Sabitlenmiş Tweet
General
5.3K posts

General retweetledi
General retweetledi
General retweetledi
General retweetledi

Kama unaumia na kinachoendelea Tanzania, Kama unaumia na utekaji, uuawaji na upigwaji wa wananchi, Kama unaumia na udhulumat unaofanywa na CCM . Kama unataka mabadiliko, tafafhali sasa hivi, dakika hii tuma pesa kuchangia tone tone. Ruzuku ya Chadema imefutwa kinyemelewa, CCM wanahakikisha wapinzani hawana pesa ili washindwe kufanywa chochote na iwe rahisi kuwanunua. Lazma wananchi muwatumie pesa la sivyo watashindwa kuwapambania.
BORA USILIPIE APP YANGU ILA TUMA PESA CHADEMA. Kama una buku 2 tu to spare naomba usilipie Umbea wangu instead peleka hiyo pesa kwenye ukombozi wa nchi, watumie Chadema hiyo pesa. Mimi dada yenu kupitia mapato ya App nilichangia milioni 3 miezi michache iliyopita na leo nawatumia milioni 3 zingine.
Tigo- Mixx by yas
1. *150*01#
2. Lipa Bill No.4
3. Weka namba ya Kampuni 213050
4. Ingiza kumbukumbu namba 1234
5. Weka kiasi cha fedha - kuanzia 1000
6. Ingiza neno la siri
Vodacom
1. *150*00#
2. Lipa kwa M Pesa No.4
3. Ingiza namba ya Kampuni 111333
4. Ingiza kumbukumbu namba 1234
5. Weka kiasi
6. Ingiza Pin
Mpesa
1. Bonyeza *150*00#
2. Lipa kwa M pesa No. 4
3. Ingia malipo ya kujirudia No. 09
4. Weka malipo ya kujirudia No. 1
5. Weka namba ya kampuni No. 3
6. Namba ya kampuni 111333
7. Weka namba ya kumbukumbu ya malipo 1234.
8. Weka kiasi
9. Weka jina la malipo CHADEMA
10. Marudio kila siku, wiki au mwezi
11. Weka tarehe ya kwanza ya malipo
2802025
12. Weka tarehe ya mwisho ya malipo
28022026
13. Weka namba ya siri
14. Bonyeza 1 kuthibitisha
DIASPORA
NAMBA: 0744 446 969
JINA: CHADEMA HQ
MTANDAO: VODACOM
BANK
NMB
JINA: CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO
NAMBA: 22606600140
SWIFT code: NMIBTZTZXXX



Indonesia
General retweetledi
General retweetledi
General retweetledi
General retweetledi
General retweetledi

Star tv imekata matangazo ya BBC Swahili ili taarifa ya watekaji isisikike?
Nini maana ya vyombo vya habari kwenye Nchi hii?
Yaani wao hawawezi hata kusemea umma wala kutangaza uovu huu..
Chombo cha nje kimefanya, wao hata kutangaza hawawezi, wanakata!!
What a shame!!! Watanzania wako peke yao. Ila tutashinda.
Indonesia
General retweetledi
General retweetledi

#IamTunduLissu is a gesture of solidarity.
To ensure Lissu’s voice isn't silenced.
And that the call for electoral justice is a shared aspiration.
We’ll gather here today at 12 noon.
To protest chanting #IamTunduLissu.
Please be there.
Are you Tundu Lissu?

English
General retweetledi
General retweetledi
General retweetledi

Leo nimefika Ikulu ya Chamwino kuwasilisha majumuisho ya wadau mbalimbali, ambapo tulipata nafasi adhimu ya kuzungumza na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuwasikisha kwa Mukhtasari kuhusu masuala makuu ya kitaifa yanayohusu:
1. Utawala Bora na Demokrasia – tukisisitiza umuhimu wa kuweka mifumo thabiti inayohakikisha heshima ya utawala wa sheria, uwajibikaji na uwazi.
2. Haki za Ushiriki katika Chaguzi tukieleza haja ya kuwa na uchaguzi unaozingatia haki za wananchi, ushiriki huru wa wagombea, na kuondoa vikwazo vya kiufundi vinavyoweza kunyima wananchi na wagombea haki ya kidemokrasia.
3. Changamoto za Utekaji na Kutoweka kwa Watu (Enforced Disappearances) tukimueleza Mheshimiwa Rais juu ya umuhimu wa kulinda haki za msingi za raia kwa kuzuia vitendo hivi visivyo vya kisheria.
4. Maboresho ya Mfumo wa Uchaguzi tukihimiza mageuzi yatakayowezesha chaguzi zilizo huru, haki na shirikishi, ili wananchi wapate viongozi wanaowataka kupitia sanduku la kura bila hila wala vizuizi visivyo halali na kuondoa changamoti ya kukata wagombea au kuzuia Mawakala.
5. Suala la Mh.Tundu Lissu tuliliwasilisha kwake na linaendelea kuangaliwa na kufanyiwa kazi kwa utaratibu mwingine lakini bila kuingilia kinachoendelea Mahakamani
Mheshimiwa Rais alitusikiliza kwa makini na akatoa ahadi ya kuangalia kwa karibu mapendekezo yaliyotolewa, ili kuona namna bora ya kuyatekeleza kadri muda na mazingira yanavyoruhusu.
Aidha, kwa kuwa mapendekezo hayo yamegawanyika katika ya muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu, Mheshimiwa Rais ameahidi kuyapitia kwa ukamilifu na kuchukua hatua stahiki kwa yale yatakayowezekana, ili kuhakikisha Taifa linaingia kwenye uchaguzi ulio bora zaidi, wenye heshima, uhuru na haki kwa Watanzania wote.
BAK MWABUKUSI.

Indonesia
General retweetledi
General retweetledi
General retweetledi
General retweetledi
General retweetledi

Hello, @FIFAcom
I hope this message reaches you well. I am a football fan, and one of my favorite teams in my country is Young Africans Sports Club, commonly known as YANGA.
Our team is led by a president who is also involved in politics. A few weeks ago, he tried to run for a position in his political party but failed to secure it. As football fans, we respected that everyone has the right to be a member of any political party they wish.
On August 12 this year, his political party, in which he had sought a position but failed, held a fundraising event to collect money for their general election campaign to be held this October.
Our club president participated in that fundraising as part of his right to be a member of his party. The problem arose when he announced that he was donating to his political party and claimed that it was our team contributing the money — an amount of $38,000.
Our team consists of people from different political parties, and not all of us support the party to which our president made the donation. By doing so, the president implied, in front of his political party, that the team he leads is entirely composed of members of his party and that we all support it.
OUR RIGHTS HAVE BEEN VIOLATED BY OUR LEADER. We have no one to appeal to in this matter because both his political party and his leadership at the club have been arrogant and dismissive, treating us as if we can do nothing about it.
We are aware that FIFA completely prohibits the mixing of politics with football. As YANGA fans who oppose what our chairman has done, we kindly ask you to help us interpret the rules so that JUSTICE CAN BE SERVED for everyone.
Help us tag FIFA. @FIFAcom
#TUTAKUWEPO🫵🏾😎


English














