au kushiriki kwa vyovyote vile uchaguzi Mkuu huu wa 2025. Nimeshatoa taarifa kwa Chama kuwa kitafute mtu wa kugombea Jimbo la Iringa Mjini as long as sijachukuwa FOMU ya Serikali na muda bado upo.
Vitus Nkuna tweet mediaVitus Nkuna tweet media
Indonesia
187
49
505
99.3K
General retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
POLEPOLE ni silaha ya adui iliyotumika kutuumiza wakati wa UTAWALA wa awamu ya tano na sasa SILAHA hiyo kali ya sumu ipo katika mikono yetu kutokea ndani kwa ADUI, ikiwa imejaa SUMU za kutosha; sasa tunaitumia kujibu mashambulizi ya adui ipasavyo. RISASI zake zikiisha tutaitupa.
Indonesia
78
228
1.8K
37.8K
General retweetledi
Daudi T. Balali
Daudi T. Balali@daudibalali·
komplo teorisi
Indonesia
0
91
428
121.1K
General retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Mahakamani pamechafuka sana Leo.. 😆 TAL ameambiwa ataje mashahidi wake kama anao. TAL amemtaja SSH, Mpango na Majaliwa katika orodha ya mashahidi wake. Hakimu Franco Kiswaga akasema hao mashahidi ataomba kibali Mahakama Kuu waingie kwa kuwa hawezi kuwaingiza katika commital.
Indonesia
111
383
2.8K
96.9K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Hello, @FIFAcom I hope this message reaches you well. I am a football fan, and one of my favorite teams in my country is Young Africans Sports Club, commonly known as YANGA. Our team is led by a president who is also involved in politics. A few weeks ago, he tried to run for a position in his political party but failed to secure it. As football fans, we respected that everyone has the right to be a member of any political party they wish. On August 12 this year, his political party, in which he had sought a position but failed, held a fundraising event to collect money for their general election campaign to be held this October. Our club president participated in that fundraising as part of his right to be a member of his party. The problem arose when he announced that he was donating to his political party and claimed that it was our team contributing the money — an amount of $38,000. Our team consists of people from different political parties, and not all of us support the party to which our president made the donation. By doing so, the president implied, in front of his political party, that the team he leads is entirely composed of members of his party and that we all support it. OUR RIGHTS HAVE BEEN VIOLATED BY OUR LEADER. We have no one to appeal to in this matter because both his political party and his leadership at the club have been arrogant and dismissive, treating us as if we can do nothing about it. We are aware that FIFA completely prohibits the mixing of politics with football. As YANGA fans who oppose what our chairman has done, we kindly ask you to help us interpret the rules so that JUSTICE CAN BE SERVED for everyone. Help us tag FIFA. @FIFAcom #TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet media
English
365
786
3.4K
149.5K