Shariff
5.4K posts

Shariff
@sheriffdush
Dangerously optimistic graphic designer.

Pov: You win your first case in Kenya!🇰🇪😎

Your City team to face West Ham 📝🩵 XI | Donnarumma, Nunes, Dias, Gvardiol, O’Reilly, Nico, Bernardo (C), Reijnders, Foden, Cherki, Haaland SUBS | Trafford, Ake, Savinho, Khusanov, Gray, Mukasa, Lewis, Mfuni, R. Heskey 🤝 @etihad


天才は3秒で気づくらしい x.com/Rissslh/status…


My government will have 50% women.




One controversial football opinion that would have you like this?



My muslim brothers,Mimi I do not hate you,lakini lazima niwaambie nikiona mkikosea. Because what is love without truth? Wakati ya ramadhan most of you dont fast. And you know this,You just pretend to do so like you are being forced and theres no alternative. Otherwise how can you fast on a full stomach ? Mnakula pilau kilo mbili asubuhi saa kumi na maziwa lita moja,hiyo itawashikilia siku mzima juu ata hamfanyi kazi hii wakati,ni kulala tu tumbo ikiwa imeangalia mawingu juu ya kushiba,by the time metabolism kwa tumbo inamalizika five jioni,mshaafungua. Mnarudi kwa sinia tena,Chapati kilo ingine mbili na dengu imejaa supu ya pili pili. Hiyo inawashikilia mpaka asubuhi. Why are you cheating allah,and yourselves too? Are you being forced? Fasting should be out of goodwill. To show devotion to god that you are not dependent on earthly things,to seek clarity and to also improve metabolic rate. Why fast like you’re being forced,na ndio maana kuna wengine wenu ramadan ikiisha mmeongeza kilo mbaya sana. Hebu tuwe watu wa hekima jameni














