Pastory
1.4K posts

Pastory
@pastoBusness
Agriculture & Entrepreneurship
Arusha, Tanzania Katılım Haziran 2021
4.5K Takip Edilen1.6K Takipçiler

@NachiwaMohamed @MkulimaKante Niliwah kuwala pale mafinga nilikua nasafir mbeya to Dsm unakuta kuku an paja kubwa sana lakin hawana radha
Filipino

@MkulimaKante Hao kuku nimekutana nao majuzi kwenye moja ya hotels zinapopaki mabasi pale Mafinga...
Indonesia

@Hafahamiki @Kicheche_jr Jumanne Mjus mbona hua namuona ni kama magambo tu pale arusha stend ya mabas kumbe ni mdosi
Filipino

@Kicheche_jr Jambazi tu. Alikuwa mfadhili wa CCM ndio maana akaendelea kuwa uraiani. Pia kuna yule mwenzake anaitwa Jumanne mjusi
Indonesia

@_zack255 @Kicheche_jr Nimeona Justice Nyari ni tajir wa pale arusha hadi nimeogopa
Filipino

@EsirEid Biashara yangu mpya ya food point inahitaji mtaji wa takribani TZS 1,945,000/- ili ianze kufanya kazi vizuri,hii inajumuisha vifaa vyote vya msingi,malighafi za mwanzo na maandalizi ya eneo.
Kwa juhudi zangu binafsi tayari nimefanikiwa kukusanya na kuwekeza TZS 1,200,000/-.


Indonesia

#TajiriLaKihaya
Siku ya Birthday Yangu,19th January Napotimiza Miaka 31.
Nitatoa Zawadi ya 1m.
watu wawili (ME na KE) kila mmoja atapata Laki 5.
Unachotakiwa kufanya niambie hio
TZS 500,000. nitakayokupa utaifanyia Nini Au itakusaidia kuSolve tatizo gani?
Comment au Quote hii Post Tu!
Tuna siku 10.
Mwisho ni tarehe 18 saa nne asubuhi. Muda ni mrefu ili watu wengi waweze kuona hii - hasa Wale ambao hata bundle la kuingia humu wanapata mara moja moja saana!
Hapo nitasoma Comments na Quotes zote- na ITAKAYONIGUSA atapata laki 5 saa sita usiku 19th january!

Indonesia

Siku ya Birthday Yangu,19th January Napotimiza Miaka 31.
Nitatoa Zawadi ya 1m.
watu wawili (ME na KE) kila mmoja atapata Laki 5.
Unachotakiwa kufanya niambie hio
TZS 500,000. nitakayokupa utaifanyia Nini Au itakusaidia kuSolve tatizo gani?
Pastory@pastoBusness
@EsirEid Mimi ukinisaidia hiy 500,000 nitaongezea na hela niliyojichanga ili ninunue pikipiki kwa ajil ya kufanyia delivery kwenye hii biashara yangu ya Chips. kwa sasa Delivery bado nafanya kwa baiskeli na kwa miguu kitu ambacho kinasababisha nisiweze kufafikia wateja wengi hasa wa mbali
Indonesia

@EsirEid Mimi ukinisaidia hiy 500,000 nitaongezea na hela niliyojichanga ili ninunue pikipiki kwa ajil ya kufanyia delivery kwenye hii biashara yangu ya Chips. kwa sasa Delivery bado nafanya kwa baiskeli na kwa miguu kitu ambacho kinasababisha nisiweze kufafikia wateja wengi hasa wa mbali

Indonesia

@Adventure_36 Kitu kinauma n kwamba waliabakiza daki 5 wafike katoro mwisho wa safari
Indonesia

@rayasel94 Mim kunasku nilienda pale kaumba pisi imeng'aa na wigi safi kufika ndani anakimbilia kuzima taa dadeq kushika kifuani hivi pako flati hamna maziwa nikagundua ni chiko mamae nilimwambia chukua pesa yako nifungulie mlango nisepe,niliki
mbia vibaya mno,starudaia tena kwenda kaumba
Indonesia
Pastory retweetledi































