Ten king

30.4K posts

Ten king banner
Ten king

Ten king

@pintinoh

/⚽ fan/ 📰.united

The Netherlands Katılım Eylül 2015
1.3K Takip Edilen1.5K Takipçiler
Ten king
Ten king@pintinoh·
@FanuelIddy Tena namuambia akaoge, na nnaipiga kama kawaida
Indonesia
1
0
1
8
Pharm Iddy 💊💉
Pharm Iddy 💊💉@FanuelIddy·
Kuna jamaa jana alimfumania mke wake tena nyumbani kwake na kitandani anapolala na mke wake hakumpiga mke wake akamwambia tu jamaa avae nguo aondoke sijui anawaza nn ila wanawake😁💔💔
Indonesia
12
23
118
7.1K
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
ASTAGHFIRULLAH NIWEKE WAPI SURA YANGU KESHO MIE! Usiku wa Oct 31,2025 nilikuwa nachati na Mkuu wa Mkoa fulani ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa ule,tulikuwa tunajaribu "kudigest" kujua nini hasa kimetokea na nani hasa alitufikisha katika matukio yale ya Oct 29 na kuendelea. Aliyoniambia Mkuu wangu yule niliogopa,nikasema hata huyu anaweza kufanya haya?Ndio maana nasema tu je,niweke wapi sura yangu kesho kuelekea kutangazwa kwa ripoti ya Ex-Jaji Mkuu Chande. Kwa kifupi kuna watu watatajwa na ripoti ya kesho na Watanzania hawatoamini.Na ndio hapo watanzania wengi watajua ukweli kwamba kwanini hawa jamaa walikuwa wanaipinga hii ripoti. Cha kushangaza zaidi kuna KANISA moja kubwa hapa Nchini lilitumia eneo lake kama uwanja wa kupanga matukio ya Oct 29. Kesho ndio Watanzania wataweza "kuconnect dots"kwamba kwanini baadhi ya watu fulani fulani waliendelea kuishambulia Serikali mitandaoni hata baada ya Oct 29 mpaka leo. Yule Mzee wa "Freka Fyeka Fyeka" kama namuona huko alipo. Dah,October 29 ilikuwa na SIRI kubwa sana na bila Tume ya Ex-Jaji Mstaafu Chande Watanzania wengi tungekuwa gizani. Kuna kijana mmoja mfuasi wa KANISA la Fyeka Fyeka Fyeka Mkoa fulani alipokamatwa simu yake ilikutwa "anachat" na KIongozi wa KANISA HILO MKOA fulani. Walichokuwa wanapanga ni JINSI ya kutumiana FEDHA ya Mafuta kwa ajili ya choma choma yao.MESSAGE ZIPO na naamini Ex -JaJi Mkuu Chande atakuwa nazo hizo SMS. Katika Mkoa fulani Nyanda za Juu Kusini wapo Wanyarwanda walikamatwa kwenye maandamano yale.Waziri Mkuu Mh Mwigulu Nchemba anaposema wapo watu kutoka Nje walilipwa kuja kuongeza nguvu kufanikisha MAPINDUZI yale,watu walimbeza sana. Mwigulu hawezi kuongea VITU bila kuwa na taarifa za ndani kutoka katika Vyombo vya Ulinzi na Usalama vya Serikali. Swali?Tuwafanye nini watu hawa?☝🏽☝🏽☝🏽
Indonesia
29
8
34
7.9K
Premier League
Premier League@premierleague·
Five to go. Level on points. Equal goal difference. Who you got? 🤔
Premier League tweet media
English
756
1.9K
12.3K
632K
Ten king
Ten king@pintinoh·
Jinsi Yanga alivyocheza na Simba Zanzibar ,Yanga waliuza, kile sio kiwango chake, wachambuzi wanafiki hawazungumzii kiwango cha chini kilichochezwa na Yanga, wanasifia ubora wa Simba kwamba wameimarika, double standard
Indonesia
0
0
0
5
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
Ile kesi ingekuwa kwa huyu Mtaalamu hata nisingekuwa na shaka...Ila Jambia aombe radhi watamgawana 🤣
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
21
4
102
6.4K
Ten king retweetledi
Fabrizio Romano
Fabrizio Romano@FabrizioRomano·
🚨 BREAKING: Chelsea have decided to SACK Liam Rosenior with immediate effect. It’s OVER after 4 months, and 5 consecutive defeats with 0 goals scored. ❌
Fabrizio Romano tweet media
English
16.1K
30.7K
233.2K
16.5M
Ten king
Ten king@pintinoh·
@meamswahili Juma aache wasiwasi, vijana Wana ushahidi, aache tuukomboe mpira
Indonesia
1
0
0
258
MeaMswahili
MeaMswahili@meamswahili·
🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄 Baada ya Taarifa Kusambaa Kila Kona Kuhusu YANGA Kupeleka Barua za Fidia Baada ya Madai ya Udhalilishaji Yaliyofanywa na Wachambuzi wa Soka Alex Ngereza na Wilson Uruma, Mchambuzi na Mtangazaji Juma Ayo Ajitokeza Kuwaombea Msamaha. #MeaMswahiliUPDATES
Indonesia
11
4
88
10.3K
Ten king retweetledi
Young Africans SC
Young Africans SC@YoungAfricansSC·
“Usisahau kumshukuru Mungu na kufurahi kwenye maisha yako, kwa sababu tunapitia mengi lakini kama ukipata muda wakufurahi wewe furahi mwanangu” Prince Dube
Young Africans SC tweet mediaYoung Africans SC tweet media
Indonesia
2
11
322
5.5K
Ten king
Ten king@pintinoh·
@RevocatusMagum1 Amin nakuambia, hakuna mambo ya Yanga kununua mechi, nyinyi mnakosa ubingwa kwa uzembe mdogomdogo, mnakosaga ushindi kwenye mechi nyingi kwa kupoteza nafasi nyingi za wazi, then mnakimbilia kusema mnakamiwa, ukamiwe kwenye mechi ukose nafasi za wazi zaidi ya 4?
Indonesia
0
0
0
192
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
-Yanga kabla hawajamdai Oruma Bilioni 10 kwa kuwachafua wamemtaka awaombe radhi pamoja na Efm na TVE kushusha post zote zinazoonekana matamshi yake yaliidharirisha Yanga. Ningekuwa mimi Oruma ningewaomba radhi hadharani kabisa...Tena ningerekodi video clip ya kuwaomba radhi na kuipandisha Mtandaoni Kwanini...? 1)Yanga wanaweza kushindwa kesi ya Morrison ila kesi ya hivi hawashindwi nakuambia...wote tunajua! 2) Kwenye hii Nchi linapokuja suala la Simba na Yanga hata wakili wako anaweza kukusaliti akaacha kutokea Mahakamani ukaishia jela! 3) Tuhuma za Kuihusisha Yanga na rushwa/upangaji wa Matokeo haijaanzia kwa Oruma, Mamlaka inajua lakini wa kuthibitisha hayupo...Suala la kipa wa Tabora United liliishaje? 4) Kuomba radhi hata bando la jero haliishi...Aombe radhi...Yanga ni wakubwa sana kwenye hii Nchi...Hawezi kutoboa japo kila mtu anajua alichosema Oruma ndio ukweli wenyewe! Nafunga hizi Story siziongelei tena ✍️
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
36
6
81
15.3K
Ten king
Ten king@pintinoh·
@RevocatusMagum1 Kama ni ukweli haina haja ya kuomba radhi, asimamie anachoamini, na kinachonishangaza hili suala watu wa Simba ndio wanaotaka liishe nje ya vyombo vya Sheria, ni kwamba hamuamini kama ana ushahidi? Au mnataka kupata kichaka kama kawaida yenu mnapofeli?
Indonesia
0
0
1
773
DOCHA 
DOCHA @ALugandu·
@Adventure_36 @Foseveni47 Kuna mahala nimeona mdau mmoja anasema hii kesi yanga ni bora wakaiacha maana inawwza waletea shida makaburi yakianza kufukuliwa
Indonesia
8
0
20
4.9K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Yanga wameomba Fidia ya Bilion 10 kwa Wilson Uruma endapo akishindwa kuthibitisha maneno yake. Watu wako serious sana
Adventure-360 tweet mediaAdventure-360 tweet mediaAdventure-360 tweet mediaAdventure-360 tweet media
Indonesia
47
32
368
51.2K
Ten king
Ten king@pintinoh·
@Sirajitz1 Ukifikia hapa maana yake wewe una shida, Mama yako hakuheshimu, na mkeo hakuheshimu
Indonesia
0
0
1
65
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Wewe kama mwanaume hapa utaanza Kula Cha Nani hapa kati ya Cha Mke Au Cha Mama? 😂😂
Headboy wa mtaa tweet media
Filipino
39
21
68
7.4K
Ten king
Ten king@pintinoh·
@SportsarenatzTz Unamsajili mchezaji sababu ya mechi 2 au 4 alizokamia? Wenzetu walioendelea huwa wakimuona mtu, scout wanaweza program maalumu ya kuifuatilia, hasa anapocheza mechi za kawaida zinazokia hazina presha kubwa, vinginevyo unamsajili mchezaji hata vikombe kama muungano huwezi kumtumia
Indonesia
0
0
0
171
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTz·
🚨 Yanga imekubali uwezo wa beki Nasry Kombo ambaye ni nahodha wa TRA United wakati akiwazuia washambuliaji wa kikosi hicho, kisha Simba kwenye mechi mbili tofauti zilizochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, hivi karibuni. Yanga inapiga hesabu za kumalizana naye mapema, endapo ikimpata Kombo, imepanga kutoendelea kuwa na Assinki, hivyo atarudi Singida Black Stars.
SportsArenaTz tweet media
Indonesia
8
6
208
10.4K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
🚨 WATU WANAZUNGUMZA… LAKINI DE REUCK ANAFANYA KAZI! 🛡️🔥 Tangu aingie kwenye kikosi cha Simba SC, huyu jamaa ameleta utulivu ambao ulikuwa unahitajika sana kwenye defence. 👉 Striker akimkimbia? ANAMFIKA. 👉 Cross ikipelekwa? ANAISAFISHA. 👉 Presha kubwa? BADO YUPO CALM. Hii sio beki wa kawaida… Hii ni kiongozi wa ukuta wa nyuma 💪 📊 Kila mechi anaonyesha consistency ya hali ya juu ⚔️ Anapambana hadi dakika ya mwisho 🧠 Ana IQ kubwa ya mpira 🔥 Ukweli ni huu: Simba wamepata upgrade ya maana sana.
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
5
2
56
1.2K
Ten king
Ten king@pintinoh·
@RevocatusMagum1 Njia sahihi tuwaache Yanga waende kwenye vyombo vya Sheria, ili ndugu mchambuzi akatoe ushahidi, ni mtu pekee aliyeonyesha Yuko tayari kutoa anachojua, nashangaa Kuna watu wanataka Yanga afunike kombe, wanaogopa nini? Kwamba wataguswa?
Indonesia
1
0
1
540
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
🚨Tumefikaje hapa...? Huko nyuma Wachezaji walikua wanalalamika timu kubwa ikihonga baadhi ya Viongozi na wachezaji ili walegeze bahati mbaya walikuwa wanakosa ushahidi kwakuwa waliotakiwa kutoa ushahidi walikuwa hawautoi na wachezaji walifungiwa...Rejea tukio la Benjamin Asukile alivyoituhumu Yanga kupiga simu kwa wachezaji ili wawape milioni 40 waachi...Pengine Mtangazaji Gift Macha asingemtoa hewani huenda angefunguka zaidi! Unalikumbuka sakata la Yanga na Tabora United pale mkoani Tabora...Kile kilichotokea kiliongeza utata zaidi kwamba haya mambo yanatokea ila wanaotakiwa kuyasema wanabanwa na kuogopa adhabu kwakuwa maisha yao yanategemea hiyo hiyo industry. Sasa hivi kete iliyobaki ni kwa wachambuzi...Timu zinawatumia wachambuzi kusema yanayowakera na wachezaji pia . Tukumbuke hawa wachambuzi wana marafiki ambao ni makocha,wachezaji na viongozi kwenye hizo timu ambao kwa namna nyingine hawafurahishwi na kinachofanyika kwenye hizo timu ndogo zinapokutana na timu zetu kubwa! Timu zetu zinawatumia 'Machawa' kusukuma agenda zinazoharibu radha ya Football na kuleta hisia mchanganyiko kwamba Timu kubwa ikishinda ujue kuna namna imetokea. Hata kama Oruma atafungiwa,atatozwa faini ama vyovyote vile ni lazima tukubali kwamba mpira wetu unaelekea shimoni...Sasa hivi watu hawafurahii ushindi tena, Ushindi wa timu kubwa sasa hivi hauna msisimko tena kwasababu matokeo yanajulikana. Yanga kamfunga Mbeya City, watu wanasema Yanga kanunua mechi...Simba kamfunga Namungo watu wakasema kwanini Mgunda awaweke Bench Fabrice Ngoy na Buswita?...Huu ni mwelekeo Hatupo sehemu salama.
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Filipino
7
4
32
9.1K
Ten king
Ten king@pintinoh·
@HastaRuego Yaani hata ukiwatoa hao bado big wa Tandale bado haingii?
Filipino
0
0
1
15
CHAVO 🌟
CHAVO 🌟@HastaRuego·
Je, sote tunaweza kukubaliana kwamba muda wa Wizkid, Davido, na Burna Boy tayari umepita, na hawa ndio “Big 3” wapya barani Afrika?
CHAVO 🌟 tweet media
Indonesia
6
6
28
789
Ten king retweetledi
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
Klabu ya Leicester City imeshushwa daraja kwenda League One (daraja la tatu la soka England) baada ya msimu mbaya sana wa 2025/26. Matokeo ya sare ya 2-2 dhidi ya Hull City ndiyo yaliyothibitisha kushuka kwao. Walikuwa nyuma kwa pointi kadhaa na hawakuwa na nafasi ya kujiokoa tena huku zikiwa zimebaki mechi chache Hii ni relegation ya pili mfululizo (kutoka Premier League → Championship → League One) Kwa nini Leicester wameshuka daraja? Sababu kuu ni mchanganyiko wa matatizo ya uwanjani na nje ya uwanja: 1. Adhabu ya pointi *Walikatwa pointi 6 kwa kuvunja sheria za kifedha *Hii iliwashusha kwenye msimamo na kuharibu nafasi yao ya kubaki Ligi. 1. Matokeo mabaya Uwanjani Walishinda mechi chache sana katika kipindi cha pili cha msimu. Wameshinda mchezo 1 tu kati ya 18 za mwisho 1. Mabadiliko ya makocha mara kwa mara Klabu ilibadilisha makocha mara kadhaa ndani ya muda mfupi. Hii ilisababisha kukosekana kwa mwelekeo wa timu. 1. Matatizo ya kifedha Hasara kubwa (zaidi ya Paundi Milioni 200 kwa miaka 3). Mapato yanatarajiwa kushuka sana baada ya kushuka daraja. 1. Usimamizi mbaya Wamiliki na uongozi wamekosolewa kwa maamuzi mabaya na matumizi mabaya ya fedha. #KitengeUpdates
Maulid Kitenge tweet media
Indonesia
2
2
109
6.5K