Pharmacoreuben ( pharm Cinkey)

3K posts

Pharmacoreuben ( pharm Cinkey) banner
Pharmacoreuben ( pharm Cinkey)

Pharmacoreuben ( pharm Cinkey)

@pharmacoreuben

Registered pharmacis ( in ❤ with medicaments.💊💊) ensuring better safety of drugs to a patient. Ambassador of AMR with a great interest in public health.

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ekim 2020
4K Takip Edilen945 Takipçiler
Billy
Billy@BillyTronix1·
Leo TCL 43" Android TV 510,000 Hisense 43" Smart TV-520,000 Call/Whatsapp-0625965198
Billy tweet mediaBilly tweet media
Tanzania 🇹🇿 English
4
37
109
7.1K
NOVA
NOVA@UTDqueen·
Heartbreak ya nne within 6 months 😭😭Mungu kama ulitaka niwe nun si unipee clear signals niache kuforce mapenzi
Filipino
40
72
205
6.9K
John kalage 🇹🇿
John kalage 🇹🇿@kalage_jr·
Kuna rafiki yangu nilisoma nae pale SUA tulipo maliza chuo alianza kufuga kuku tena alianza na kifaranga kimoja tu ambacho alikiokota porini sasa hivi kajenga KFC maeneo flani kinondoni..
Indonesia
25
10
254
7K
Dr. Mlaluko, MD
Dr. Mlaluko, MD@drmlalukoMD·
Unakopeshwa unajifanya umesahau deni. Unapata shida, unaomba ukopwe tena! Hela watu wanazikota sio..
Indonesia
9
6
63
1.7K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametangaza rasmi kustaafu kugombea tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa, mkoani Lindi, baada ya kuliongoza kwa takribani miaka 15 mfululizo tangu mwaka 2010. Vyanzo vyetu vya habari kutoka kwa wandani wa Waziri Mkuu Majaliwa vimeieleza Jambo TV kuwa, akiwa jimboni kwake Ruangwa kwa siku kadhaa za mashauriano na wananchi na wazee wa eneo hilo, Majaliwa amefikia uamuzi huo baada ya tafakari ya kina na ushauri wa wadau mbalimbali na amewashukuru Wanaruangwa kwa kipindi chote cha miaka 15 ya kumpa ubunge na kuwawakilisha vyema. Hatua hiyo imekuja siku chache tu baada ya Majaliwa kutangaza Bungeni, Juni 26, 2025, kuwa anapanga kugombea tena ubunge wa jimbo hilo, akisisitiza kuwa anaendelea kuhitaji ridhaa ya wananchi. Hata hivyo, kauli hiyo sasa imebadilika rasmi. "Ninatambua wakati mwingi nimekuwa nje ya jimbo nikilitumikia taifa lakini wana Ruangwa wameendelea kuniunga mkono. Nitumie nafasi hii kusema asanteni sana na ninamuomba Mwenyezimungu azidi kuimarisha mshikamano uliopo kati yetu sote. Ninaomba kuwajulisha kuwa ninakuja kuchukua fomu ya kuomba ridhaa yenu tena.", alinukuliwa bungeni. Uamuzi wa Majaliwa umepokelewa kwa hisia tofauti, huku baadhi ya wachambuzi wa siasa wakiutaja kuwa ni uamuzi wa busara na wa kiungwana, hasa baada ya kumaliza kipindi chake cha miaka 10 cha Uwaziri Mkuu tangu alipoteuliwa mwaka 2015. Hatua hii pia inakuja wakati chama chake, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikiwa katika harakati za ndani za uteuzi wa wagombea wa nafasi za udiwani na ubunge kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Zoezi hilo limeanza Juni 28 na linatarajiwa kukamilika Julai 2, 2025.
Jambo TV tweet media
Indonesia
74
34
369
143.5K
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
V8 tumepaki pembeni kwa kipindi hiki kwa sababu tunataka muone kuwa sisi ni kama nyie tu. SIASA ZA KIINIMACHO NA FIKRA ZA WALALAHOI.
(---) Onesmo Mushi tweet media
Filipino
67
85
555
19.3K
DevotaTweve
DevotaTweve@TweveDevota·
2020 nilitangaza kugombea ubunge ingawa sikuweka wazi ni jimbo gani nikaghairi lakini 2025 nimeamua rasmi. Ieleweke kuwa nitaendelea kusimamia haki na kupinga uovu bila kujali niko wapi.
Indonesia
218
41
504
47.1K
DevotaTweve
DevotaTweve@TweveDevota·
Leo nimefanikiwa kuchukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Mbozi mkoani Songwe.
DevotaTweve tweet mediaDevotaTweve tweet media
Indonesia
409
80
660
175.6K
Musiika Justus
Musiika Justus@MusiikaJustus·
Truth be told, Tamale cooked this! 🤗
Musiika Justus tweet media
English
23
106
1.8K
68.1K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
HABARI: Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Nusrat Hanje, amenusurika katika ajali ya gari iliyotokea leo Juni 28, 2025, katika eneo la Mkiwa, wakati akiwa safarini kuelekea kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Ikungi Mashariki kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akizungumza na Jambo TV, Hanje amesema gari alilokuwa akisafiria lilipinduka mara tatu na kuharibika vibaya, baada ya dereva kudai kuona jiwe ghafla barabarani. Hata hivyo, amethibitisha kuwa yeye na dereva wake wote wametoka salama katika ajali hiyo. “Gari limepinduka mara tatu, likajiburuza, lakini kwa neema ya Mungu tumepona wote. Baada ya hapo niliendelea na safari na kufanikisha kuchukua fomu kama ilivyopangwa,” amesema Hanje. Hatua hiyo ya kuchukua fomu inakuja siku chache baada ya Hanje kutangaza kuhama rasmi kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kujiunga na CCM, huku akieleza dhamira yake ya kuwania ubunge jimboni humo. Nusrat Hanje alikuwa miongoni mwa Wabunge 19 wa Viti Maalum kupitia CHADEMA walioingia kwenye mgogoro na chama hicho, hali iliyosababisha kufutiwa uanachama, baada ya uongozi wa chama kueleza kuwa taratibu za kupata ubunge hazikuzingatia kanuni na miongozo ya chama.
Jambo TV tweet media
Indonesia
81
11
295
30.5K
Adellah Tillya
Adellah Tillya@AdellaTillya·
Marafiki na washarika kutoka Mataifa 152 Duniani, ambao wamekua wakishiriki Ibada za Morning Glory na Evening Glory KKKT Kijitonyama, wamemzawadia Mchungaji Dkt.Eliona Kimaro zawadi ya Gari lenye thamani ya Sh Milioni 197, kuendelea kumtia moyo katika huduma yake ya Kichungaji.
Indonesia
24
26
288
22.4K
HABARIMPYA TV
HABARIMPYA TV@HabarimpyaTv·
Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Mhe. Mpina akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa kisesa
Indonesia
14
60
543
10.8K
SAINT DON CARTER, PhD
SAINT DON CARTER, PhD@stunnawaves·
POST NA YA MPINA TUONE
millardayo@millardayo

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza kushangazwa na kitendo cha Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina kutoa kero ambazo zimelenga kupata umaarufu wa kisiasa kwa Wananchi na sio kulisaidia Jimbo lake ambapo amesema aliyosema Mpina yanaonesha hajalitendea haki Jimbo lake na hafai kuwa Mbunge wa Jimbo labda awe Mbunge wa kuteuliwa. Akiongea na Wananchi wa Meatu Mkoani Simiyu leo June 17,2025, Rais Samia amesema ““Ndugu yangu Mpina aliomba barabara, madaraja matatu na kuwepo Halmashauri ya Wilaya ambayo Waziri alishasema lakini uwepo wa Halmshauri ya Wilaya huanza na mchakato wa ndani ombi linapelekewa TAMISEMI na huku juu tunamalizia lakini hatoki Mtu kuomba kwa Rais wakati ndani mchakato haujaanza, kwahiyo anzeni mchakato” “Ameomba madaraja na barabara, Ndugu zangu maombi kama haya leo huyu angewasilisha Bungeni na Mawaziri wakatekeleza ombi lake kuleta maombi haya kwa Rais ni kujitafutia umaarufu na kuthibitisha kwamba Mbunge hakulifanyia haki Jimbo lake, angesema Bungeni kazi hii ingefanyika” “La pili kwa sifa alizotoa SGR, Mwl Nyerere, Daraja la Busisi, MV Mwanza huyu sio Mbunge bali Mbunge wa Taifa kwahiyo nadhani tunapokwenda huko muache nimchukue kwenye nafasi zangu 10, mwenzie Leah amesema kila kilichofanyika Jimboni na amaount ya fedha lakini Mbunge wa Kisesa (Mpina) ni kurukaruka na kwamba Kisesa tunakudai lakini ukifuata rekodi za Serikali tumefanya mengi sana Kisesa, amenishangaza kusema Kisesa ipo kama Mwanamke aliyesuka nywele ina maana amedharau Jimbo lake, Ndugu zanvu nadhani mngekuwa serious kutuletea Wabunge wa kukutoleeni huduma kwenye Majimbo yenu, kwahiyo huyu ni Mbunge wa Taifa na sio Mbunge wa Jimbo” #MillardAyoUPDATES

Filipino
2
0
0
106
HABARIMPYA TV
HABARIMPYA TV@HabarimpyaTv·
Vita ni Vita Mura 😂😂🙌
Español
16
32
501
38.4K
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
#Bungeni: Mbunge wa Nzega Vijijini Mhe. Dkt Hamisi Andrea Kigwangalla akichangia Bungeni leo hii ametetea Bajeti iliyopitishwa kwa kusema imelenga mwananchi wa hali ya chini na kumuomba Dkt Mwigulu aendelee kukopa kwani mikopo hiyo inaenda kusaidia wananchi. Kwa urefu zaidi unaweza kuitazama kupitia YouTube channel yetu ya EastAfricaTv #Bungeni #EastAfricaTv #HainaKuchoka
Indonesia
135
16
123
27.7K
Luhaga Mpina
Luhaga Mpina@LuhagaMpina·
Ahsante kwa kunipandisha daraja, nimepokea uteuzi wako wa kuwa Mbunge wa Taifa.
Luhaga Mpina tweet media
Indonesia
474
831
7.4K
218.7K