MUUZA LOSHENI

18.8K posts

MUUZA LOSHENI banner
MUUZA LOSHENI

MUUZA LOSHENI

@godfrey_brayson

Contact 0744-947981.

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ocak 2023
1.4K Takip Edilen661 Takipçiler
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTz·
🚨 Habari njema kwa Yanga ni kwamba washambuliaji wake wawili, Prince Dube na Laurindo Aurelio 'Depu' wanaweza kurejea baada ya kuanza mazoezi na wenzao ambapo wawili hao ndio vinara wa ufungaji kikosini hapo kila mmoja akifunga mabao sita.
SportsArenaTz tweet mediaSportsArenaTz tweet media
Indonesia
4
11
328
4.2K
Ms konpa💃
Ms konpa💃@Nurjan_seyd·
Leo mbagala daladala zimeenda kulala 😃😃
Filipino
5
3
15
330
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtz·
"Sisi tulitaka tujue kama Damaro ameukana uraia wa Guinea, aliukana lini na kwa namna gani. Tulihoji lakini hatukupata majibu, tumeomba review lakini pia hatutaishia hapa" 🎙️ Crescentius Magori
FELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet media
Indonesia
15
5
365
13.2K
Fabrizio Romano
Fabrizio Romano@FabrizioRomano·
Bayern win at the Bernabéu! 🚨🏆 Who’s been your Man of the Match?
Fabrizio Romano tweet media
English
1.8K
2.8K
43.3K
1.2M
ABEFE 🤌🏿 🤌🏿
ABEFE 🤌🏿 🤌🏿@KvngGenerous·
Once your relationship gets to this stage, there is no going back 🥺❤️ he will marry you
English
130
298
3.7K
306.2K
Ms konpa💃
Ms konpa💃@Nurjan_seyd·
Ngoja niwachanganye joined 2026
Ms konpa💃 tweet media
Indonesia
9
7
92
2.3K
Moshi Jnr
Moshi Jnr@moshijnr·
🚨Winga wa TRA United FC Ramadhan Chobwedo anakaribia kujiunga na klabu ya Yanga SC kuelekea msimu ujao na ndani ya wiki hii atasaini mkataba wa miaka miwili baada ya makubaliano yote kukamilika Tayari alishapokea pesa kutoka kwa Wananchi na kilichobaki ni kusaini tu wiki hii✍️🏻
Moshi Jnr tweet media
Indonesia
10
0
98
1.4K
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtz·
"Tuulizane, Hivi Azam wana shida na mapato? Uwanja wao unaingiza mashabiki 10,000. Kwa viingilio vya 15,000 wanapata Milioni 150, huo si mshahara wa Feisal tu. Lengo lao ni kuhujumu mashabiki wa Simba wasiende uwanjani lakini tutaenda kwa namna yoyote ile" 🎙️ Ahmed Ally.
FELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet media
Indonesia
12
17
683
16.9K
M Ę C K I Ę 
M Ę C K I Ę @mee_nicodemus·
Kelele za Okello kwamba ni Tapeli naomba nizisikie na leo wakuu.
Indonesia
13
9
145
4K
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
La liga kwenye camera na graphics wanaishi dunia yao hakuna wa kuwafikia.
Filipino
25
23
564
16.2K
Southampton FC
Southampton FC@SouthamptonFC·
WE'RE GOING TO WEMBLEY 🤩
Southampton FC tweet media
English
1.6K
6.8K
83.4K
3.6M
MUUZA LOSHENI
MUUZA LOSHENI@godfrey_brayson·
@Iamfelixtz Kispika hana point kwakwel uwanja wa watu 10,000 capacity , muwekewe bei ya lita 1 ya petrol
Indonesia
0
0
0
165
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtz·
"Kiingilio cha chini cha mechi dhidi ya Azam ni 15,000, hii ni kutaka kuwahujumu mashabiki wa Simba ili wasije uwanjani, inawezekanaje mechi dhidi ya Yanga iwe 5,000 halafu mechi na Simba iwe 15,000? Maana yake shabiki achague kununua jogoo au kuja uwanjani. 🎙️Ahmed Ally
FELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet media
Indonesia
22
21
777
23.8K
Arsenal
Arsenal@Arsenal·
Our FA Cup journey ends here. Attentions turn to Sporting CP on Tuesday.
Arsenal tweet media
English
16.1K
7.6K
54.2K
6.9M