Gaza
2.7K posts

Gaza retweetledi

@noorg6961 @Jambotv_ @bajabiri MUNGU nakuogopa sana juzi kafa kiongozi watu walishangiria hukuona mbona hukusema muogope Mungu au yule aliekufa juzi sio binadamu
Indonesia

Breaking News:
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa, Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini Seleman Bungara (Bwege) amefariki Dunia mchana huu, akiwa kwenye Hospitali moja ya binafsi huko Kigamboni, Dar es Salaam,
Jambo TV imezungumza na Abbas S.A. Bungara ambaye ni Kaka wa marehemu, ambapo amesema marehemu alifikishwa Hospitalini hapo kwaajili ya kufanyika Dialysis kama ilivyokuwa ikifanyika kawaida, na ndipo umauti ulivyomfika,
Amesema kwa sasa mipango ya mazishi inaendelea, na taarifa zaidi zitatolewa hapo baadae ila msiba (kwaajili ya watu kuhani) ni Temeke nyumbani kwa Abbas Bungara,
Enzi za uhai wake marehemu Bwege amewahi kutumikia vyama vya siasa vya CUF, ACT Wazalendo na hivi karibuni alitangaza kujiunga na CHADEMA, ingawa mchakato rasmi wa kukabidhiwa kadi ya chama hicho ulikuwa haujakamilika.
NB: Jambo TV itakuletea taarifa zaidi kuhusiana na msiba huo.

Indonesia

@mugheiry_rashid @Jambotv_ @bajabiri Wewe ni ndugu katika imani nimekukumbusha tu. Samahani kama nimekukwaza akhi. Mimi sio mwanasiasa
Indonesia
Gaza retweetledi
Gaza retweetledi

@mugheiry_rashid @Jambotv_ @bajabiri Akhi muogope Mungu, tumefundishwa kusema inna Lillahi wainna ilayhi rajiuun unapotufika msiba. Na pia tumejatazwa kusema tusiyo ba ushahidi nayo, usibebe dhima kwa Mola kwa ajili ya siasa.
Indonesia
Gaza retweetledi
Gaza retweetledi

@TweveDevota Nimewaza kama wewe. Je viongozi wako tayari kuondoa hii hali au tutaendelea kuwa na kiburi? Huku tuendako sio kuzuri ikiwa tutaendelea hivi.
Indonesia

@Rahim_Meghji Hawafati mashehe zao, wao wanaita msimamo, salafi hamba kwetu, tuna salafi jina tu
Indonesia

Masheikh wao wanasema ila hawa vijana wanaojiita salafi hawawaskilizi wanaendeshwa na nafsi zao, ujinga ni mzigo sana
📝@SalafiIbnSalaf
Shaykh Suleiman Ar Ruhayli - Does it count as backbiting to speak badly about a country?
Indonesia

@Rasheed_Atm @Rahim_Meghji @HamisKittumma Akhi tusome dini na kuifuata, sio mabishano yasiyo na tija, mwisho wa siku Allah ndie mjuzi. Kubishana hata kama unajua kakataza mtume Muhammad s.a.w. Na pia tumekatazwa kulaaniana na kuitana majina mabaya(Al Qur'aan)
Indonesia

@noorg6961 @Rahim_Meghji @HamisKittumma Uislamu ni mmoja kwa nini eti kila Mtu awe na Aqida yake anayoona ni sawa???
Hii sio sawa na huo sio Uislamu kwa hiyo wasiamrishane mema na kukataza mabaya..?
Hebu bas
Indonesia

@Rasheed_Atm @Rahim_Meghji @HamisKittumma Akhi na wewe hupenda kunyooshea wengine vidole na hata kutaja majina. Wote tunawajibika kuacha haya. Kila mtu anafata akida anayoona ni sawa mwisho wa siku Allah ndio mjuzi
Indonesia

@Rahim_Meghji @HamisKittumma Kukaa kumnyooshea Muislamu mwenzio na kumbeza kwenye Maasia hiyo Sifa ya Waumini kwani Wewe mwenzetu umetimiza na amri zote na kuacha makatazo yote au ndio nyani haoni..
Kuwa Biladu Tawhidi maana yake sio kuwa Malaika au Maasumu tatizo lenu Mnachanganya mambo
Indonesia
Gaza retweetledi
Gaza retweetledi
Gaza retweetledi
Gaza retweetledi
Gaza retweetledi
Gaza retweetledi







