Iamtaita
10.7K posts



Makamanda wa kuwakabili walima zabibu. #NBCPremierLeague #NguvuMoja

Afisa Udhibiti Ubora kutoka Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Kanda ya Kaskazini, Said Athuman akizungumza wakati wa Kampeni ya Mali Shambani inayotekelezwa na Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na Taasisi zake, amewahimiza wakulima wa Kata ya Matui, Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto, Mkoa wa Manyara, kuzingatia matumizi sahihi ya mbolea kulingana na mahitaji ya udongo. Athuman alisema kuwa wakati wa kupanda, kitaalam mmea huhitaji kirutubisho muhimu cha Fosforasi, na kusisitiza kuwa aina yoyote ya mbolea inayotumika inapaswa kuwa na kiwango cha kutosha cha kirutubisho hicho kulingana na matokeo ya upimaji wa afya ya udongo. Naye mkulima wa zao la mahindi, Simon Mbota, ambaye ni miongoni mwa wakulima waliopata elimu hiyo, amesema kuwa kabla ya kufuata ushauri wa kitaalam alikuwa akivuna gunia moja hadi matatu kwa ekari moja. Hata hivyo, baada ya kuzingatia matumizi sahihi ya mbolea, uzalishaji wake umeongezeka hadi kufikia wastani wa magunia 15 kwa ekari moja ya mahindi. #MillardAyoUPDATES




Hizo nambaz hapo chini kama mchele hata hazinishangazi maana 2021 kila siku iendayo kwa mungu Trace Muziki & MTV walikuwa wanapiga hili dude kutwa mara 3



















