Tety Steve

8K posts

Tety Steve banner
Tety Steve

Tety Steve

@tety_steve

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mart 2022
195 Takip Edilen235 Takipçiler
Tety Steve
Tety Steve@tety_steve·
@mfinanga_rm Wajinga sana wale majamaa, wanajua kabisa hawafuati SHERIA kukamata raia na Bado wanaacha watu kwny taharuki
Indonesia
0
0
1
159
MfinaWiiiseeee
MfinaWiiiseeee@mfinanga_rm·
Bila kelele wasingesema kama wako naye.
Filipino
9
35
138
2.3K
Tety Steve
Tety Steve@tety_steve·
@IAMartin_ Sema hizi ni DHARAU sana, tabia ya POLISI kuto kufuata SHERIA kukamata raia imekuwa ni UTAMADUNI unaoendana na vitendo vya UTEKAJI. WIZARA ipo kimya, viongozi wakuu wa jeshi wapi kimya. Maana yake wanabariki kinachofanyika, muda utafika raia tutaanza kulingana
Indonesia
0
0
0
339
Tety Steve retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Polisi mnasema mlimkamata Dammour, nafikiri ingekuwa busara zaidi na faraja kutoa taarifa kwa umma mapema. Kwa siku mbili, familia ilimwaga machozi, ndugu walihangaika sana, na marafiki zake wakaingiwa na hofu kubwa — huku mamlaka zikibaki kimya. Sasa mnajitokeza usiku wa manane kueleza kuwa mmekuwa mkimshikilia kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya kihalifu. Swali la msingi ni hili: kwa nini taarifa hiyo ya kumkamata haikutolewa mapema ili kuondoa taharuki kwenye familia na jamii yake? Askari 7 kwa mtu mmoja? Kwanini mmekwenda na magari yasiyotambulika? Kwa nini mmevaa ‘mask’ usoni? Kwa nini hakuna taarifa kwa serikali ya mtaa? Kama ndugu walijulishwa, ni ndugu gani hao wakati mama yake alisema haonekani kituo chochote? Katika kipindi ambacho wananchi wanaishi na hofu ya kupotea kwa watu, taasisi zenye dhamana ya usalama wa raia zinapaswa kuwa wazi, makini, na zenye utu. Katika mazingira ya hofu ya watu kupotea, ukimya wenu unaongeza maumivu zaidi. Ni maisha ya mtu. Katika mazingira ambayo watu wanatekwa na wanapatikana wakiwa wamekatwa vichwa, mnawezaje kucheza na hisia za jamii hivyo? Mama yake mzazi analalamika, ninyi mnasema “ndugu wamejulishwa.” Ni ndugu gani hao? Be serious with people’s lives NB; Fungueni replies Instagram, ili mpate maoni ya Watanzania. #justicefordammour | #freeninja | #freedammour
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
16
92
327
8K
Tety Steve retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Ninja uko wapi mwanangu?😭
Indonesia
7
56
300
8.1K
Tety Steve retweetledi
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader
WHERE IS NINJA, FREE HIM NOW!! Huyu jamaa sio rafiki yangu, infact ni miongoni mwa watu ambao walikuwa wananikejeli na kunitusi (sababu ya ushabiki wa Wasanii wengine wa Hip Hop). Ila kama kweli mimi ni mpenda na mtetea haki, nitakuwa mnafiki nisipotumia nafasi na sauti yangu kupaza sauti juu ya kitendo cha yeye kutekwa!! SERIKALI HARAMU inawaza tu kuhusu wao kubaki madarakani, na sio majeraha inayowaachia Wazazi na Familia kiujumla kwa kuendelea kuteka na kukamata watu kiholela kinyume na sheria. Nakemea kitendo hicho na naungana na wenzangu kusema FREE DAMOUR NOW !! Kama @Ninja_Damour hajapatikana kwenye vituo vyote vya polisi, basi RPC ajiuzulu kazi leo leo maana ameshindwa kulinda Wananchi hadi uhalifu kufikia kiasi hicho. #WeWantJustice #FreeNinja #MwalimuMkuuMAMAyenu
Webiro Wakazi Wassira #TheLeader tweet mediaWebiro Wakazi Wassira #TheLeader tweet media
Indonesia
4
216
621
19.2K
Tety Steve
Tety Steve@tety_steve·
@Lyimo__Jr @HecheJohn Alikuwa sahihi, Saka ametoka kupona juzi tu. First half umeshapata goli 3 kumpumzisha kwa UEFA 2nd leg ni sahihi
Filipino
0
0
0
18
Alexander Philip
Alexander Philip@Lyimo__Jr·
@HecheJohn Alifanya mapema sana kumtoa saka, bora angemuacha hata mpaka kwenye dk 60 au 70
Indonesia
1
0
3
1K
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Madueke ni taka ngumu.
Indonesia
90
76
1.1K
33.2K
Tety Steve retweetledi
MfinaWiiiseeee
MfinaWiiiseeee@mfinanga_rm·
Free him now.
MfinaWiiiseeee tweet media
English
0
244
388
4.9K
Tety Steve
Tety Steve@tety_steve·
@mfinanga_rm Ujinga sana, tunalazikishwa kuishi ki komunisti dunia hii
Indonesia
0
0
0
36
Tety Steve retweetledi
MfinaWiiiseeee
MfinaWiiiseeee@mfinanga_rm·
Wakuu, tafadhalini kwa unyenyekevu mkubwa tunaomba mumuachie Ninja.
Indonesia
3
73
227
4.5K
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
Wewe ni mkundu Ochestra Jazz Band bwana mdogo. Tafiti vizuri watu unaowakurupukia hapa mtandaoni bila kufahamu maisha yao binafsi. I rest my case
buffalo@Justkev00

@fbuyobe Kwamba buyobe wa real life ni mweupe hana kitambi kama uyu wa uku online? Njaa na msimamo avijawai kaa meza moja badae uende dm za wakamaria ukaokote mana umetetea ngoma

Indonesia
8
1
81
8.4K
MfinaWiiiseeee
MfinaWiiiseeee@mfinanga_rm·
Baada ya lockdown kutangazwa ile Okt-29, kuna Mwenyekiti wa mtaa wa CCM mida ya saa moja usiku akawa anaranda mtaani "kukagua" hali ya hewa. Wajeda wakamdaka, akajidai anajielezea yeye ni kiongozi.Alichokipata ni kichapo cha mbwa mwizi! Wakamwambia: "Nyie ndio hasa tunawataka!"
Indonesia
45
57
675
31K
Tety Steve
Tety Steve@tety_steve·
@moodewji Ushajipata unataka kutupa shida nyumbani tunao jitafuta
Indonesia
0
0
0
10
Mohammed Dewji MO
Mohammed Dewji MO@moodewji·
Mke ni kama ua, si mtumishi—mhudumie kwa upendo, heshima na huruma. Ukimtunza vizuri, nyumba nzima huchanua. 🌸 Juma Kareem
117
330
2.2K
57.2K
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Kipindi kile Natafuta Tenders kwa Ofisi mbali mbali za Kiserikali kwa ajili ya KAZI na BIASHARA zangu! Picha zangu zikija humu -Nliambiwa mm ni TISS… mimi ni Mamluki… sina msimamo na kutukanwa saana hadi matusi ya Nguoni💔💔 Leo imefika zamu yenu… ndio mmeanza kufaham kuna KAZI na SIASA! Nimewapelekea moto kimaksudi ili myatamke na kukiri wenyewe kwamba; KAZI na SIASA ni Tofauti… mwisho wa siku vijana lazima tufanye kazi ili mkono uende kinywani… Nafikiri Darasa la Leo limeingia Vizuri💯💯🤝
Indonesia
87
89
790
33.7K
Tety Steve
Tety Steve@tety_steve·
@ze_mandevu Niliona mshkaji kapost hii picha yeye akasema mshkaji ana bully, utageuziwa kibao
Indonesia
0
0
0
2.7K
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Mimi naomba mmsamehe, kateleza kibahati mbaya kashajua wapi kakosea, kama Haitoshi lawama tumpe Dullah Maparachichi 😁
The mandevu tweet media
Indonesia
46
20
358
52.3K
TRUST ME BRO
TRUST ME BRO@Mwenyekit_i·
Nimekaa peke yangu Restaurant nasubiri chakula unakuja unauliza kama seat ya pembeni yangu ina mtu nasema hapana lakini tafuta sehemu nyingine ya kukaa najisikia kukaa mwenyewe unamind. Unamind nini sasa binti 😃😃?
Indonesia
22
28
173
7K
Tety Steve
Tety Steve@tety_steve·
@IAMartin_ Ukiwafuatilia Hawa unaweza pata laana bure, shubaaamit zao
Indonesia
0
0
0
66
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Hawa watu imefika hatua siyo kwamba hawajiheshimu, lakini wamepoteza utu wa binadamu. Kwa hiyo GAZA, Palestine kuna mabango ya CCM? Gaza walifanya uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025? Gaza kuna vituo vya kupiga kura vimeandikwa INEC? Gaza ndiyo watu waliobeba silaha walivaa jezi za YANGA? Gaza ndiyo wale trafiki walikuwa na silaha? Gaza ndiyo zile mochwari zilizosheheni maiti zipo? Watu wa Gaza ni weusi watupu, hakuna hata Mwarabu mmoja? Kwa hiyo katika zile video clip uliwaona waarabu na IDF mkashindwa kuwatambua hadi ikabidi muite watalaam? Gaza wanazungumza kiswahili? Gaza maiti ao wanafunika na bendera ya Tanzania? Master Tindwa aliuwawa Gaza, Palestine? Au anazungumzia ukanda wa Gaza akimaanisha Kimara? Fikiria kidogo, mtu huyu alikuwa Jaji Mkuu kwa miaka nane. Profesa?
Indonesia
173
244
989
33.9K