Sabitlenmiş Tweet
SAMBO #INCHARGE 369
2.9K posts

SAMBO #INCHARGE 369
@sambo_soweto
The Genuine one,An Alpha Male,Introvert&Aquarius. I'm a rule maker or breaker. #RespectTheOGs
Katılım Ekim 2024
234 Takip Edilen123 Takipçiler

@eastafricatv Huyo demu hanaga akili timamu wamsamehe tu
Indonesia

#HABARI Jeshi la Polisi limesema linaendelea na uchunguzi wa kukusanya ushahidi kutokana na taarifa ya Hilda Newton aliyochapisha na kusambaza katika Mitandao ya Kijamii tarehe 10.4.2026.
Taarifa hiyo ya Hilda ilikuwa inasema kuwa, Serikali imepanga kumuua Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu kwa risasi hivyo Ili kukamilisha uchunguzi, Jeshi la Polisi limemwelekeza Hilda Newton afike katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai iliyopo katika Jengo la Makao Makuu Ndogo ya Polisi iliyopo Mtaa wa Ohio Jijini Dar es Salaam tarehe 24.4.2026 saa nne (4) asubuhi ili aweze kuwasilisha ushahidi aliosema na kutangazia umma kuwa anao.
Jeshi la polisi limesema hatua hiyoni kwa mujibu wa kifungu cha 11 (2) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2023. #EastAfricaTV

Filipino

@RevocatusMagum1 Km ni kweli athibitishe km alivo sema sema kutumia hisia tu kuharibu nembo ya watu.
Indonesia

-Yanga kabla hawajamdai Oruma Bilioni 10 kwa kuwachafua wamemtaka awaombe radhi pamoja na Efm na TVE kushusha post zote zinazoonekana matamshi yake yaliidharirisha Yanga.
Ningekuwa mimi Oruma ningewaomba radhi hadharani kabisa...Tena ningerekodi video clip ya kuwaomba radhi na kuipandisha Mtandaoni
Kwanini...?
1)Yanga wanaweza kushindwa kesi ya Morrison ila kesi ya hivi hawashindwi nakuambia...wote tunajua!
2) Kwenye hii Nchi linapokuja suala la Simba na Yanga hata wakili wako anaweza kukusaliti akaacha kutokea Mahakamani ukaishia jela!
3) Tuhuma za Kuihusisha Yanga na rushwa/upangaji wa Matokeo haijaanzia kwa Oruma, Mamlaka inajua lakini wa kuthibitisha hayupo...Suala la kipa wa Tabora United liliishaje?
4) Kuomba radhi hata bando la jero haliishi...Aombe radhi...Yanga ni wakubwa sana kwenye hii Nchi...Hawezi kutoboa japo kila mtu anajua alichosema Oruma ndio ukweli wenyewe!
Nafunga hizi Story siziongelei tena ✍️

Indonesia

@kirigitim Usalama wa taifa wanafanya kazi kubwa mno na akitoa taarifa kama io anapata bonasi kazi ni sasa kumjua uyo muokota makopo mara muuza maji usishangae mpiga debe stendi mara mtu furani ivi smart ila hana kazi😂😂
Filipino

@Therealngassa @fezoomaster Unakujua WEST KILIMANJARO?
Indonesia

@hamadimbeyale @HecheJohn Tuwaone barabarani wewe na Heche.
हिन्दी

Wenzetu wanakombolewa
BRICS News@BRICSinfo
JUST IN: 🇺🇸🇮🇷 President Trump calls on the Iranian people to take over their government.
Indonesia
SAMBO #INCHARGE 369 retweetledi

@Elsukay0 @Adv_innocent Na nyie mnadhaminiwa na GSM?
Filipino
SAMBO #INCHARGE 369 retweetledi

Lakini unamfuatilia.....😃😃😃! Mie nipo SAWA SAWA...🥑😃😃!!!na walioshirikiana kuniita MSALITI wakageukana na kuitana WASALITI kwa lugha NGUMU sana . Ukikua (unaonekana bado mtoto) utakuwa makini sana kwa kila neno unalolisikia kwa binadamu mmoja ...dhidi ya mwingine..... ! Glad unanichukia...lakini unanichungulia 😀😀😀!
MANDELA@seeeker_tz
@halimamdee Msaliti
Indonesia

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuufungia uwanja wa Jamhuri, Dodoma kutumika kwa michezo ya Ligi kwa kukosa vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu.
Taarifa ya leo Machi 22, 2026 iliyotolewa na TFF imeeleza kuwa miundombinu ya uwanja huo haikidhi matakwa ya Kanuni kama ilivyoainishwa kwenye masharti ya Kanuni ya Leseni za Klabu.
“Kufuatia uamuzi huo, timu zinazotumia uwanja huo kwa michezo yao ya nyumbani zitalazimika kutumia uwanja mwingine kama Kanuni inavyoelekeza mpaka uwanja wao utakapofunguliwa baada ya kufanyiwa marekebisho na kukaguliwa na TFF.” imesema sehemu ya taarifa hiyo.
TFF imezikumbusha Klabu zote kuendelea kutunza na kuboresha miundombinu ya viwanja.
#KitengeSports

Indonesia

@juliejuleth @Adv_innocent Una uhakika haiwezekani mwanamke kuolewa na mwanaume zaidi ya mmoja?
Polski

@RevocatusMagum1 @Adv_innocent Ni meneja wa team gani?
Indonesia

Hapa sio Uwanja wa ngumi 🥊 ni kwenye Uwanja wa Mpira 🏟️
Huyo aliyekaba Mtu sio Bondia ni Mchezaji wa Mpira. 😁
Huyo aliyekabwa Roba sio mtuhumiwa ni Meneja wa Timu. 🤔
Guyz! Narudia na Nitazidi kurudia NIDHAMU! NIDHAMU! NIDHAMU!
Hii (Djgui Diarra) Hatoki! Adhabu kubwa Inakuja Kwake🔒 ili iwe fundisho kwa wengine. Hata mkinitukana hakuna Tusi jipya.
NB: Mchezaji hata uwe mzuri vipi Kiwanjani Ukikosa nidhamu tu, Unashusha thamani yako kuanzia Jamii mpaka Timu za Mpira. ⚽️🚮
Tumeshuhudia wachezaji wengi wenye nidhamu mbovu, Lakini mwisho wao ukawa mbaya.
Diarra amekuwa akifanya hizi tabia hata akiwa Timu ya Taifa ila sio kwa Namna hii, kwenye ligi yetu anafanya mazoea kwa kuwa hajawahi kuchukuliwa Hatua.

Indonesia

@GilbertPaul095 @njiwapori_ Mkiacha kukremu mtawashauri watu kula matunda kwa wingi kuliko kunywa maji mengi.
Indonesia















